Serikali: Mfumuko wa Bei za Vyakula na Vinywaji bado ni Himilivu

Serikali: Mfumuko wa Bei za Vyakula na Vinywaji bado ni Himilivu

OFISI ya Taifa ya Takwimu (NBS), imetabiri kwamba mfumuko wa bei za bidhaa za vyakula na vinywaji baridi unatarajiwa kupungua kwa asilimia moja katika kipindi cha robo ya kwanza ya mwaka huu.

Pia imesema mfumuko wa bei kwa ujumla unahimilika kwa kuwa bado uko kwenye tarakimu moja.

Mtakwimu Mkuu wa Serikali, Dk. Albina Chuwa, alisema hayo jijini Dar es Salaam, alipokuwa akifungua kikao kazi cha waandishi wa habari, ofisi ya takwimu na Benki Kuu ya Tanzania (BoT).

Alisema ofisi hiyo imefanya maoteo ya mwenendo wa mfumuko wa bei za bidhaa za vyakula na vinywaji baridi kwa Januari hadi Machi, ili kuisaidia serikali kufanya uamuzi wa kisera wenye vigezo vya takwimu.

“Maoteo hayo yanaonyesha mfumuko wa bei wa bidhaa za vyakula na vinywaji baridi utaendelea kupungua kutoka asilimia 9.7 Desemba, mwaka jana, hadi asilimia 8.4 Machi, 2023,” alisema.

“Tanzania itaendelea kuwa na mfumuko wa bei stahimilivu ndani ya kipindi cha robo mwaka ya kwanza ya mwaka 2023. Hadi kufikia Machi, baadhi ya maeneo nchini yatakuwa yameanza mavuno ya mazao, hivyo kupunguza shinikizo la bei lililoko sokoni,” alisisitiza.

Dk. Chuwa alisema mikakati ya serikali ya kudhibiti upandaji wa nishati kama mafuta kutaendelea kupunguza gharama za uzalishaji na usafirishaji pamoja na kutoa ruzuku kwenye pembejeo za kilimo kutaongeza uzalishaji wa nafaka.

Kuhusu mfumuko wa bei wa nchi mwaka jana, Dk. Chuwa alisema hadi Desemba ulikuwa asilimia 4.8.

“Bado Tanzania inafanya vizuri kwa upande wa udhibiti wa bei za bidhaa na huduma za jamii,” alisema.

Takwimu zinaonyesha kuwa nchini Uganda, mfumuko wa bei mwaka jana ulikuwa asilimia 7.2 na Kenya asilimia 7.7 wakati nchi za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), ni kati ya asilimia tatu hadi 7.0.

Utabiri wa NBS unakuja siku moja baada ya Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango, Lawrence Mafuru, kutaja maeneo manne yatakayoisaidia Tanzania kukabiliana na mfumuko wa bei na kuleta unafuu ili nchi isiathirike zaidi kiuchumi.

Aidha, alisema mfumuko wa bei utaendelea kushuhudiwa kwa kuwa mitambo na mafuta ni bidhaa zinazonunuliwa kwenye mataifa makubwa ambayo yameathiriwa na mfumuko wa bei.

Alisema serikali inafanya jitihada, ili kuhakikisha nchi haikumbwi na uhaba wa chakula.

NIPASHE
unazidiwa akili na muheshimwa msukuma
 
Nyie mbumbumbu mmezidi kulialia humu JF hadi moderator wamechoka mada zenu za kipumbavu wanaziunganisha.[emoji23][emoji23]
Unakula na kulala kwa shemeji alikoolewa dadako, haya mambo ni magumu sana kwako
 
Nyie mbumbumbu mmezidi kulialia humu JF hadi moderator wamechoka mada zenu za kipumbavu wanaziunganisha.😂😂
Mbona huchoki kuzifuatilia na kuzichangia!?
Tushukuru sisi kwa sababu hii ndio inakupa kula wewe chawa lumumba buk7 tukiacha chawa hamtakuwa na kazi hapo Lumumba mtalala njaa
 
wakati wa Samia tsh 108000 inanunua kg 10 za mchele kwa tsh35000 kg 10 za maharage kwa tsh40000 na mafuta ya alizeti Lita 5 kwa tsh33000

pesa hiyo hiyo wakati wa Magufuli kg 10 za mchele ni tsh 11000 Lita 5 za mafuta ya alizeti ni tsh 17000 maharage kg10 tsh 20000

kwa hiyo kwa Magufuli kwenye 108000 unarudishiwa tsh 60000
Magufuli alikuwa genius sa
[https://radiotadio]

Dodoma FM

Dodoma FMHabari za JumlaBei ya mafuta ya alizeti yapaa

Bei ya mafuta ya alizeti yapaa

11 January 2021, 12:45 pm

Na,Shani,

Dodoma

Imeelezwa kuwa kupanda kwa bei ya mafuta ya kula hususan ya alizeti kumechangiwa na mvua kubwa iliyonyesha msimu uliopita.
Hayo yameelezwa na wafanyabasara katika soko la Majengo jijini Dodoma wakati wakizungumza na Dodoma Fm ambapo wamesema alizeti imeadimika kutokana na wakulima wengi kutopata mavuno mazuri msimu uliopita baada ya mvua kuziharibu shambani.

SUKARI
14 Apr 2020

Mwananchi 12/04/2020

[https://business]



Dar/mikoani. Bei ya sukari katika mikoa mbalimbali imeongezeka kwa kati ya Sh300 na Sh700, huku Waziri wa Kilimo akitaja sababu ya ongezeko hilo na kuwatoa hofu wananchi kwani tani 40,000 zimeshawasili kurekebisha hali hiyo.Uchunguzi uliofanywa na Mwananchi umebaini kuwa bidhaa hiyo imepanda bei kwa takribani mwezi mmoja sasa, lakini kuna tofauti ya ongezeko hilo katika maeneo.



Katika baadhi ya maeneo, bei imepanda kutoka Sh2,600 kwa kilo moja hadi Sh3,000 na maeneo mengine kutoka Sh2,800 hadi Sh3,000, huku katika mikoa kama Arusha, Mwanza na Dodoma bei imepanda kutoka kati ya Sh2,400 kwa kilo moja hadi Sh3,000 na vijijini imefika Sh3,500.



“Ni kweli bei ya sukari imeanza kuongezeka kutokana na kuongezeka kwa mahitaji yake, lakini Serikali tayari imeagiza tani 40,000 kutoka nje ya nchi ili kumaliza changamoto hiyo,” alisema Waziri wa Kilimo, Joseph Hasunga.

Bei zilifika hapo babako Magu akiwa bado madarakani.
 
OFISI ya Taifa ya Takwimu (NBS), imetabiri kwamba mfumuko wa bei za bidhaa za vyakula na vinywaji baridi unatarajiwa kupungua kwa asilimia moja katika kipindi cha robo ya kwanza ya mwaka huu.

Pia imesema mfumuko wa bei kwa ujumla unahimilika kwa kuwa bado uko kwenye tarakimu moja.

Mtakwimu Mkuu wa Serikali, Dk. Albina Chuwa, alisema hayo jijini Dar es Salaam, alipokuwa akifungua kikao kazi cha waandishi wa habari, ofisi ya takwimu na Benki Kuu ya Tanzania (BoT).

Alisema ofisi hiyo imefanya maoteo ya mwenendo wa mfumuko wa bei za bidhaa za vyakula na vinywaji baridi kwa Januari hadi Machi, ili kuisaidia serikali kufanya uamuzi wa kisera wenye vigezo vya takwimu.

“Maoteo hayo yanaonyesha mfumuko wa bei wa bidhaa za vyakula na vinywaji baridi utaendelea kupungua kutoka asilimia 9.7 Desemba, mwaka jana, hadi asilimia 8.4 Machi, 2023,” alisema.

“Tanzania itaendelea kuwa na mfumuko wa bei stahimilivu ndani ya kipindi cha robo mwaka ya kwanza ya mwaka 2023. Hadi kufikia Machi, baadhi ya maeneo nchini yatakuwa yameanza mavuno ya mazao, hivyo kupunguza shinikizo la bei lililoko sokoni,” alisisitiza.

Dk. Chuwa alisema mikakati ya serikali ya kudhibiti upandaji wa nishati kama mafuta kutaendelea kupunguza gharama za uzalishaji na usafirishaji pamoja na kutoa ruzuku kwenye pembejeo za kilimo kutaongeza uzalishaji wa nafaka.

Kuhusu mfumuko wa bei wa nchi mwaka jana, Dk. Chuwa alisema hadi Desemba ulikuwa asilimia 4.8.

“Bado Tanzania inafanya vizuri kwa upande wa udhibiti wa bei za bidhaa na huduma za jamii,” alisema.

Takwimu zinaonyesha kuwa nchini Uganda, mfumuko wa bei mwaka jana ulikuwa asilimia 7.2 na Kenya asilimia 7.7 wakati nchi za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), ni kati ya asilimia tatu hadi 7.0.

Utabiri wa NBS unakuja siku moja baada ya Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango, Lawrence Mafuru, kutaja maeneo manne yatakayoisaidia Tanzania kukabiliana na mfumuko wa bei na kuleta unafuu ili nchi isiathirike zaidi kiuchumi.

Aidha, alisema mfumuko wa bei utaendelea kushuhudiwa kwa kuwa mitambo na mafuta ni bidhaa zinazonunuliwa kwenye mataifa makubwa ambayo yameathiriwa na mfumuko wa bei.

Alisema serikali inafanya jitihada, ili kuhakikisha nchi haikumbwi na uhaba wa chakula.

NIPASHE
Hata watanzania nao ni wahimilivu.
 
OFISI ya Taifa ya Takwimu (NBS), imetabiri kwamba mfumuko wa bei za bidhaa za vyakula na vinywaji baridi unatarajiwa kupungua kwa asilimia moja katika kipindi cha robo ya kwanza ya mwaka huu.

Pia imesema mfumuko wa bei kwa ujumla unahimilika kwa kuwa bado uko kwenye tarakimu moja.

Mtakwimu Mkuu wa Serikali, Dk. Albina Chuwa, alisema hayo jijini Dar es Salaam, alipokuwa akifungua kikao kazi cha waandishi wa habari, ofisi ya takwimu na Benki Kuu ya Tanzania (BoT).

Alisema ofisi hiyo imefanya maoteo ya mwenendo wa mfumuko wa bei za bidhaa za vyakula na vinywaji baridi kwa Januari hadi Machi, ili kuisaidia serikali kufanya uamuzi wa kisera wenye vigezo vya takwimu.

“Maoteo hayo yanaonyesha mfumuko wa bei wa bidhaa za vyakula na vinywaji baridi utaendelea kupungua kutoka asilimia 9.7 Desemba, mwaka jana, hadi asilimia 8.4 Machi, 2023,” alisema.

“Tanzania itaendelea kuwa na mfumuko wa bei stahimilivu ndani ya kipindi cha robo mwaka ya kwanza ya mwaka 2023. Hadi kufikia Machi, baadhi ya maeneo nchini yatakuwa yameanza mavuno ya mazao, hivyo kupunguza shinikizo la bei lililoko sokoni,” alisisitiza.

Dk. Chuwa alisema mikakati ya serikali ya kudhibiti upandaji wa nishati kama mafuta kutaendelea kupunguza gharama za uzalishaji na usafirishaji pamoja na kutoa ruzuku kwenye pembejeo za kilimo kutaongeza uzalishaji wa nafaka.

Kuhusu mfumuko wa bei wa nchi mwaka jana, Dk. Chuwa alisema hadi Desemba ulikuwa asilimia 4.8.

“Bado Tanzania inafanya vizuri kwa upande wa udhibiti wa bei za bidhaa na huduma za jamii,” alisema.

Takwimu zinaonyesha kuwa nchini Uganda, mfumuko wa bei mwaka jana ulikuwa asilimia 7.2 na Kenya asilimia 7.7 wakati nchi za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), ni kati ya asilimia tatu hadi 7.0.

Utabiri wa NBS unakuja siku moja baada ya Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango, Lawrence Mafuru, kutaja maeneo manne yatakayoisaidia Tanzania kukabiliana na mfumuko wa bei na kuleta unafuu ili nchi isiathirike zaidi kiuchumi.

Aidha, alisema mfumuko wa bei utaendelea kushuhudiwa kwa kuwa mitambo na mafuta ni bidhaa zinazonunuliwa kwenye mataifa makubwa ambayo yameathiriwa na mfumuko wa bei.

Alisema serikali inafanya jitihada, ili kuhakikisha nchi haikumbwi na uhaba wa chakula.

NIPASHE
Kwamba bei ni himilivu unampima nani? Bakhresa au Mwajuma ndala ndefu?
 
OFISI ya Taifa ya Takwimu (NBS), imetabiri kwamba mfumuko wa bei za bidhaa za vyakula na vinywaji baridi unatarajiwa kupungua kwa asilimia moja katika kipindi cha robo ya kwanza ya mwaka huu.

Pia imesema mfumuko wa bei kwa ujumla unahimilika kwa kuwa bado uko kwenye tarakimu moja.

Mtakwimu Mkuu wa Serikali, Dk. Albina Chuwa, alisema hayo jijini Dar es Salaam, alipokuwa akifungua kikao kazi cha waandishi wa habari, ofisi ya takwimu na Benki Kuu ya Tanzania (BoT).

Alisema ofisi hiyo imefanya maoteo ya mwenendo wa mfumuko wa bei za bidhaa za vyakula na vinywaji baridi kwa Januari hadi Machi, ili kuisaidia serikali kufanya uamuzi wa kisera wenye vigezo vya takwimu.

“Maoteo hayo yanaonyesha mfumuko wa bei wa bidhaa za vyakula na vinywaji baridi utaendelea kupungua kutoka asilimia 9.7 Desemba, mwaka jana, hadi asilimia 8.4 Machi, 2023,” alisema.

“Tanzania itaendelea kuwa na mfumuko wa bei stahimilivu ndani ya kipindi cha robo mwaka ya kwanza ya mwaka 2023. Hadi kufikia Machi, baadhi ya maeneo nchini yatakuwa yameanza mavuno ya mazao, hivyo kupunguza shinikizo la bei lililoko sokoni,” alisisitiza.

Dk. Chuwa alisema mikakati ya serikali ya kudhibiti upandaji wa nishati kama mafuta kutaendelea kupunguza gharama za uzalishaji na usafirishaji pamoja na kutoa ruzuku kwenye pembejeo za kilimo kutaongeza uzalishaji wa nafaka.

Kuhusu mfumuko wa bei wa nchi mwaka jana, Dk. Chuwa alisema hadi Desemba ulikuwa asilimia 4.8.

“Bado Tanzania inafanya vizuri kwa upande wa udhibiti wa bei za bidhaa na huduma za jamii,” alisema.

Takwimu zinaonyesha kuwa nchini Uganda, mfumuko wa bei mwaka jana ulikuwa asilimia 7.2 na Kenya asilimia 7.7 wakati nchi za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), ni kati ya asilimia tatu hadi 7.0.

Utabiri wa NBS unakuja siku moja baada ya Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango, Lawrence Mafuru, kutaja maeneo manne yatakayoisaidia Tanzania kukabiliana na mfumuko wa bei na kuleta unafuu ili nchi isiathirike zaidi kiuchumi.

Aidha, alisema mfumuko wa bei utaendelea kushuhudiwa kwa kuwa mitambo na mafuta ni bidhaa zinazonunuliwa kwenye mataifa makubwa ambayo yameathiriwa na mfumuko wa bei.

Alisema serikali inafanya jitihada, ili kuhakikisha nchi haikumbwi na uhaba wa chakula.

NIPASHE
Mtakwimu feki huyo mbona mfumuko wa bei za vitu umeongezeka zaidi ya mara mbili?

Vita ya Ukraine na Covid-19 ni kichaka cha visingizio visivyovumilika
 
Back
Top Bottom