nyakubonga
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 5,960
- 9,978
Inahitaji akili ndogo sana kujua malawi anatumika kutuchokoza...
Angekuwa na nia njema angefanya hivyo na kwa Msumbiji...
Sasa swali linakuja, malawi ametuona Tanzania ni wanyonge sana?
Kwamba ana uwezo wa kutuchokoza na tukireact anatubonda...
Angekuwa na nia njema angefanya hivyo na kwa Msumbiji...
Sasa swali linakuja, malawi ametuona Tanzania ni wanyonge sana?
Kwamba ana uwezo wa kutuchokoza na tukireact anatubonda...