Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Ni matumaini kwamba Mhalifu Biswalo hatoapishwa kesho.Hii ndio Taarifa ya serikali ya Tanzania iliyosambazwa kwa vyombo vya habari .
ngoja tuone kama Mahakama itakubali zuioNi matumaini kwamba Mhalifu Biswalo hatoapishwa kesho.
Ahaaa..ngoja tuone kama Mahakama itakubali zuio
Mkuu Naogopa sana kulogwa , maisha yangu kwa sehemu kubwa yamekuwa Ulaya na Marekani , kwahiyo mila za kubeba hirizi sikuwahi kuzipitia , sina chale hata mojaRaisi Samia kama ikikupendeza naomba mteue dada yetu Erythrocyte kuwa mpashaji habari wa serikali yako ambayo haina ubaguzi wa chama, dini wala kabila. Huyu dada yupo smart sana ukimlinganisha na wengine. Hajawahi kumtukana mtu wala kuandika comment kwa jazba. Hayo ni mawazo yangu tu toka ndani ya moyo na kichwa changu.
Hakuna dikteta anataka kuwa na mahakama huruKatiba Mpya tupate majaji huru wasiotokana na teuzi za mwenyekiti wa CCM.
Kwani mmeshafile chochote au ni porojo za mitandaoni kama ulivyo utaratibu wenungoja tuone kama Mahakama itakubali zuio
Hahahaha.. kwani kuwa msemaji wa serikali kuna uhusiano gani na ulozi? Au ulikuwa na maana nyingine mkuu?Mkuu Naogopa sana kulogwa , maisha yangu kwa sehemu kubwa yamekuwa Ulaya na Marekani , kwahiyo mila za kubeba hirizi sikuwahi kuzipitia , sina chale hata moja
Hiyo nafasi kuna watu wameiendea kwa wagangaHahahaha.. kwani kuwa msemaji wa serikali kuna uhusiano gani na ulozi? Au ulikuwa na maana nyingine mkuu?
Hahahaha... Ok, ila ukiwa na Mungu kila kitu kinawezekana.Hiyo nafasi kuna watu wameiendea kwa waganga