Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Serikali haina dini mbona huyu waziri anaandika kuhusu Mungu kwenye document ya kiserikali?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila hatua stahiki, haya maneno mtayasema hadi mtachoka.Inna li Llahi wa Inna Ilayhi Rajiun.
Sema mwenyeweRaha ya milele umpe eeh bwana na mwanga wa milele umuangazie
Apumzike kwa amani
Na wote tuseme amina.[emoji120][emoji120][emoji40]
Kila anayefariki kwa Corona Afrika wanasema alikua anaumwa mazagazaga mengine, mara kisukari mara hiki mara kile. Hivyo bado hatujakumbana na kifo cha Mwafrika aliyekua mzima.Kwani unafahamu namba ya wasiokuwa wazima Tanzania na Africa?
NdioHapo Rungwe Hotel ndiyo aliifanya self isolation area yake?
Serikali haina dini mbona huyu waziri anaandika kuhusu Mungu kwenye document ya kiserikali?
Mgonjwa wa kwanza wa Corona alikuwa Isabela and we were told that she recovered and would have been discharged soon, sasa huyo wa kwanza ni nani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu wazungu wakienda kukupima watakuambia una maradhi kibao wakati wewe una jiona ni mzima!Kila anayefariki kwa Corona Afrika wanasema alikua anaumwa mazagazaga mengine, mara kisukari mara hiki mara kile. Hivyo bado hatujakumbana na kifo cha Mwafrika aliyekua mzima.
Wazungu tatizo lao miili yao imezoea madawa mpaka haina uwezo wa kujipigania na ndio maana wakikutwa na kirusi kama hiki hakiwaach salama.
Uhalisia upi wakati mimi nimeishi pale miaka rundo? Bi mkubwa alinunua shamba kule mwaka 72, pia wakati tunahamishwa kupisha ujenzi wa hospitali tulikuwa tunahesabika kama wakazi wa wilaya kinondoni na sio kisaraweingia kwenye map zone ya DSM mkuu utaona mipaka,sibishi ila ndio uhalisia ulivyo...
mkuu tafuta map zone ya DSM...wacha kulalamika...mambo yamebadilika....ramani inasoma pale ni kisarawe...hii sio 1972 ni 2020 blaza......Uhalisia upi wakati mimi nimeishi pale miaka rundo? Bi mkubwa alinunua shamba kule mwaka 72, pia wakati tunahamishwa kupisha ujenzi wa hospitali tulikuwa tunahesabika kama wakazi wa wilaya kinondoni na sio kisarawe
Kwahiyo mnyika ni mbunge wa mkoa wa pwani?mkuu tafuta map zone ya DSM...wacha kulalamika...mambo yamebadilika....ramani inasoma pale ni kisarawe...hii sio 1972 ni 2020 blaza......
mnyika ndio kitu gani?Kwahiyo mnyika ni mbunge wa mkoa wa pwani?
Alikuwa na pressure na kisukari.Good thinking,wakikujibu nimbie mkuu!
Ulikatazwa kufanya hizo hatua stahiki?Bila hatua stahiki, haya maneno mtayasema hadi mtachoka.
naona mapovu yanakutoka.........ukibishana na mpumbavu nawe utakuwa mpumbavu.....ungekuwa umeipitia DSM map zone ungetambua ya kuwa wewe ni wale wale....shabiki kumbukizi......DSM map zone 2018.......katafute mbwiga mshika mwiko wewe....Punguza ufala basi, Mkoa Dar, Wilaya Ubungo, Kata Kibamba
TANZIA
Familia ya Marehemu Alhaj Brigedia Generali Hashim Mbita kwa huzuni kubwa inasikitika kuarifu msiba wa mdogo wetu mpendwa IDDI HASHIM MBITA uliotokea usiku wa kuamkia leo hospitalini Mloganzila.
Kutokana na tatizo lililopelekea kifo chake, CORONA, serikali itamzika mpendwa wetu leo mchana. Wawakilishi wachache sana wa familia wataruhusiwa kuhudhuria mazishi. Hakutakuwa na msiba wala matanga ya pamoja kuepuka kueneza maambukizi. Kila mtu aomboleze kwake.
Dua nyingi tumuombee Iddi Allah amuweke pema peponi. Amina.