Serikali kwakuwa hamna ajira za kutupatia , basi tunaomba mtuwekee mazingira rahisi ya sisi kwenda nje

Serikali kwakuwa hamna ajira za kutupatia , basi tunaomba mtuwekee mazingira rahisi ya sisi kwenda nje

Cha ajabu sisi hatukupata shida ingawa documents muhimu kulikuwa hakuna. Nyinyi wenye documents muhimu sasa hivi mnapataje shida? Ukikamilisha mahitaji yote,yaani documents sahihi hakuna wa kukusumbua. Hakuna. Kama hujaka.ilisha documents lazima wakuendeshe tu. Sijawahi kupata shida kupata passport NI kitambulisho cha kura etc
Bado kuna watu wengi wanalalamikia suala la passport hii maana yake kuna shida sehemu. Sawa exceptions zipo yaani kuna wachache watabahatika kutokutana na kero wakati wa ufatiliaji mfano wewe lakini malalamiko ya wengi ni ishara kwamba mfumo una hitilafu sehemu.
 
Kupata passport eti lazima useme unaenda wapi na kufanya nini.
Na wameipa jina Hati ya kusafiria
Bado kuna watu wengi wanalalamikia suala la passport hii maana yake kuna shida sehemu. Sawa exceptions zipo yaani kuna wachache watabahatika kutokutana na kero wakati wa ufatiliaji mfano wewe lakini malalamiko ya wengi ni ishara kwamba mfumo una hitilafu sehemu.
Kero kama kuchelewa kupewa huwa zinatokea. Unaweza kusikia mara printer sijui mbovu etc. Ila ukikamilisha documents hakuna wa kukuzuia usipate passport. Hakuna.
 
Nilidhani kila mtanzania alitakiwa kuwa nayo akitaka, then ikitokea umepata safari ndio ukapambane na ubalozi huko.
Wapo watu wanazo hawana hata mpango wa kusafiri.
 
Sio sababu maalumu ya kutuwekea ugumu hasa passport n.k

Tuwekeeni urahisi wa sisi kutokana na kwenda kujaribu bahati zetu zetu Nje .
Mkuu hebu pendekeza masharti yapi magumu yaondolewe ili kupata passport. JF wanasoma wakubwa wengi wataona maoni yetu.
 
Mkuu hebu pendekeza masharti yapi magumu yaondolewe ili kupata passport. JF wanasoma wakubwa wengi wataona maoni yetu.

Passport inabidi kutolewa bila msharti na mnabidi muhakikishe mnaondoa figisu za kuwazuia vijana kutoka


Angalieni Kenya mjifunze , au huwa mnafurahia ambavyo Ajira 100 zikiombwa na elfu tano.?
 
Passport inabidi kutolewa bila msharti na mnabidi muhakikishe mnaondoa figisu za kuwazuia vijana kutoka


Angalieni Kenya mjifunze , au huwa mnafurahia ambavyo Ajira 100 zikiombwa na elfu tano.?
Hakuna nchi duniani inayotoa passport bila masharti(vigezo,utaratibu).
 
Ndo tatizo hilo Ila watakoteseka ni watoto wenu sasa hivi hauwezi kujua kwakuwa unapokea mshahara wa serikali.
Mkuu, nimekwambia weka masharti ambayo unaona yanafaa kuondolewa. Na wahusika wapime sababu za hayo masharti zina mashiko?
Huweki sababu unaanza kunipa vyeo serikalini.
 

Hivi ukitazama hiyo video unaona kuna anayekuelewa usemacho/uandikacho?

Huyo ni mmoja katika wote walioko huko juu,
Huyo ndiye moja ya think tank wetu
 
Ukiondoka tutapata wapi machawa
Ukiondoka tutapata wapi wapiga kura
Ukiondoka tutapata wapi wakujaza mikutano yetu
Ukiondoka utakuwa aware uje unze kutusumbua

Kiujumla maskini ni mtaji wa wenye nacho au watawala
 
Nashauri wale wote walioko Vyuoni wenye ndoto za kwenda nje ya Nchi waanze maombi ya passport mapema.
TANZANIA TUNA TATIZO SUGU LA WATU KUFANYA VITU KAMA ZIMAMOTO.......

Ambatanisha copy ya cheti chako cha kuzaliwa, copy ya Nida, barua ya chuo (kama upo chuoni) au barua ya mtendaji wa kijiji/mtaa, kadi za Nida ya Wazazi/Cheti cha kuzaliwa cha wazazi wako au affidavit kutoka kwa mwanasheria.
Jaza form online na lipia shs 20,000.
Piga picha za passport tatu; Ambatanisha na hivyo vitu peleka uwaachie hapo ndani ya mwezi mmoja kama upo mjini unaitwa kuchukua passport...

Nashauri WIZARA husika wafute kile kifungu kinachouliza unatafuta passport kwa ajili ya nini, kwani watu hutafuta passport huku wakisikilizia mchongo; lakini pia passport ni haki ya kila raia (Citizen) hivyo hicho kifungu kimepitwa na wakati.
 
Back
Top Bottom