Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hailipi kufanya hivyoKwa sababu uzuri mikoa hiyo iko karibu na Dar hivyo wageni wakishuka Dar ni rahisi kuifikia Kwa mfano likajengwa tower pale Kilwa kuna athari gani ilihali wageni wangependa pia kutembelea mji wa Kilwa ama Lindi pia panafikika kirahisi au mfano Singida na Dodoma iko karibu, kwanini tusijenge pia vitu kama hivyo mikoa ambayo haijajengeka.
Acha bangi kwaiyo kilajengo unaloliona nilakibiashara?.[emoji23][emoji23].Serikali haijengi majengo kwa sababu hayapo bali mahitaji ya kibiashara. Ujenge jengo la ghoroma 20 Lindi litarudishaje hela.
We bangi unaichukuliaje? Na nitajie jengo hata moja ambalo halihusiani na biashara.Acha bangi kwaiyo kilajengo unaloliona nilakibiashara?.[emoji23][emoji23].
Bado unaendelea na ubishi wako?We bangi unaichukuliaje? Na nitajie jengo hata moja ambalo halihusiani na biashara.
Office gani ambayo haihusiani na mambo ya biashara?ikulu yenyewe ipo kwa ajili ya kusimamia biashara za nchi.Bado unaendelea na ubishi wako?
Acha bangi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23](mijengo mingine ni office).
Unaelewa maana ya kusimamia na kufanya biashara? Acha kukulupuka[emoji857]Office gani ambayo haihusiani na mambo ya biashara?ikulu yenyewe ipo kwa ajili ya kusimamia biashara za nchi.
Afu nani kakwambia ikulu inasimamia biashara za nchi? Ndo mlifundiswa hivyo mashuleni? Wakati dunia nzima inajua Ikulu is the official residence of the president .[emoji51][emoji856][emoji36]Office gani ambayo haihusiani na mambo ya biashara?ikulu yenyewe ipo kwa ajili ya kusimamia biashara za nchi.
Mimi kuelewa maana ya kufanya biashara ama kutofanya sio hoja , ishu ni kwamba kila jengo unaloliona linahusiana na biashara kwa namna moja ama nyingine.Unaelewa maana ya kusimamia na kufanya biashara? Acha kukulupuka[emoji857]
Afu nani kakwambia ikulu inasimamia biashara za nchi? Ndo mlifundiswa hivyo mashuleni? Wakati dunia nzima inajua Ikulu is the official residence of the president .[emoji51][emoji856][emoji36]
Unaelewa maana ya kusema ikulu kuna office kibao? Bado ujaacha bangi? Ikulu siyo mahara pakuweka hofisi kibao kwasababu ya kiusalamaHapo ikulu kuna ofisi kibao , unadhani zinashughulika na nini au zote analala raisi.
-wawekezaji wakija mazungumzo hufanyika wapi?
-Tunapomchagua rais tunamchagua kwa sababu gani, akaishi ikulu?
-Unaniuliza nani kaniambia, una uhakika kila kitu ninachokijua nimeambiwa?au hata jinsi ya kuuliza maswali huwezi.
-Una uhakika gani mi nilikwenda shule au ndo unakurupuka.
Hivi unawelewa kwanza maana ya biashara?.Mimi kuelewa maana ya kufanya biashara ama kutofanya sio hoja , ishu ni kwamba kila jengo unaloliona linahusiana na biashara kwa namna moja ama nyingine.
Unajua kusoma kwa ufahamu kweli?Nionyeshe sehemu niliyosema ikulu ni sehemu ya biashara.Unaelewa maana ya kusema ikulu kuna office kibao? Bado ujaacha bangi? Ikulu siyo mahara pakuweka hofisi kibao kwasababu ya kiusalama
Kwakulejea alicho sema baba wa taifa(IKULU ni mahala patakatifu)[emoji16][emoji16][emoji23][emoji23]
Usitake kuonekana zoba wewe acha bangi ikulu siyo sehemu za biashara.
Kuna mkulima anayefanya kilimo biashara huyo ni mfanyabiashara na ni mkulima pia, na mkulima anaelima kwa ajili ya kukidhi mahitaji ya nyumbani huyo si mfanya biashara au we ukulima unauchukuliaje.Hivi unawelewa kwanza maana ya biashara?.
Au wewe nimkulima unaforce mambo?.
Ulisema office gani haiusiani na mambo ya biashara ukaja ukasema ata ikulu yenyewe ipo kwa ajili ya kusimamia biashara za nchi(apo ukiifanya ikulu ni sehemu ya biashara).Unajua kusoma kwa ufahamu kweli?Nionyeshe sehemu niliyosema ikulu ni sehemu ya biashara.
Hapana, nimetumia uwanja huo mwezi huu. sijaona mahindi.Akili za kimagufuli hizi, Airport Chato wanaanikia mahindi sasa hivi.
Serikali imesikia(wameacha labda).Hapana, nimetumia uwanja huo mwezi huu. sijaona mahindi.
-Nimekuuliza wawekezaji wakija au watu wa worldbank hukutana wapi na raisUlisema office gani haiusiani na mambo ya biashara ukaja ukasema ata ikulu yenyewe ipo kwa ajili ya kusimamia biashara za nchi(apo ukiifanya ikulu ni sehemu ya biashara).
Achaaa kubishana na vitu vya kijinga wewe ikulu haiwezi kusimamia mambo ua biashara.View attachment 2963964