kwa hiyo,Kifo cha kwanza charipotiwa toka mloganzila, taarifa kupitia clouds muda huu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwa hiyo,Kifo cha kwanza charipotiwa toka mloganzila, taarifa kupitia clouds muda huu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wa kwanza kufa kwa ugonjwa husikaMgonjwa wa kwanza wa Corona alikuwa Isabela and we were told that she recovered and would have been discharged soon, sasa huyo wa kwanza ni nani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona the English is simple, The first to kukata roho.Mgonjwa wa kwanza wa Corona alikuwa Isabela and we were told that she recovered and would have been discharged soon, sasa huyo wa kwanza ni nani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mgonjwa wa kwanza wa Corona alikuwa Isabela and we were told that she recovered and would have been discharged soon, sasa huyo wa kwanza ni nani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mloganzila iko mkoa wa Dar,ila kikanda ni Pwani. Dar inaanzia darajani maili moja Kibaha. Kama sijakosea.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu ni mgonjwa wa kwanza kufa. Isabella alikuwa wa kwanza kutambulika kuwa ana huu ugonjwa na tuliambiwa kuwa alishaponaMgonjwa wa kwanza wa Corona alikuwa Isabela and we were told that she recovered and would have been discharged soon, sasa huyo wa kwanza ni nani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Bashite anaombea mtoto wa Mwamba COVID-19 Impende zaidi ili yeye asimame kwa madia kutangaza. Msione ame _mute!
Hii coment yako nimeielewa sana!nlichogundua tangu hii kitu imeanza inaua wenye 45 n plus,ikiwa chini ya umri huo lazima awe na maradhi mengine.hii Ni kwa sababu katika umri wa kuanzia miaka 46 Kinga za mwili zinaanza kuwa dhaifu
NB:MTU MWEUSI HATA AWE NA 50 YRS KUFA KWA CORRONA LAZIMA AWE NA MARADHI MENGINE
PROUD OF BLACK
OKAlikuwa na pressure na kisukari.
Walikuwa na magonjwa mengine au hawakuwa nayo that is irrelevant...the fact is wote wamekufa na sababu ni coronaNi hivi afsa: Ugonjwa wa corona unaweza kumuua mtu yeyote hata yule mwenye afya kabisa. UK kulingana na data za leo kuna watu 28 wamefariki ambao hawakuwa na ugonjwa mwingine wowote. Yaani walikuwa wazima kabisa. Japokuwa kwa wenye magonjwa mengine na wazee ni rahisi zaidi kuathirika au kufariki lakini hata wazima kabisa wapo wanaofariki. Italia wamefariki madaktari 60 mpaka sasa hivi. Unataka kuniambia hawa madaktari wote walikuwa na magonjwa mengine?
Vidudu vina uwezo wa kuishi on surface only for 4days. Baada ya hapo ruhusa mkuu kwenda kwenye kabiri la ndugu yakoHivi ndugu wanaruhusiwa kutembelea kaburi la ndugu yake aliyefariki kwa Corona? Nawaza tu au vijidudu bado vinaishi?
Ila hapa itabidi kusubiri ugonjwa uishe kwa sababu si nasikia kuna eneo maalumu la kuzika waliofariki kwa ugonjwa huu au ni radio Mbao zinatudanganya sisi wa kijijini?Vidudu vina uwezo wa kuishi on surface only for 4days. Baada ya hapo ruhusa mkuu kwenda kwenye kabiri la ndugu yako
KwaIla hapa itabidi kusubiri ugonjwa uishe kwa sababu si nasikia kuna eneo maalumu la kuzika waliofariki kwa ugonjwa huu au ni radio Mbao zinatudanganya sisi wa kijijini?
Ahsante sana Mkuu. I really appreciate it.Kwa
Kwakweli hili bado sijalijua maana so far aliyefariki ni mmoja na hawakutangaza amezikwa wapi. Tutajuzana kama hilo la kuzika ni sehemu moja ama vipi.