Serikali: Mgonjwa wa Corona afariki dunia Mloganzila Hospital

Serikali: Mgonjwa wa Corona afariki dunia Mloganzila Hospital

nasikia eti ni mtoto wa dj eti yule jamaa yule wa naniii mh umbea huu😳
😳
 
kabla ya Corona alikuwa na ugonjwa upi? lazima tulijue hilo maana corona yeye ni sombasomba hasa kwa wale wadhaifu anamalizia tu.
Good thinking,wakikujibu nimbie mkuu!
 
Kweli Covid baba lao
Yakishindwa maradhi mengine kukuondoa dunianai,Covid corona Anasomba.
Inaonesha Mungu kaleta Msamaha kwa wagonjwa kuugua kwa muda mrefu ili wasisumbuuke tena.
Hii nayo ni Rehema pia.
Mungu Mkubwa.
Usijidanganye kuwa wagonjwa tu ndiyo wanafariki, Italia wamefariki madaktari 61.
 
Mwili unazikwa na serikali na nyumbani hamruhusiwi kukutana katika msiba. Tunaomba maelekezo zaidi katika hili. Inamaana kuna ndugu zetu ambao hatutaonana nao tena wala kuwaaga.
 
Kushoto kama waelekea ubungo huwa dar inaanzia kiluvya. Ila kulia mpaka ufike kibamba ndo unakuwa dar
Na hospitali ipo kobamba, kata ya kibamba jimbo ambalo mbunge wake ni JJ MNYIKA, sisi ndio tulihamishwa hapo kupisha ujenzi na mafao ya ardhi hatukulipwa eti eneo ni la kabimita mara tanganyika packers
 
Corona ichukuliwe kwa tahadhari ya hali ya juu.
Hii sio mzaha wa kikombe cha babu.
View attachment 1404731

Sent using Jamii Forums mobile app
Wazee wa fake news.. hivi kwanini watu mnaamini vitu bila kuthibitisha.. waziri mkuu wa Italy na btw huyo kwenye picha sio PM wa italy..

Kabla ya kupost jambo jitahidi basi hata kidogo kufanya uchunguzi fanya hata ku-google basi .kuliko kusambaza uzushi
 
Ni jangili wa majangili, gaidi wa magaidi mbele ya magaidi. Ni mnoma kuliko HIV Virus na ni babu wa babu wa yake king tuberculosis yani huyu ndiye king wa ma virus
Mwamba alikuwa anawachora amekuja kutamba mbele yao tena akiwakuta hao mabishoo wanaremba yeye anapita mazima
 
Iko Pwani Kisarawe, kuanzia kibamba darajari upande wa kushoto from Dsm ni Pwani _ Kisarawe.
Acha kubisha mkuu kisarawe haianzii pale, ilipo hospital ni jimbo la kibamba ambapo mbunge ni mnyika
 
Huu ugonjwa upo na unaua wanadamu wote kabisa, nilisikia mtu mmoja anawalisha wengine matango pori kwamba sisi waafrika hautuhusu nikashangaa sana, ni wito kila mmoja ajiangalie vizuri ajikinge Zaidi na ugonjwa huu. upo na ni hatari sana.
 
Ety alikuwa na magonjwa mengne? Nyie endeleeni kuufanyia utani huu ugonjwa.Natamani wa pili awe magu ili tujipange vzuri namna ya kupambana na huu ugonjwa.
 
Back
Top Bottom