My Honest Book
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 1,363
- 2,161
Ulivyoanza ni km mtu ambae una msaada kwny hili swalaInaelekea hadi unamaliza hapo hukumkubalia, je uliongezewa deni lolote? (na ushahidi) au Ulipokea manyanyaso/vitisho vyovyote? All in all atamulikwa.
Mbona hamna shule inayoitwa Machame sekondari? Hiyo shule ni mchanganyiko? Iko wapi?Nimejiunga purposely kwa issue hii, naamini hapa Ni sehemu salama,sitajulikana lakini pia ,msaada utaonekana.
Inaitwa Machame Girls. Ni ya serikaliMbona hamna shule inayoitwa Machame sekondari? Hiyo shule ni mchanganyiko? Iko wapi?
Ushaidi wa nn au ndo ww mhasibuMh siwezi pinga ila ushahidi ulitakiwa uwepo.
Angalau tuone texts.
Tuone deni lako kabla na baada ya kumkatalia.
Isipokua umefanya vyema kupuliza hii filimbi
Machame Girls ni sawa, mtoa taarifa hatoi taarifa zilizokamilika jambo linaloacha mashakaInaitwa Machame Girls. Ni ya serikali
Ipo Machame
Hahaaa mpwayungu tena [emoji23] [emoji23] [emoji23]Walimu wanapitia magumu sana
Nmewai kuwa mwl wa kujitolea mwaka 2010 , wanafunz pia wanatabia ya kuwataka walimu na wakikataliwa wanakuja kudai wametongozwa , vitengo husika wasiwe na upande kwenye hili , waweke mtego kwa mwl husika , na watoe onyo kwa uongoz wa shule kama mwanafunz akitoa taarifa za manyanyaso na wasipochukua hatua basi uongoz wa shule uchukiliwe hatua piaMhasibu wa Machame Sekondari jirekebishe au serikali ingilieni kati
Mimi ni mwanafunzi nimemaliza hapo mwaka huu
Mhasibu huyu amekuwa akinitongoza kwa muda mrefu Sana, nimetoa taarifa kwa walimu hawajanipa msaada, nimetoa taarifa ya maandishi kwa Mkuu hakuna msaada.
Ninaomba wanajukwaa na viongozi mliopo humu nisaidieni suala hili, limeumiza wanafunzi wengi Sana
More enough kama unadaiwa Deni ukimkubalia kutembea nae anafuta Deni ukimkatalia anaongeza Deni. Anatia hasara serikali.
Amekuwa pia na tabia ya kuletea wanafunzi pombe anawalewesha na kutembea nae, pia ndio anayechajia wanafunzi simu.
Naomba msaada.