unprejudiced
JF-Expert Member
- Jan 27, 2017
- 3,503
- 2,865
Serikali ikisema kafa mmoja ujue wamekufa 10
Ili iweje. Yani inakuwa mpumbavu mpaka unataka na upumbavu wako Uwe kirusi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Serikali ikisema kafa mmoja ujue wamekufa 10
Kwani ulaya imechukua watu wasiokuwa na maradhi menginePoleni Watanzania, ila inatia moyo kujua alikua anaumwa maradhi mengine, Corona kwa Waafrika bado haijamchukua mtu aliyekua mzima, nimefuatilia habari za kila kifo..
Akifariki pia hatajwi kwa jina ila unaweza kusikia fulani kafariki, alikuwa na tatizo fulani ila Corona haitajwi.
Kwa hiyo unaweza kupata taarifa ya Umy baadae ukapata ya familia/chama/Serikali ila content tofauti.
Swali: Maiti haisambazi ugonjwa wakati wa kuaga kama Ebola?
Dar wilaya ya ubungopwani
Kifo cha kwanza,......hawajasema mgonjwa wa kwanza.Mgonjwa wa kwanza wa Corona alikuwa Isabela and we were told that she recovered and would have been discharged soon, sasa huyo wa kwanza ni nani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mgonjwa wa kwanza wa Corona alikuwa Isabela and we were told that she recovered and would have been discharged soon, sasa huyo wa kwanza ni nani?
Sent using Jamii Forums mobile app
RIP Iddi MbitaMwanaume wa miaka 49... Amepatwa na umauti Mloganzira leo asubuhi na pia alikuwa akisumbuliwa na maradhi mengine.
Kutoka kwa familia ya marehemu:
Iko Pwani Kisarawe, kuanzia kibamba darajari upande wa kushoto from Dsm ni Pwani _ Kisarawe.Mloganzila iko mkoa wa Dar,ila kikanda ni Pwani. Dar inaanzia darajani maili moja Kibaha. Kama sijakosea.
Sent using Jamii Forums mobile app
Manispaa ya Ubungo mkoa Dar es salaam. Ipo mpakani na wilaya ya Kibaha mkoa wa Pwanipwani
Wao walichoona cha muhimu ni kuitaja corona kwenye chake basi.Sisemi kitu,maana hatukuwa na taarifa za maambukizi yake sasa sijui kakutana nayo hospital.
Mungu ingilia kati.
Sent using Jamii Forums mobile app