Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
CCM njooni muendelee kumsifia Jiwe, yaani baada ya kutuibia mmeamua sasa kutuacha tufe kwa Corona....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MSIWE NA TAHARUKI TUni kweli kaka, sasa tupo kwenye uwanja wa mapambano - potea maboya umeondoka!! laaah
hayo ni maneno ya kupeana matumaini tu, amekufa kwa corona.
Kifo cha kwanza........Mgonjwa wa kwanza wa Corona alikuwa Isabela and we were told that she recovered and would have been discharged soon, sasa huyo wa kwanza ni nani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilijua marehemu ni Mzungu,This is a huge wake up call for those who be saying that corona inaua wazungu tuu.
Bagwell
hayo ni maneno ya kupeana matumaini tu, amekufa kwa corona.
Yap kulia mwa barabara ni pwani wilaya ya sijui kisarawe Ile.Kushoto kama waelekea ubungo huwa dar inaanzia kiluvya. Ila kulia mpaka ufike kibamba ndo unakuwa dar
Yaan nikichekesho,ukitoka Kibamba ccm unafika kwanza shule ya msngi mloganzila ndo uende hospital,hiyo shule iko kisarawe lakini hosp wameipeleka Dar.
Haswa kwa sisi wenye ngoma
Usikariri mzee Hashim alifariki kitambo!Kuna msiba wa Hashimu Mbita lakini kwa uelewa wangu Hashimu hawezi kuwa chini ya miaka 70.
Kwani ulaya hawafi wakiwa na maradhi mengine?? Hivi hizo elimu mnasomea Ujinganlichogundua tangu hii kitu imeanza inaua wenye 45 n plus,ikiwa chini ya umri huo lazima awe na maradhi mengine.hii Ni kwa sababu katika umri wa kuanzia miaka 46 Kinga za mwili zinaanza kuwa dhaifu
NB:MTU MWEUSI HATA AWE NA 50 YRS KUFA KWA CORRONA LAZIMA AWE NA MARADHI MENGINE
PROUD OF BLACK
Wilaya ni Ubungo kbamba ni kata na Jimbo tu la uchaguzi.Mloganzila hos kuwa Dar wameiset tu kwasababu za kiutawala kumbuka ni tawi la Muhimbili.kijiografia pale palikuwa wilaya ya kisarawe pwani.
Si sahihi kusema 'lazima tulijue hilo' la magonjwa yaliyokuwa yakimsibu mhusika. Ugonjwa ni siri kati ya mtu na daktari wake,kabla ya Corona alikuwa na ugonjwa upi? lazima tulijue hilo maana corona yeye ni sombasomba hasa kwa wale wadhaifu anamalizia tu.