Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Covid inasababisha vifo hasa kwa watu ambao afya yao haipo imara.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi tunasubiri nini kufunga safari zote za mikoani ili kuwanusuru mikoa ambayo bado haijapata maambukizi...?
Ndo hivyo tumeanza kufa.Ni watanzania wangapi ambao afya yao haipo imara?Wangapi wanapima kujua afya zao?Kuna watu wana kansa wameishi nayo zaidi ya miaka 15 ila haijajitokeza na hawajui kama wanaumwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuwa muelewa, huyu ni wa kwanza kufa.Mgonjwa wa kwanza wa Corona alikuwa Isabela and we were told that she recovered and would have been discharged soon, sasa huyo wa kwanza ni nani?
Sent using Jamii Forums mobile app
My Son, huyo IDDI ni mgonjwa wa covid19 wa kwanza kufarikiMgonjwa wa kwanza wa Corona alikuwa Isabela and we were told that she recovered and would have been discharged soon, sasa huyo wa kwanza ni nani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni jangili wa majangili, gaidi wa magaidi mbele ya magaidi. Ni mnoma kuliko HIV Virus na ni babu wa babu wa yake king tuberculosis yani huyu ndiye king wa ma virusCOVID -19 ana sifa kubwa moja tu ya kumalizia !!
Mgonjwa wa kwanza wa Corona alikuwa Isabela and we were told that she recovered and would have been discharged soon, sasa huyo wa kwanza ni nani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sometimes YES, sometimes NOIs Kabudi sick?
Hivi huyu ni mtoto wa marehemu Mzee Mbita au mdogo wake ??
Huko Ulaya wapo waliofariki wenye umri chini ya miaka 50, na hawakuwa na ugonjwa mwingine wowote kabla ya kuambukizwa coronavirus.Corona ni kama imekuja kuondoa watu wote wenye magonjwa yani lazima watu wote wenye magonjwa waondolewe wabaki watu wasio na magonjwa..
Sent using Jamii Forums mobile app