Serikali kwakuwa hamna ajira za kutupatia , basi tunaomba mtuwekee mazingira rahisi ya sisi kwenda nje

Serikali kwakuwa hamna ajira za kutupatia , basi tunaomba mtuwekee mazingira rahisi ya sisi kwenda nje

View attachment 3222053
Hivi ukitazama hiyo video unaona kuna anayekuelewa usemacho/uandikacho?

Huyo ni mmoja katika wote walioko huko juu,
Huyo ndiye moja ya think tank wetu
Mwamba anakula goodtime sana na majibu yake ya dhihaka na kejeli kwa watanzania..

Hii video inafaa sana kuwa meme kwenye kampeni za uchaguzi.

Wananchi: Tunaomba mtujengee barabara kwa kiwango cha lami ili tuweze kusafirisha mazao na kuweza kufika wilayani kwenye hospitali ya wilaya kutibiwa.

Chama tawala /serikali: ijibu kwa video hiyo😄😄
 
Wananchi: Tunaomba mtujengee barabara kwa kiwango cha lami ili tuweze kusafirisha mazao na kuweza kufika wilayani kwenye hospitali ya wilaya kutibiwa.

Chama tawala /serikali: ijibu kwa video hiyo😄😄
😂😂😅
 
Sio sababu maalumu ya kutuwekea ugumu hasa passport n.k

Tuwekeeni urahisi wa sisi kutokana na kwenda kujaribu bahati zetu zetu Nje .
Huko nje wanatimuliwa waafrika na wahamiaji wasio na vibali toka korna zote za dunia hivyo tujenge kwetu ndugu,hapa dawa ni kuacha kucheka na nyani,kwani watakula hata mabua.Hivyo ni kuwadai wenye jukumu hilo.
 
Na ukitoka huko nje utaenda kuajiriwa na serikali yahuko uendako?
Kuna kampuni Lukuki zenye tenda za huduma kwa serikali mfano usafi, vituo vya watoto, wazee nk so uwezekano wa kupata za ivyo ni mkubwa maana wananchi wengi nchini humo hawawez kufanywa izo kutokana na Ukubwa wa uchumi wao. Umeelewa?
 
Back
Top Bottom