Serikali kuzima Mitambo yote ya TANESCO inayotumia mafuta mazito kufikia mwaka 2020: Ni baada ya kukamilika kwa Mradi wa Stiegler's Gorge

Serikali kuzima Mitambo yote ya TANESCO inayotumia mafuta mazito kufikia mwaka 2020: Ni baada ya kukamilika kwa Mradi wa Stiegler's Gorge

Mnasema kweli. Miradi ya HEP huwa siyo ya kitoto kwani inahusisha engineering ya hali ya juu. Nikiangalia Grand Renaissance ya Ethiopia ilivyochukua miaka mingi, ni ngumu kuona Stiegler's Gorge ikikamilika mwaka 2020.
Muhimu tuna-recommend jitihada kubwa ya Serikali kuwa, inataka kuujenga Mradi huo. Mambo ya lini utakamilika kwangu mimi siyo ishu at all.
Hauwezi kamilika 2020

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom