Serikali: Magari chini ya mwaka 2010 yasiingizwe nchini

Nafikiri ndivyo ilivyo Kadiri gari inayoagizwa inavyokuwa ya Zamani na Kodi yake inakuwa kubwa.

Sasa hii Limit Ya Mh.Kasimu Inaenda Kuwaumiza WaTz sana.! Wengi Pesa za Kudunduliza ataweza Wapi kununua Gari Kisu cha 2017..?
Duh...Walala hoi Kazi tunayo...!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ