Serikali: Mgonjwa wa Corona afariki dunia Mloganzila Hospital

Serikali: Mgonjwa wa Corona afariki dunia Mloganzila Hospital

Akifariki pia hatajwi kwa jina ila unaweza kusikia fulani kafariki, alikuwa na tatizo fulani ila Corona haitajwi.

Kwa hiyo unaweza kupata taarifa ya Umy baadae ukapata ya familia/chama/Serikali ila content tofauti.

Swali: Maiti haisambazi ugonjwa wakati wa kuaga kama Ebola?
 
Huu ugonjwa unafitina mbaya dizaini kama unatuathiri wanaume zaidi ya wanawake??

Aisee, pole kwa familia na R.I.P Iddi..

Everyday is Saturday..................😎
 
Kiukweli najiuliza Sana Juu Ya watu wanaohangaika na idadi ya walioambukizwa corona au idadi ya vifo kuwa hivi nia yao au lengo lao ni lipi?

Leo waziri Mwalimu ametoa taarifa ya kifo kimoja kilichotokea kwa wagonjwa waliokuwa wamelazwa akisumbuliwa na ugonjwa wa corona, katika twitter Ya zito kabwe ameuliza kuwa mheahimiwa huyu ni wa kwanza Au ni wapili?

Akimaaanisha kuwa kuna mwingne kafichwa, hivi wafiche ili isaidie nini? Kwa nini mnalazimisha idadi ya uongo akina zito?

Hivi kila aliekufa kwenu nyie mnadhani kafa kwa corona? Watu wanakufa hospitalini na wanaojua wamekufa kwa kifo gani ni madaktari na wapo wanokufa wakiwa na Dalili zooote za corona Lakini sio corona iliyowauwa, yapo magonjwa mengne yanayofanana na corona kidalili mfano dengue na magonjwa mengne, halafu sidhani Kama kuna sababu ya watu kurazimisha kifo cha mgonjwa aliekufa kwa marelia kitangazwe kuwa kimeyokana na corona, halafu mbona zito kabwe unalazimisha? Kwa nini unalazimisha?

Mimi nadhani faida kubwa ni kutotangaza idadi kubwa ya vifo, anaesema kuwa kutangaza idadi kubwa ndio suruhisho anatakuwa anafikiria kisiasa tu, majanga Kama vifo kwenye Vita hupaswi kuweka wazi, watu watakufa wengi kutokana na hofu, msikimbilie kutangaza vifo vingi, ikiwezekana vicha,

watanzania wana mawazo Sana ukianza kutangaza vifo utauwa watu Kwa mawazo zito, acha kukaaa unasubiria vifo, usifananishe wazungu na waafrika, acha kushabikia vifo zito kabwe serikali inashughulikia hili swala kwa tahadhali kubwa ikijua kuwa ikikurubuka itaumiza zaid! Acha siasa zito kwenye mambo ya msingi tuuungane kwenye janga tuangalie ni kipi cha unafuuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom