900 Itapendeza zaidi
JF-Expert Member
- Nov 19, 2017
- 7,704
- 9,186
Ataingia kwenye record kuwa mgonjwa wa kwanza kufa Tanzania kwa ugonjwa wa COVID-19
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mgonjwa wa kwanza wa Corona alikuwa Isabela and we were told that she recovered and would have been discharged soon, sasa huyo wa kwanza ni nani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nahisi hawa ni wale waliokwisha kuunganishwa kwenye gridi ya taifakabla ya Corona alikuwa na ugonjwa upi? lazima tulijue hilo maana corona yeye ni sombasomba hasa kwa wale wadhaifu anamalizia tu.
kabla ya Corona alikuwa na ugonjwa upi? lazima tulijue hilo maana corona yeye ni sombasomba hasa kwa wale wadhaifu anamalizia tu.
Mimi kaniblockMwana FA vipi anaonekana Instagram?
Lakini list imebaki vile vile 19 why?My Son, huyo IDDI ni mgonjwa wa covid19 wa kwanza kufariki
Mjinga huyo, mimi niliamua kum-unfollow baada ya kuona na ukike sana.Mimi kaniblock
Kuna mtu jana alinipa taarifa za wagonjwa huko nimeanza kuamini ni mkweli.
Hapo Rungwe Hotel ndiyo aliifanya self isolation area yake?Kuna mchina mmoja leo kafa asubuhi rungwe hotel iliopo mtaa wa mahiwa kariakoo inasemekana ni corona
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]COVID -19 ana sifa kubwa moja tu ya kumalizia !!
Mkuu so sad,bila hizo Ventilators ni tatizo kubwa,angalau tungekuwa na 15000 kwa kuanzia.Tanzania hospitali pekee yenye respiratory ventilators ni Muhimbili tu. Sina uhakika ni ngapi lakini **** mtu aliwahi kusema kuwa ni 4 tu. Sijui kama ni kweli. Lakini hospitali zetu nyingine, hazina.
Siyo kila ICU ina respiratory ventilators. Kama ulivyosema, mgonjwa ambaye mapafu yake yameshambuliwa kwa kiasi kikubwa na covid-19, bila ventilator machine, must go.
Na pia wataalam waku-operate hizi machine, hata tukipewa, naambiwa tunao wachache sana hapo Muhimbili. Kungine huko hawapo.
RIP ndugu yetu, na Mungu awafariji wafiwa wote!Waziri wa afya Ummy Mwalimu ametangaza kifo cha mgonjwa wa Corona kilichotokea leo asubuhi katika kituo cha Mlonganzila.
Anakuwa mgonjwa wa kwanza nchini kutangazwa kufa kwa ugonjwa huu.
"Nasikitika kutangaza Kifo cha Kwanza cha Mgonjwa wa COVID-19 hapa nchini Kilichotokea alfajiri ya Leo katika Kituo cha Matibabu ya wagonjwa wa COVID-19 kilichopo Mloganzila DSM. Marehemu ni Mtanzania Mwanaume Miaka 49 Alikuwa akisumbuliwa na Maradhi Mengine"
Waziri Ummy Mwalimu
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]Mie nimeguswa na sehemu inayosema mgonjwa mmoja amepona. Najiuliza Mwana FA, Isabella ama meneja wa Diamond yupi alopona?
Wale waliomwambia Mwana FA assme ameugua Corona kisha aseme amepona walikusudia nini?
Waziri Ummy alionekana kumpongeza na kumsifu Mwana FA, alijua anachokifanya?
Sent using Jamii Forums mobile app
ingia kwenye map zone ya DSM mkuu utaona mipaka,sibishi ila ndio uhalisia ulivyo...Acha kubisha mkuu kisarawe haianzii pale, ilipo hospital ni jimbo la kibamba ambapo mbunge ni mnyika
Hawaruhusiwi, huko Italy kuzika ni kazi ya wanajeshi. Hata familia hairuhusiwi kuhudhuria. China wamepiga kiberiti watu wengi sana.Mziki ni mazishi bongo wataogopa kugusa mwili wa marehemu [emoji2]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani unafahamu namba ya wasiokuwa wazima Tanzania na Africa?Poleni Watanzania, ila inatia moyo kujua alikua anaumwa maradhi mengine, Corona kwa Waafrika bado haijamchukua mtu aliyekua mzima, nimefuatilia habari za kila kifo..