Serikali: Mgonjwa wa Corona afariki dunia Mloganzila Hospital

Serikali: Mgonjwa wa Corona afariki dunia Mloganzila Hospital

Kifo cha shamte, afsa Ustawi WA MOI anaongea kirahisi tu na leo pia wazir kirahisi tu amefariki, mfumo wetu WA afya ni shida licha ya corona.
Tulijinasibu ugonjwa huu si shida lkn Leo.........magonjwa mengine
 
Kumbe alikuwa anasumbuliwa na maradhi mengine..........kabla ya COVID-19.
Kwa hiyo taarifa hii inaidhinisha kifo chake (kwa sababu alikuwa na maradhi mengine) Ina maana asingekuwa na maradhi mengine basi Corona isingetoa uhai wake?.....

Nawaza kwa sauti watanzania wangapi hawajijui kama wanayo maradhi mengine.

RIP Kaka, Poleni wana familia, ndugu, jamaa na marafiki.
 
Huyu jamaa inasemekana alikua fine hadi ijumaa na ni mtu wa watu kwa maana kwamba ni mtu wa kukutana na watu.


Baada ya kuanza kujisikia vibaya akalazwa na jumamosi akapelekwa ICU maana yake vitu vilisha anza kufeli.


Leo jumanne kaaga ina maana jamaa alikua na corona wiki nzima pengine iliyo pita.

Naogopa hadi kutoka nje.. corona dar ipo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na tunaposema Mgonjwa wa kwanza tunamaanisha nini…...wale wanaoweza kufika katika hospital zilizotengwa, waliojitokeza kwa kujihisi (kama Isabellah) au vipi maana najua ile home remedies (ile unajisikia kikohozi unaambiwa kunywa tangawizi/ mafua, homa unaambiwa jifukize na majani ya mwarubaini bado wale ambao unajiendea pharmacy unanunua Panadol ili upoze maumivu) bado watu wanaipractise sana……...vipi wale ambao hata gharama za kuhudhuria hospitali pale wanapojihisi wagonjwa hawazimudu? Tuna uhakika gani kuwa wanafariki kwa magonjwa mengine na sio Corona?

Je ni wote wanaojisikia kuumwa wanaripotiwa na kuwekwa kwenye records za suspects?

Watu wa afya hebu tuelimisheni au mnaongelea ile idadi tu ya watu wanaoripotiwa?
 
Inaelekea unakejeli juhudi za Rais na serikali katika mapambano dhidi ya Corona
Mmmghhhh kweli ibilisi wa mtu ni MTU. Wapi nimekejeli? Yeye ndio alianzisha Uzi hapa au ni kujipendekeza tu???
 
Huyu jamaa inasemekana alikua fine hadi ijumaa na ni mtu wa watu kwa maana kwamba ni mtu wa kukutana na watu.


Baada ya kuanza kujisikia vibaya akalazwa na jumamosi akapelekwa ICU maana yake vitu vilisha anza kufeli.


Leo jumanne kaaga ina maana jamaa alikua na corona wiki nzima pengine iliyo pita.

Naogopa hadi kutoka nje.. corona dar ipo.

Sent using Jamii Forums mobile app
hatari

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu jamaa inasemekana alikua fine hadi ijumaa na ni mtu wa watu kwa maana kwamba ni mtu wa kukutana na watu.


Baada ya kuanza kujisikia vibaya akalazwa na jumamosi akapelekwa ICU maana yake vitu vilisha anza kufeli.


Leo jumanne kaaga ina maana jamaa alikua na corona wiki nzima pengine iliyo pita.

Naogopa hadi kutoka nje.. corona dar ipo.

Sent using Jamii Forums mobile app
So pamoja na campaign ya Stay at Home bado aliendelea kukutana na watu?
Mh
 
Endeleeni kukebehi tu lakini hatujui ya kesho. Marehemu alikuwa na asili ya pumu na siyo kama alikuwa kwenye hali mbaya kabla ya kuugua. Alilazwa hospital ya Agha khan na watu wengi walikuwa wanamtembelea hospitalini kabla hajahamishwa.
Sasa ukiulizwa kwanini kafa na wengine wamepona corona?ndio tunarudi kulekule kwenye maradhi mengine.
 
Sasa ukiulizwa kwanini kafa na wengine wamepona corona?ndio tunarudi kulekule kwenye maradhi mengine.
Ni hivi afsa: Ugonjwa wa corona unaweza kumuua mtu yeyote hata yule mwenye afya kabisa. UK kulingana na data za leo kuna watu 28 wamefariki ambao hawakuwa na ugonjwa mwingine wowote. Yaani walikuwa wazima kabisa. Japokuwa kwa wenye magonjwa mengine na wazee ni rahisi zaidi kuathirika au kufariki lakini hata wazima kabisa wapo wanaofariki. Italia wamefariki madaktari 60 mpaka sasa hivi. Unataka kuniambia hawa madaktari wote walikuwa na magonjwa mengine?
 
Ushauri wangu kwa wizara ya Afya: kusema mgonjwa alikuwa na magonjwa mengine ni kupunguza makali ya corona na wananchi watadhani corona yenyewe haiwezi kuua. Zingatieni tafadhali.
Mkuu tunaona watu wanavyokufa huko ulaya kutokana na corona,hivyo sioni haja ya kufichaficha mambo ikitokea watu kuhoji kuhusiana na hivyo vifo vya corona kwa kupata uelewa zaidi.
 
MH WAZIRI TUFICHIE SIRI HATAKAMHATAKAMA ANA MAGONKWA MENGI ONA SASA KILA MTU ANATAKA KUJUA UGONJWA GAN ANDIKEN CORONA INATOSHA
TUWASITIRI MAREHEM HAPA NIMWTOA CHAFYA KILA MTU ANANIANGALIA MARA NNE
 
IMG-20200331-WA0025.jpg
 
Back
Top Bottom