Serikali: Mgonjwa wa Corona afariki dunia Mloganzila Hospital

Serikali: Mgonjwa wa Corona afariki dunia Mloganzila Hospital

Hii inathibitisha ukweli wa tafiti mbalimbali kuwa hali yako ya afya kabla ya kupata coronavirus, ndiye muuamuzi mkuu wa kama utapona au utatangulia.

Ulimwengu wa leo, magonjwa kama ya moyo, kisukari, pneumonia, asthma, HIV, yanatembea na makundi yote, kuanzia watoto mpaka wazee. Tofauti ipo tu kwenye uwingi wa magonjwa katika kundi la wazee.

Lakini wazee sana katuka jamii za kiafrika wana bahati moja kuwa hawasafiri sana kama watu wa umri wa kati na vijana.

Kwa takwimu ziluzopo, mpaka sasa, hakuna mzee ambaye ameambukizwa coronavirus. Hii inatupa ujumbe wa aina fulani ambao kila mmoja atautafsiri mwenyewe.
 
Kina Zitto viongozi wa ajabu kupata kutokea ujuaji juaji mwingi tuu
 
Watu mnaoendeleza maombi kwa Mungu bila kuweka jitihadi za kujinga dhidi ya huu ugonjwa mna feli wapi?
Nyie endeleni kujikusanya kwenye makanisa, misikiti , masoko , ofisini, bungeni na mikutano halafu mtapata mrejesho wake.

Fanya yako Acha kuwa mpumbavu. Wewe unafanya Nni kujikinga na kuwakinga Wenzako. Play your part. Mtaacha Siasa za kitoto lini.

Kuna mtu atakushika kwenda kanisani. Kuna Amri imetoka. You are talking bullshit because that’s what you have inside you. Try to be positive and ongea jambo la kujenga.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hayo maradhi mengine ni yapi mbona hayatajwi imetajwa corona tu? Corona ndiyo iliyosababisha kifo?
 
sasa watuweke wazi, wanatuficha ficha kwa nini? maana ukianza kutangaza vifo ukasema ni COVID-19 kumbe mgonjwa alikuwa na pumu ama kisukari sugu inatushitua sisi wananchi.
Hilo lipo wazi mkuu. Wagonjwa na wazee wapo hatarini kufa kwa corona kuliko mtu ambae afya yake ipo imara.
 
Corona inafanya finishing tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna ugonjwa usiofanya finishing. Kila ugonjwa unaomwua mtu, kunakuwa na mapungufu mengine ndani ya mwili wako kabla ya ule uliokuua.

Kwa nini watu wa umri mmoja, mnaoishi pamoja, mkapata malaria wakati mmoja, lakini mwingine akapona na meingine akapoteza maisha? Itategemea ulikuwaje wakati unapata wadudu wa malaria.

Corona haipo tofauti na magonjwa mengine. Inakuathiri zaidi kwa kupitia weak point yako. Yawezekana ni ugonjwa wa awali, genetical make up, n.k. Na ndivyo yalivyo magonjwa mengine.
 
"Endeleeni kuchapa kazi, tunatishana muno"

Cha ajabu aliyetuambia tuchape kazi yeye yupo hukoo amekimbia kuonana na wageni. Huu ugonjwa ni hatari! Lazima tuelewe na tuangalie jinsi wenzetu wanavyoanguka kwa mafungu.
 
Naona mloganzila iko mpakani
Screenshot_20200331-102910_Maps.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mgonjwa wa kwanza wa Corona alikuwa Isabela and we were told that she recovered and would have been discharged soon, sasa huyo wa kwanza ni nani au ni Kabudi?

Sent using Jamii Forums mobile app
Aiseeeee wewe jamaa ni bingwa wa upotoshaji, uwe unasoma vizuri anaelewa sio kukimbilia kukomenti tu, ALIYETANGAZWA NI MTANZANIA WA KWANZA KUFARIKI KWA CORONA, NA SIO MTANZANIA WA KWANZA KUUGUA.
 
Back
Top Bottom