DOKEZO Serikali mchukulieni hatua Mhasibu wa Machame Sekondari, anayoyafanya anawachafua, anatembea na wanafunzi

DOKEZO Serikali mchukulieni hatua Mhasibu wa Machame Sekondari, anayoyafanya anawachafua, anatembea na wanafunzi

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Huyu demu nae mawenge kinoma,kaandika shutuma zake kaziweka public afu kapotea hataki hata kujibu vitu vinavyoulizwa na watu wanaotaka kusaidia,Huu uzi ufutwe
 
Wewe ni mzalendo unapaswa kulindwa kwa gharama yeyote. Serikali naamini imelisikia na watalifanyia kazi.
 
Mhasibu wa Machame Sekondari jirekebishe au serikali ingilieni kati

Mimi ni mwanafunzi nimemaliza hapo mwaka huu

Mhasibu huyu amekuwa akinitongoza kwa muda mrefu Sana, nimetoa taarifa kwa walimu hawajanipa msaada, nimetoa taarifa ya maandishi kwa Mkuu hakuna msaada.

Ninaomba wanajukwaa na viongozi mliopo humu nisaidieni suala hili, limeumiza wanafunzi wengi Sana

More enough kama unadaiwa Deni ukimkubalia kutembea nae anafuta Deni ukimkatalia anaongeza Deni. Anatia hasara serikali.

Amekuwa pia na tabia ya kuletea wanafunzi pombe anawalewesha na kutembea nae, pia ndio anayechajia wanafunzi simu.

Naomba msaada.
Nmewai kuwa mwl wa kujitolea mwaka 2010 , wanafunz pia wanatabia ya kuwataka walimu na wakikataliwa wanakuja kudai wametongozwa , vitengo husika wasiwe na upande kwenye hili , waweke mtego kwa mwl husika , na watoe onyo kwa uongoz wa shule kama mwanafunz akitoa taarifa za manyanyaso na wasipochukua hatua basi uongoz wa shule uchukiliwe hatua pia
 
Back
Top Bottom