Serikali: Mgonjwa wa Corona afariki dunia Mloganzila Hospital

Serikali: Mgonjwa wa Corona afariki dunia Mloganzila Hospital

Poleni Watanzania, ila inatia moyo kujua alikua anaumwa maradhi mengine, Corona kwa Waafrika bado haijamchukua mtu aliyekua mzima, nimefuatilia habari za kila kifo..
Mkuu, kwa taarifa yako,asilimia kubwa ya Waafrika wanaishi/tunaishi na maradhi mbalimbali kwenye miili yetu tena maradhi mengine hata hatujui kuwa tunayo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ukisikia ile wanasema 'yeye mbele sisi nyuma' ni hii sasa

Mungu Tunusuru:

Pia na serikali iwekeze kwenye afya ya wananchi hasa hii C-19...

na kama ilivyoweza kununua Dreamliner kwa Cash, pia inunue vifaa vinavyotosheleza kukabili hili janga hata kwa mkopo

*hadi nimekumbuka wale wahanga walioambiwa 'mwafaa'

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ety alikuwa na magonjwa mengne??Nyie endeleeni kuufanyia utani huu ugonjwa.Natamani wa pili awe magu ili tujipange vzuri namna ya kupambana na huu ugonjwa.
Huu ugonjwa bado kuna mambo mengi hayajafahamika ila watu wakijaribu kuhoji na kufikiri tofauti wanaonekana wapotoshaji na wanajifariji.
 
Bila hatua stahiki, haya maneno mtayasema hadi mtachoka.
Kwanini useme hivyo kwani kuna ambao watu waliacha kufa? Kila saa watu wanakufa haijarishi corona,kipindupindu wala ebola.
 
Jamaa kazikwa na jeshi hakuna ndugu kusogea karibu
 
Watu wanavyopaniki utafikiri Nchi hii watu hawafi.
Maralia inaua zaidi ya watu 2000 kila siku duniani lakini mkipewa chandarua mnatengenezea mabanda ya kufugia bata.
Fikiri tangu corona ameingia Nchini ni wagonjwa wangapi wamekufa kwa maradhi mengine?
Wengine wanailaumu Serikali kwa kifo cha huyu Ndugu yetu jiulizeni hao Wazungu mnaowasifia kwa uongozi bora mbona wanakufa kwa maelfu per day.
Mnaosema Serikali itangaze lockdown inawezekana hamjui chochote kuhusu Watanzania na maisha yao.Hata hivyo Mataifa yote ya Afrika mashariki yaliyotangaza lockdown kila siku idadi inaongezeka kwa kasi.e.g Rwanda sasa hivi Wagonjwa wamefikia 70.
Mungu u pamoja nasi.
 
Tusi-neutralize habari ionekane maradhi mengine ndio chanzo ama moja ya sababu ya kifo chake tuwekane wazi kua Corona ni ugonjwa hatari na unaua namkubali Sana Rais magufuli katika ili hua hamung'unyi maneno Ana weka wazi kabisa kua Corona inaua.
 
Back
Top Bottom