Serikali lawamani kuruhusu Mkusanyiko wa Maelfu kwenye Kilimanjaro Marathon wakati Taifa linapambana na Virusi vya Korona

Serikali lawamani kuruhusu Mkusanyiko wa Maelfu kwenye Kilimanjaro Marathon wakati Taifa linapambana na Virusi vya Korona

Mbona rangi zenyewe kama za watani wa jadi, mikia fc na mabingwa kihishoria, vinginevyo lete vielelezo zaidi tukuelewe
 
Mkuu wangu hapa naona Serikali tutaionea bure. Tunajua kabisa Head wa Serikali msimamo wake kuhusu Corona ulivyo, haamini kama ni Dangerous ki hivyo. Hapa ilikua tupambane tu sisis wenyewe.

Hapa cha kujiuliza ni kua sie wenyewe wakimbiaji tunakubalije kujichanganya namna hii? Hatujui kama Huu Ugonjwa ni hatari?

Tatizo moja tulilonalo watanzania, huwa tukiwaza korona tunafikiria mtu mmoja mmoja huwa hatuwazi hatari ya huyo mtu mmoja kwa wengine.

Mtu mmoja akiibeba korona, akirudi kijijini kwake anaenda kuambukiza wazee wasio na hatia huko.

Usiwaangalie washiriki, hao hata wakifa hawana hasara maana ni wajinga. Waangalie wale ambao hao washiriki watawapelekea virusi hivyo

Hapo ndipo serikali inapopaswa kuingilia kati ili kukata chains za maambukizi!.

Hilo tamasha lina baraka na vibali vyote vya serikali, na Jukumu la kwanza la kikatiba la Raisi ni kulinda watu wake. Hii mikusanyiko ilipaswa isitishwe kipindi hiki
 
Tatizo moja tulilonalo watanzania, huwa tukiwaza korona tunafikiria mtu mmoja mmoja huwa hatuwazi hatari ya huyo mtu mmoja kwa wengine...
Shida ya Mtanzania no mbinafsi na anaangalia maslahi yake tu, tena anaona ndio mzalendo wa kweli
 
Shida ya Mtanzania no mbinafsi na anaangalia maslahi yake tu, tena anaona ndio mzalendo wa kweli
Yes!
Ubinafsi mbaya sana, mtu haangalii kuwa uwepo wake kwenye hiyo hadhara hata kama yeye haogopi au hajali kuhusu korona lakini anaweza kuibeba na kuipeleka kwingine
 
Yaani huo ugonjwa mpaka uuogope ndo uumwe
Screenshot_20210228-060820.jpg
 
Hakuna aliyelazimishwa...watu wazima wenye akili na utashi!
Sponsors pia wapo liable!
Ifike mahali afya binafsi iwe jukumu binafsi siyo jukumu la serikali haswa katika kipindi kama hiki cha mlipuko.

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Watu walikuwa wengi kwelikweli, ni maelfu ya watu wamekusanyika kwa ajili ya kushiriki mashindano ya Kilimanjaro Marathon. Miongoni mwao wapo ambao hawakuvaa barakoa kabisa, na wamo amabao walizivaa na kuzivua.
Mkusanyiko wa mahali hapo ulikuwa ni mkubwa kiasi kwamba kaa kuna wstu wana virusi vya korona basi huenda kukawepo na usambazaji wa virusi kwa kiwango cha kutisha.

Katika mazingira kama haya, serikali inaruhusuje mikusanyiko kama hii?

Je kufanya hivyo siyo kuhatarisha usalama wa Nchi?.
Maana hawa watu wanatoka kila kona ya nchi, Je namna hii siyo kusambaza virusi kwa kasi ya kutisha?

Serikali hii ndo inasema kuwaambia wananchi wafuate maelekezo ya wataalamu, lakini wakati huohuo inabariki na kusaidia kuwezesha mambo yote ambayo wataalamu wanashauri yasifanywe!

Leo kwenye mashindano hayo ya Kilimanjaro Marathon alikuwepo mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Mama Mgwitra katikati ya msitu wa watu ambao hawajavaa barakoa waa kuweka social distance maana ni vigumu katika mkusanyiko huo kuweka hiyo social distance!

Kwa kweli inasikitisha, kuona serikali inajaribu kujifanya kuwa hili tatizo ni la mtu binafsi na si la Taifa kwa ujumla wake, otherwise niambieni kwa nini serikali inaruhusu miusanyiko kama hii inayoweza kupelekea usambaaji wa kirusi kuwa wakutisha? - Serikali inataka kuachieve nini?

Wananchi wanakufa kwa "changamoto", Tunawazika, na tunaendelea kushuhudia hii hali kila kukicha, mbona basi mamlaka zetu zinajaribu kujifanya kuwa hili tatizo siyo big deal hadi kuruhusu mikusanyiko kama hii?

Hii ni aibu kubwa kwa raisi Magufuli, Waziri wa Michezo, Waziri wa Utalii na serikali nzima ya Mkoa wa Kilimanjaro, Waandaaji na Washiriki wote wasiochukulia tatizo hili kwa uzito wake, Ni aibu kubwa na kutokujali kwa kiwango cha juu kupitiliza! :

Hebu Tazama hili nyomi katikati ya Pandemic, hivi sis tuko serious!

View attachment 1714194


View attachment 1714189

View attachment 1714196
Wewe ndio mpumbavu.

SISI TANZANIA TUNA LINDWA NA MUNGU.

Sent from my SM-J700H using JamiiForums mobile app
 
Hakuna aliyelazimishwa...watu wazima wenye akili na utashi!
Sponsors pia wapo liable!
Ifike mahali afya binafsi iwe jukumu binafsi siyo jukumu la serikali haswa katika kipindi kama hiki cha mlipuko.

Everyday is Saturday............................... 😎
Ukipata kirusi haiwi tena tishio kwako binafsi, bali unahatarisha maisha ya wengine ambao unaweza kuwaambukiza wakiwemo watoto na wazee wasiojiweza!
 
Ila watanzania na sisi tunastahili lawama kwa kiwango cha juu vilevile, haiwezekani pamoja na taarifa zote kuhusu Corona zilizosambaa kwenye mitandao na vyombo vingine vya habari japo huko wanaita nimonia, bado kuna watu hawachukui tahadhari mpaka leo.

Huu ni ujinga wa hali ya juu sana dunia nzima inatushangaa, hii Corona inatufanya tugeuke kivutio cha watalii kwa namna tunavyo deal nayo, bado tupo zama za old stone age kabisa.
👊👊
 
Ila watanzania na sisi tunastahili lawama kwa kiwango cha juu vilevile, haiwezekani pamoja na taarifa zote kuhusu Corona zilizosambaa kwenye mitandao na vyombo vingine vya habari japo huko wanaita nimonia, bado kuna watu hawachukui tahadhari mpaka leo.

Huu ni ujinga wa hali ya juu sana dunia nzima inatushangaa, hii Corona inatufanya tugeuke kivutio cha watalii kwa namna tunavyo deal nayo, bado tupo zama za old stone age kabisa.
👊👊
 
Hakuna aliyelazimishwa...watu wazima wenye akili na utashi!
Sponsors pia wapo liable!
Ifike mahali afya binafsi iwe jukumu binafsi siyo jukumu la serikali haswa katika kipindi kama hiki cha mlipuko.

Everyday is Saturday............................... 😎
... mlipuko wa maradhi haupaswi kuwa suala binafsi; ni suala la kitaifa! Endapo wataambukizana hapo, haiishii kwa washiriki tu; bali kila mshiriki ana nafasi ya kwenda kuambukiza hata wasiohusika na hayo mashindano huko aendako. Maelfu ya wasio washiriki wanaenda kuambukizwa na wengine kufa simply kutokana na kusanyiko hilo ambalo unasema "hakuna aliyelazimishwa" ...
 
Hivi corona ndio karata pekee iliyobaki huko chadema.

Tokea muanze hadithi za corona mpaka leo tungekuwa tumeisha.

Magufuli shikilia hapo hapo corona ni wizi wa kidunia unaofanyiwa promo kupitia media kubwa
 
Naanza kuamini kuwa IQ yetu labda ni ndogo sana.

Watu wazima na akili zao wanaruhusu, na wengine wanashiriki mkusanyiko kwenye nyakati za hatari namna hii, huu siyo ujinga ni upumbavu

Mkuu tatizo ni serikali.

Kote mambo kama haya yanauwa enforced. Hata Marekani kama kila kitu kikaachwa bwerere kila mtu na lwake, itakuwa hivi hivi.

Usisahau kuna ujinga na kujikatia tamaa na maisha pia.
 
Back
Top Bottom