Serikali: Kwa sasa Tanzania ina wagonjwa 66 wa Corona nchi nzima ndani ya mikoa 10 na mikoa 16 haina wagonjwa

Serikali: Kwa sasa Tanzania ina wagonjwa 66 wa Corona nchi nzima ndani ya mikoa 10 na mikoa 16 haina wagonjwa

Aisee, umenikumbusha mbali. Umekisoma kitabu cha Alice ? Basi mimi nimekisoma nikiwa darasa la nne mwaka 1985, swahili version. Kinavutia balaa.
Ndio hivyo mdau kiko poa sana kile kitabu yaani
 
Alice in wonderland .tutaelewa SOMO tu na hizi siasa za bongo. Na si walisema mashine zinadanganya?😥
Na si kuna kiongozi alisema tusali tumeshinda corona Yaani hakuna tena covid?
Na pia ...... Anyway nisije kupanik bure.
Ushapanik tayari, povu linakutiririka sanaaa,unahamaki hatareee....unakwama wapi????
 
Alice in wonderland .tutaelewa SOMO tu na hizi siasa za bongo. Na si walisema mashine zinadanganya?[emoji26]
Na si kuna kiongozi alisema tusali tumeshinda corona Yaani hakuna tena covid?
Na pia ...... Anyway nisije kupanik bure.
Tatizo lako unaandika unavyotaka wewe ueleweke, lakini hakuna mtu amesema kuwa Coronavirus vimeisha Tanzania. Tuliyo yasikia wengi ni kwamba Covid-19 ipo na tuchukue tahadhari ambazo zimetolewa na wizara ya Afya.

Hiyo haitufanyi sisi tukakosa kufanya shughuli zetu za kujipatia kipato kama kawaida yetu.

Covid-19 bado ipo ila zile hofu ambazo WTO na wengineo walitutabiria kuwa tutaokota mizoga ya ndugu zetu barabarani a kwamba hospitali zetu zitaelemewa, hiyo haipo na haitakuwa kuwepo.

Tatizo hapa wenzetu wanatungumzia hali yetu wakati maisha yetu hawayajui.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hui ujinga sasa kwahiyo shule hawatafungua maana ndipo wanapoendea sasa, watubafilishie taaluma tulosoma uwalimu haiwezekani wengine wanaApply kazi nk sisi tumekaa tu ujinga huu.
 
Kama umekurupuka kujibu hivi... Hivi umeelewa nilichouliza au maana umeandika kama kukishambulia kama kwamba nilichouliza nimekitunga wakati ni vitu tunaambiwa na tunaaminishwa.
 
Ni juzi tuu tuliambiwa wako wanne, maea tukaambiwa waziri Ummi ata tangaza kuisha kwa corona Tanzania. Kumbe wapo..
Wanatumix Sana aiseeee....WANASIASA SI WA KUWAAMINI,
 
Back
Top Bottom