Chikumba one
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 1,009
- 1,642
Mie nimeguswa na sehemu inayosema mgonjwa mmoja amepona. Najiuliza Mwana FA, Isabella ama meneja wa Diamond yupi alopona?
Wale waliomwambia Mwana FA assme ameugua Corona kisha aseme amepona walikusudia nini?
Waziri Ummy alionekana kumpongeza na kumsifu Mwana FA, alijua anachokifanya?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wale waliomwambia Mwana FA assme ameugua Corona kisha aseme amepona walikusudia nini?
Waziri Ummy alionekana kumpongeza na kumsifu Mwana FA, alijua anachokifanya?
Sent using Jamii Forums mobile app