Wagumu Tunadumu
JF-Expert Member
- Dec 10, 2022
- 5,276
- 17,354
Mashulen na vyuoni wadada wanapitia magumu sana,ingawaje wengine wanavibinua sana viuno vyao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wazazi wenu nao wanalijua hili suala?Mhasibu wa Machame Sekondari jirekebishe au serikali ingilieni kati
Mimi ni mwanafunzi nimemaliza hapo mwaka huu
Mhasibu huyu amekuwa akinitongoza kwa muda mrefu Sana, nimetoa taarifa kwa walimu hawajanipa msaada, nimetoa taarifa ya maandishi kwa Mkuu hakuna msaada.
Ninaomba wanajukwaa na viongozi mliopo humu nisaidieni suala hili, limeumiza wanafunzi wengi Sana
More enough kama unadaiwa Deni ukimkubalia kutembea nae anafuta Deni ukimkatalia anaongeza Deni. Anatia hasara serikali.
Amekuwa pia na tabia ya kuletea wanafunzi pombe anawalewesha na kutembea nae, pia ndio anayechajia wanafunzi simu.
Naomba msaada.
Kwa taarifa tu Mkuu, tayari tunayo whistle blowers Act, pia katiba ya 1977 imemtambua chini ya bill of rights.
Kwenye mada:-
Mdau hajakosea kusema haya mambo si ya kuyachukua juu juu kama yalivyo. Ukute huyu ni mwalimu ila amejiita mwanafunzi ili alete tention tu huku.
Nimeshuhudia mwajiriwa mmoja akipambana na bosi wake wa idara kisa demu wa field kwa mfumo huu huu hapa. Mambo ya mapenzi ni ya hovyo sana.
Mnhh!!Mhasibu wa Machame Sekondari jirekebishe au serikali ingilieni kati
Mimi ni mwanafunzi nimemaliza hapo mwaka huu
Mhasibu huyu amekuwa akinitongoza kwa muda mrefu Sana, nimetoa taarifa kwa walimu hawajanipa msaada, nimetoa taarifa ya maandishi kwa Mkuu hakuna msaada.
Ninaomba wanajukwaa na viongozi mliopo humu nisaidieni suala hili, limeumiza wanafunzi wengi Sana
More enough kama unadaiwa Deni ukimkubalia kutembea nae anafuta Deni ukimkatalia anaongeza Deni. Anatia hasara serikali.
Amekuwa pia na tabia ya kuletea wanafunzi pombe anawalewesha na kutembea nae, pia ndio anayechajia wanafunzi simu.
Naomba msaada.
Unaomba msaada gani na ushasema umemaliza hapo.Mhasibu wa Machame Sekondari jirekebishe au serikali ingilieni kati
Mimi ni mwanafunzi nimemaliza hapo mwaka huu
Mhasibu huyu amekuwa akinitongoza kwa muda mrefu Sana, nimetoa taarifa kwa walimu hawajanipa msaada, nimetoa taarifa ya maandishi kwa Mkuu hakuna msaada.
Ninaomba wanajukwaa na viongozi mliopo humu nisaidieni suala hili, limeumiza wanafunzi wengi Sana
More enough kama unadaiwa Deni ukimkubalia kutembea nae anafuta Deni ukimkatalia anaongeza Deni. Anatia hasara serikali.
Amekuwa pia na tabia ya kuletea wanafunzi pombe anawalewesha na kutembea nae, pia ndio anayechajia wanafunzi simu.
Naomba msaada.
Mhh hii ni hatari kama ni kweli vyombo husika vifanyie kazi hizi taarifa, Maana wazazi tunapeleka watoto wetu kwenda kusoma,kumbe walezi tunaowategemea Wanafanya mambo yasiyofaa. Inatuumiza sana wazazi.Mhasibu wa Machame Sekondari jirekebishe au serikali ingilieni kati
Mimi ni mwanafunzi nimemaliza hapo mwaka huu
Mhasibu huyu amekuwa akinitongoza kwa muda mrefu Sana, nimetoa taarifa kwa walimu hawajanipa msaada, nimetoa taarifa ya maandishi kwa Mkuu hakuna msaada.
Ninaomba wanajukwaa na viongozi mliopo humu nisaidieni suala hili, limeumiza wanafunzi wengi Sana
More enough kama unadaiwa Deni ukimkubalia kutembea nae anafuta Deni ukimkatalia anaongeza Deni. Anatia hasara serikali.
Amekuwa pia na tabia ya kuletea wanafunzi pombe anawalewesha na kutembea nae, pia ndio anayechajia wanafunzi simu.
Naomba msaada.
Okoeni wadogo zanguMhh hii ni hatari kama ni kweli vyombo husika vifanyie kazi hizi taarifa, Maana wazazi tunapeleka watoto wetu kwenda kusoma,kumbe walezi tunaowategemea Wanafanya mambo yasiyofaa. Inatuumiza sana wazazi.
Sent from my M2004J19C using JamiiForums mobile app
Wanafahamu,Ila msaada Nina Imani utapatikana hapa kwa MelloWazazi wenu nao wanalijua hili suala?
Anaongezaje deni na risiti unazo?Mhasibu wa Machame Sekondari jirekebishe au serikali ingilieni kati
Mimi ni mwanafunzi nimemaliza hapo mwaka huu
Mhasibu huyu amekuwa akinitongoza kwa muda mrefu Sana, nimetoa taarifa kwa walimu hawajanipa msaada, nimetoa taarifa ya maandishi kwa Mkuu hakuna msaada.
Ninaomba wanajukwaa na viongozi mliopo humu nisaidieni suala hili, limeumiza wanafunzi wengi Sana
More enough kama unadaiwa Deni ukimkubalia kutembea nae anafuta Deni ukimkatalia anaongeza Deni. Anatia hasara serikali.
Amekuwa pia na tabia ya kuletea wanafunzi pombe anawalewesha na kutembea nae, pia ndio anayechajia wanafunzi simu.
Naomba msaada.
Minor issue,hayo mambo yapo kila sekta ndani ya seeikaliMhasibu wa Machame Sekondari jirekebishe au serikali ingilieni kati
Mimi ni mwanafunzi nimemaliza hapo mwaka huu
Mhasibu huyu amekuwa akinitongoza kwa muda mrefu Sana, nimetoa taarifa kwa walimu hawajanipa msaada, nimetoa taarifa ya maandishi kwa Mkuu hakuna msaada.
Ninaomba wanajukwaa na viongozi mliopo humu nisaidieni suala hili, limeumiza wanafunzi wengi Sana
More enough kama unadaiwa Deni ukimkubalia kutembea nae anafuta Deni ukimkatalia anaongeza Deni. Anatia hasara serikali.
Amekuwa pia na tabia ya kuletea wanafunzi pombe anawalewesha na kutembea nae, pia ndio anayechajia wanafunzi simu.
Naomba msaada.
Nimejiunga purposely kwa issue hii, naamini hapa Ni sehemu salama,sitajulikana lakini pia ,msaada utaonekana.Hii ni ID imejiunga JF maksudi kwa ajili ya huyo mhasibu. Joined on Saturday na siku hiyohiyo mada ya kwanza ni kuhusu huyo mhasibu. Tuwe makini isije kuwa vita binafsi ya kazini inahamishiwahuku JF
Wachunguzi watakuja na majibu hayo, kwa Sasa kwenu mtaona Ni tuhuma kwangu sio tuhuma Ni kitu kilichotokea.Anaongezaje deni na risiti unazo?
Acha miyeyusho dogo
Sio kweli,umakini unahitajika sana katika kudeal na mtoto wa kike hasa shuleni, sikatai haya mambo yapo na yanafanyika katika jamii yetu,shida pia ipo watoto wa kike hutumia hata kama defence mechanism pale anapogomban na jinsia ya kiume.Huu ni upumbavu, huyu ni whistle blower anatakiwa alindwe na apewe heshima kwa kuliandika hili, atakua ameokoa wengi, nadhani wewe huna mtoto hasa wa kike, mtoa mada nchi inahitaji push back ya nguvu ili tupate katiba mpya, katiba hii itatupatia mtu atakayeitwa PUBLIC PROTECTOR, na hii case ingetua ofisini kwake na elewa maamuzi yake ni court binding (ana hadhi ya ujaji),for now ni ngumu sana kwa mtoto wa kike kuwa kwenye hizi institutions zetu, JKT binafsi ningekua na mtoto wa kike ningempiga NO kwenda kule, nimepitia na najua kinachofanyika kule, awamu yangu wanaume tulikua tough na tuliweza kutengeneza iron ring kumzunguka mtoto wa kike aliyekua anatakiwa na OC na tukamudu kumlinda
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Walimu wanapitia magumu sana