Serikali: Magari chini ya mwaka 2010 yasiingizwe nchini

Serikali: Magari chini ya mwaka 2010 yasiingizwe nchini

TZ tuna magari ya zamani sana ambayo ukiagiza mtu unasema nimenunua gari mpya. Gari ya mwaka 2000 ni Gari ya miaka 20 iliyopita. Yaani mwanao keshabalehe mda tu na ana ndevu ila ndo gari zetu tunazozisifia. Umasikini mbaya sana.

Seikali ipunguze kodi angalau watu wanunue gari za 2010 kwenda mbele.
 
Hii kauli tunaweza kuichukulia poa lakini Kuna magari ya maana sana Hatutayaona tena yakiingizwa Nchini..
Haya yafuatayoView attachment 2181908View attachment 2181909View attachment 2181911View attachment 2181913View attachment 2181914View attachment 2181915
Magari Yoote haya yametengenezwa 2009 kurudi nyuma....

Siyo rahisi kutekelezeka kwa hyo kauli...

Sijui kama wanamaanisha kweli walichokisema
Hebu niambie hizo gari mbili za juu zimeishia kutengenezwa mwaka gani?
 
Tumechelewa sana kuzuia nchi yetu kuwa jaa la mali chakavu.

Hapo Kenya tu uamuzi kama huu waliufanya kitambo sana na maisha yanasonga.

Kama kipato chako hakijafikia ngazi ya kununua gari, chukua chombo cha usafiri unachokimudu!

Kenya kuna kuna Kampuni wanajiita import by kairo.

Nikiangalia vyuma wanavyoingia ni hatari.

Yaani ni 2014 kuja juu.
 
Hivi hii serikali inajua aina ya watu wanaowaongoza au ndio kukurupuka.
 
Back
Top Bottom