- Thread starter
- #41
Passo na engine ya 1KR ni majangaMmmh
Inabidi uwe fundi mwenyew.. maan kuna jamaa kanunua passo used, kutoka dom ilishindwa ata kutoboa iringa.. akataka aiuze,
Bongo wahuniii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Passo na engine ya 1KR ni majangaMmmh
Inabidi uwe fundi mwenyew.. maan kuna jamaa kanunua passo used, kutoka dom ilishindwa ata kutoboa iringa.. akataka aiuze,
Bongo wahuniii
Nafikiri ndivyo ilivyo Kadiri gari inayoagizwa inavyokuwa ya Zamani na Kodi yake inakuwa kubwa.
Sasa hii Limit Ya Mh.Kasimu Inaenda Kuwaumiza WaTz sana.! Wengi Pesa za Kudunduliza ataweza Wapi kununua Gari Kisu cha 2017..?
Duh...Walala hoi Kazi tunayo...!
Sasa sisi tunaopenda magari ya old-school tutafanyaje?
Tusubiri mheshimiwa Rais atasemaje maana huyu katelefoni siyo wa kumuamini sana maana hasemagi ukweliHii kauli tunaweza kuichukulia poa lakini Kuna magari ya maana sana Hatutayaona tena yakiingizwa Nchini..
Haya yafuatayoView attachment 2181908View attachment 2181909View attachment 2181911View attachment 2181913View attachment 2181914View attachment 2181915
Magari Yoote haya yametengenezwa 2009 kurudi nyuma....
Siyo rahisi kutekelezeka kwa hyo kauli...
Sijui kama wanamaanisha kweli walichokisema
Afadhali yako, mimi nina kitu cha 1996Mi nina cha 98,
Yaani Majanga....Huyu Baba Watu Walikuwa Wanamuona Kama miongoni Mwa 'Jiwe Kuu La Pembeni' Yaliyobakia.Sasa Kama mtu emshaagiza na gari lipo njiani itakuwaje hapo
Waziri mkuu amesema magari yaliotengenezwa chini ya mwaka 2010 yasiingizwe nchini, naona tunakoelekea kumiliki gari itakuwa ujipange haswa.
Na biashara ya magari yaliondani ya nchi inaenda kukua Kwa Kasi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kama kaisema huyo baba hiyo kauli basi msiwe na hofu hasemagi ukweli huyo.
Lini huyo bwana alishawahi kusema ukweli au kusema jambo likatelezeka ?Hayo ni maneno tu yatapita
Hawa wanajitekenya wenyewe, Tanzania bado sana- kama tupo kwenye uchumi wao wa makaratasi sawa, lakini kama ndo huu huu uchumi tunaoishi they are too theoretical.Haitapotea ila tu bei yake itaimarika zaidi😅
Huyu jamaa hata kama ndo kuvimbiwa, sasa hii hapana.Lini huyo bwana alishawahi kusema ukweli au kusema jambo likatelezeka ?
Hajawahi kusema ukweli huyoHuyu jamaa hata kama ndo kuvimbiwa, sasa hii hapana.
kenya na tanzania kiuchumi tofauti sana,kenya wana assemble magari mengi,tanzania labda wapige marufuku kuanzia 2000 kushuka chini...Tumechelewa sana kuzuia nchi yetu kuwa jaa la mali chakavu. Hapo Kenya tu uamuzi kama huu waliufanya kitambo sana na maisha yanasonga. Kama kipato chako hakijafikia ngazi ya kununua gari, chukua chombo cha usafiri unachokimudu!
hiyo si mpya kabisa,yangu 1980.Afadhali yako,mimi nina kitu cha 1996
Tafuta pesa