Serikali: Magari chini ya mwaka 2010 yasiingizwe nchini


Vice versus
 
Tusubiri mheshimiwa Rais atasemaje maana huyu katelefoni siyo wa kumuamini sana maana hasemagi ukweli
 
Mmh hii ni ngumu kumeza aisee mimi IST nimenunua mwaka jana ya mwaka 2006 lkn chuma kimekuja kipya sanaaa sijui wazir mkuu anafikir barabara za wenzetu ndo kama zetu jmn, kwa hili sikubalian mana mfumo wetu wa kodi ni hovyo sana ist ya mwaka 2010 kwa uchache tutanunua 18m JR is it fair kweli?
 
Haitapotea ila tu bei yake itaimarika zaidiπŸ˜…
Hawa wanajitekenya wenyewe, Tanzania bado sana- kama tupo kwenye uchumi wao wa makaratasi sawa, lakini kama ndo huu huu uchumi tunaoishi they are too theoretical.

Ni watanzania wachache sana wanaoweza kumiliki magari ya karibuni, unless kama wanataka kuturudisha enzi ambazo magari yanakutwa tu kwa Machifu.
 
Tumechelewa sana kuzuia nchi yetu kuwa jaa la mali chakavu. Hapo Kenya tu uamuzi kama huu waliufanya kitambo sana na maisha yanasonga. Kama kipato chako hakijafikia ngazi ya kununua gari, chukua chombo cha usafiri unachokimudu!
kenya na tanzania kiuchumi tofauti sana,kenya wana assemble magari mengi,tanzania labda wapige marufuku kuanzia 2000 kushuka chini...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…