Hapo umenena mkuu ππ mi nlipita ka mji kanaitwa kericho kana flyover na bypass kabisa dah sisi huku maneno ndio mengi kama hiyo barabara ya kutoka mjini hadi usagara wako kwenye mpango wa kuitanua tangu 2004ππ sisi maneno ndio tunajua na kutiana moyo tuAchana na majiji ya kenya nenda miji ya kawaida tu kama eldoret na kisii alafu uje ulinganishe na majiji yetu.
Hiyo barabara ndio lango kuu la kuingilia Mwanza lakini ipo kama ulimi wa mbwa, ni makorongo, lami aieleweki kama ngozi ya mbwa koko, gari mbili haziwezi kupishanaHapo umenena mkuu ππ mi nlipita ka mji kanaitwa kericho kana flyover na bypass kabisa dah sisi huku maneno ndio mengi kama hiyo barabara ya kutoka mjini hadi usagara wako kwenye mpango wa kuitanua tangu 2004ππ sisi maneno ndio tunajua na kutiana moyo tu
ππHuyu mama nikimpa kura yangu nimerogwa
CHATO ndio kwaheri?Serikali Imesema Inapanga Kuifanya Tanzania Kitovu Cha Utalii wa Mikutano Duniani ambapo Miji ya Arusha,Dar, Zanzibar na Dodoma itajengwa kumbi za Kisasa Ili kutimiza Azam hiyo.
Aidha Inatarajia kujenga ukumbi mkubwa wa Mikutano ya Kimataifa ambao utakuwa wa pili Kwa Ukubwa hapa Africa jijini Arusha Kwa jina la Mount Kilimanjaro International Exhibition Centre kuanzia mwaka huu.
View: https://twitter.com/TZEmbassyCN/status/1698724924758831191?t=sIGcW5K9wGNa8GtcLOqehw&s=19
My Take
Wapi Mwanza na Mbeya mbona Zinatengwa Kwa Kila kitu? Hakuna Hoteli Wala Viwanja vya michezo. Why Kila kitu ni Dar,Arusha,Dom na Zanzibar tuu?
--
International conference Tourism is becoming more potent in boosting Tanzania's global appeal, with the government, through the Foreign Affairs Ministry, stating that strategies are in the pipeline to make Arusha, Dar es Salaam, Dodoma, and Zanzibar leading conference destinations in Africa.
Addressing journalists at the State House in Dar es Salaam, the Permanent Secretary in the Ministry of Foreign Affairs and East African Cooperation, Ambassador Samwel Shelukindo, said that President Samia Suluhu Hassan has decided to make Tanzania Africa's top choice in hosting international conferences.
He says so far this year, Tanzania has hosted/will host two big global conferences: Africa Heads of State Human Capital Summit back in July and the Africa Food Systems Forum to be hosted on September 5.
Shelukindo said that these conferences come with a host of benefits to the country, including foreign exchange, boosting tourism, increasing money supply, and also providing good exposure for Tanzania.
As a result, he says the government plans on expanding the Arusha International Conference Centre (AICC) and also plans on building more international conference centres in Dar es Salaam and Zanzibar. Tanzania will also build the second-biggest conference centre in Africa.
Source: The Citizen
Utalii wa Mikutano na Makongamano(MICE): Tanzania yapanda hadi namba 5 Africa kutoka namba 15
Nyota ya Rais Samia inazidi kuiwakia Tanzania. Tanzania imechaguliwa kuwa Nchi ya 5 katika Bara la Africa Kwa Utalii wa Mikutano,Makongamano na Maonesho Kwa mwaka 2022 ikitoka kuwa namba 15 awamu ya 6 (2015-2020).Tanzania imetanguliwa na Nchi za Kenya,Morroco,Rwanda na South Africa. List...www.jamiiforums.com
Na isahaulike milele.CHATO ndio kwaheri?
Salaam toka Kizimkazi.
Ila Watu wa Serikali mkome kudanganya ,hizi sio zama za Nyerere.Serikali Imesema Inapanga Kuifanya Tanzania Kitovu Cha Utalii wa Mikutano Duniani ambapo Miji ya Arusha,Dar, Zanzibar na Dodoma itajengwa kumbi za Kisasa Ili kutimiza Azam hiyo.
Aidha Inatarajia kujenga ukumbi mkubwa wa Mikutano ya Kimataifa ambao utakuwa wa pili Kwa Ukubwa hapa Africa jijini Arusha Kwa jina la Mount Kilimanjaro International Exhibition Centre kuanzia mwaka huu.
View: https://twitter.com/TZEmbassyCN/status/1698724924758831191?t=sIGcW5K9wGNa8GtcLOqehw&s=19
My Take
Wapi Mwanza na Mbeya mbona Zinatengwa Kwa Kila kitu? Hakuna Hoteli Wala Viwanja vya michezo. Why Kila kitu ni Dar,Arusha,Dom na Zanzibar tuu?
--
International conference Tourism is becoming more potent in boosting Tanzania's global appeal, with the government, through the Foreign Affairs Ministry, stating that strategies are in the pipeline to make Arusha, Dar es Salaam, Dodoma, and Zanzibar leading conference destinations in Africa.
Addressing journalists at the State House in Dar es Salaam, the Permanent Secretary in the Ministry of Foreign Affairs and East African Cooperation, Ambassador Samwel Shelukindo, said that President Samia Suluhu Hassan has decided to make Tanzania Africa's top choice in hosting international conferences.
He says so far this year, Tanzania has hosted/will host two big global conferences: Africa Heads of State Human Capital Summit back in July and the Africa Food Systems Forum to be hosted on September 5.
Shelukindo said that these conferences come with a host of benefits to the country, including foreign exchange, boosting tourism, increasing money supply, and also providing good exposure for Tanzania.
As a result, he says the government plans on expanding the Arusha International Conference Centre (AICC) and also plans on building more international conference centres in Dar es Salaam and Zanzibar. Tanzania will also build the second-biggest conference centre in Africa.
Source: The Citizen
Utalii wa Mikutano na Makongamano(MICE): Tanzania yapanda hadi namba 5 Africa kutoka namba 15
Nyota ya Rais Samia inazidi kuiwakia Tanzania. Tanzania imechaguliwa kuwa Nchi ya 5 katika Bara la Africa Kwa Utalii wa Mikutano,Makongamano na Maonesho Kwa mwaka 2022 ikitoka kuwa namba 15 awamu ya 6 (2015-2020).Tanzania imetanguliwa na Nchi za Kenya,Morroco,Rwanda na South Africa. List...www.jamiiforums.com
Tanzania tuna Viongozi wapuuzi sana,sijui Kwa nini Huwa hawataki ku design vitu standards na classic.Hapo umenena mkuu ππ mi nlipita ka mji kanaitwa kericho kana flyover na bypass kabisa dah sisi huku maneno ndio mengi kama hiyo barabara ya kutoka mjini hadi usagara wako kwenye mpango wa kuitanua tangu 2004ππ sisi maneno ndio tunajua na kutiana moyo tu
Acha fix Mzee πππππSerikali inaiogopa sana Mwanza wanajua wakibust miradi mingi mikubwa ya kimkakati hata hicho ki dar chao kitakuwa underdog Kwa Mwanza we fikiria mbali na kutopewa sapoti ya kutosha lakini bado haishuki ilipo je ikipewa itakuaje? Kuna wakati inafikia hata kuomba kila kanda ijitegemee kimapato Ili tuoneshane umwamba zaidi
Serikali ya hovyo haifikirii kufufua kiwanda cha Tanganyika Packers, kingeleta ajira za kudumu, kiwanda cha nguo Urafiki, Kilimanjaro, Sungura, Mutex, Morotex, Mutex na vinginevyo ambavyo vingeleta ajira za kudumu badala ya umachinga, tutaendelea kuvaa mitumba mpaka lini?Serikali Imesema Inapanga Kuifanya Tanzania Kitovu Cha Utalii wa Mikutano Duniani ambapo Miji ya Arusha,Dar, Zanzibar na Dodoma itajengwa kumbi za Kisasa Ili kutimiza Azam hiyo.
Aidha Inatarajia kujenga ukumbi mkubwa wa Mikutano ya Kimataifa ambao utakuwa wa pili Kwa Ukubwa hapa Africa jijini Arusha Kwa jina la Mount Kilimanjaro International Exhibition Centre kuanzia mwaka huu.
View: https://twitter.com/TZEmbassyCN/status/1698724924758831191?t=sIGcW5K9wGNa8GtcLOqehw&s=19
My Take
Wapi Mwanza na Mbeya mbona Zinatengwa Kwa Kila kitu? Hakuna Hoteli Wala Viwanja vya michezo. Why Kila kitu ni Dar,Arusha,Dom na Zanzibar tuu?
--
International conference Tourism is becoming more potent in boosting Tanzania's global appeal, with the government, through the Foreign Affairs Ministry, stating that strategies are in the pipeline to make Arusha, Dar es Salaam, Dodoma, and Zanzibar leading conference destinations in Africa.
Addressing journalists at the State House in Dar es Salaam, the Permanent Secretary in the Ministry of Foreign Affairs and East African Cooperation, Ambassador Samwel Shelukindo, said that President Samia Suluhu Hassan has decided to make Tanzania Africa's top choice in hosting international conferences.
He says so far this year, Tanzania has hosted/will host two big global conferences: Africa Heads of State Human Capital Summit back in July and the Africa Food Systems Forum to be hosted on September 5.
Shelukindo said that these conferences come with a host of benefits to the country, including foreign exchange, boosting tourism, increasing money supply, and also providing good exposure for Tanzania.
As a result, he says the government plans on expanding the Arusha International Conference Centre (AICC) and also plans on building more international conference centres in Dar es Salaam and Zanzibar. Tanzania will also build the second-biggest conference centre in Africa.
Source: The Citizen
Utalii wa Mikutano na Makongamano(MICE): Tanzania yapanda hadi namba 5 Africa kutoka namba 15
Nyota ya Rais Samia inazidi kuiwakia Tanzania. Tanzania imechaguliwa kuwa Nchi ya 5 katika Bara la Africa Kwa Utalii wa Mikutano,Makongamano na Maonesho Kwa mwaka 2022 ikitoka kuwa namba 15 awamu ya 6 (2015-2020).Tanzania imetanguliwa na Nchi za Kenya,Morroco,Rwanda na South Africa. List...www.jamiiforums.com
Arusha inaenda kuanza Ujenzi wa Stand sio mda ,acha janja janja.Arusha hii hii ambayo haina stendi watu wa mwanza mnatucheka kila siku kwamba nyie mmependelewa mnazo mbili leo mnasema tena arusha inapendelewa ama kweli kuimba kupokezanaππ
Toa ujinga wako,kiwanda hakifufuliwi na Serikali au na mtu yeyote Bali uwekezaji unaanza Upya.Serikali ya hovyo haifikirii kufufua kiwanda cha Tanganyika Packers, kingeleta ajira za kudumu, kiwanda cha nguo Urafiki, Kilimanjaro, Sungura, Mutex, Morotex, Mutex na vinginevyo ambavyo vingeleta ajira za kudumu badala ya umachinga, tutaendelea kuvaa mitumba mpaka lini?
Kwa Mbeya barabara za juu zinahitaji kuchimba mlima tu na unakuwa umepunguza gharama.Tanzania tuna Viongozi wapuuzi sana,sijui Kwa nini Huwa hawataki ku design vitu standards na classic.
Imagine wanajenga 4 lanes highway Mbeya ila Cha ajabu kwenye main intersection zote kama Uyole,Mafiati,Meta au hata CBD Mpya ya Mwanjelwa hakuna hata interchange au Flyover Moja badala yake ni ma keep left ya kisengerema Kila siku.
Hawa watu wanajua Miji inakuwa lakini pia wanajua kwamba miundombinu haijengwi tuu Kwa Ajili ya kuwezesha usafirishaji bali ni pamoja na kutoa taswira Mpya ya Jiji Kwa kuipendezesha but yanaishia kujenga local roads ,yanakera sana.
Kuna interchange au Flyover simple kabisa lakini holaaa.Kiukweli Tanzania inakera sana kana kwamba Majitu Huwa hayasafiri.Angalia Entebe,Kampala,Jinja na Sasa Mji Mpya wa mafuta kule Uganda Kuna miundombinu mikali achilia mbali Kenya.
hilo jambo la msingi sana, Rwanda inapambana sana kupora taji la Arusha kwenye tasnia hiyo, na kama ilishaanza kufanikiwa. tukijenga ukumbi mzuri namna hiyo na wakajua kuna na package ya utalii palepale na kuuona mlima kilimanjaro, tutaipiku Rwanda vizuri sana na Arusha itabaki kuwa international town/city. Mungu imbariki Tanzania.Serikali Imesema Inapanga Kuifanya Tanzania Kitovu Cha Utalii wa Mikutano Duniani ambapo Miji ya Arusha,Dar, Zanzibar na Dodoma itajengwa kumbi za Kisasa Ili kutimiza Azam hiyo.
Aidha Inatarajia kujenga ukumbi mkubwa wa Mikutano ya Kimataifa ambao utakuwa wa pili Kwa Ukubwa hapa Africa jijini Arusha Kwa jina la Mount Kilimanjaro International Exhibition Centre kuanzia mwaka huu.
View: https://twitter.com/TZEmbassyCN/status/1698724924758831191?t=sIGcW5K9wGNa8GtcLOqehw&s=19
My Take
Wapi Mwanza na Mbeya mbona Zinatengwa Kwa Kila kitu? Hakuna Hoteli Wala Viwanja vya michezo. Why Kila kitu ni Dar,Arusha,Dom na Zanzibar tuu?
--
International conference Tourism is becoming more potent in boosting Tanzania's global appeal, with the government, through the Foreign Affairs Ministry, stating that strategies are in the pipeline to make Arusha, Dar es Salaam, Dodoma, and Zanzibar leading conference destinations in Africa.
Addressing journalists at the State House in Dar es Salaam, the Permanent Secretary in the Ministry of Foreign Affairs and East African Cooperation, Ambassador Samwel Shelukindo, said that President Samia Suluhu Hassan has decided to make Tanzania Africa's top choice in hosting international conferences.
He says so far this year, Tanzania has hosted/will host two big global conferences: Africa Heads of State Human Capital Summit back in July and the Africa Food Systems Forum to be hosted on September 5.
Shelukindo said that these conferences come with a host of benefits to the country, including foreign exchange, boosting tourism, increasing money supply, and also providing good exposure for Tanzania.
As a result, he says the government plans on expanding the Arusha International Conference Centre (AICC) and also plans on building more international conference centres in Dar es Salaam and Zanzibar. Tanzania will also build the second-biggest conference centre in Africa.
Source: The Citizen
Utalii wa Mikutano na Makongamano(MICE): Tanzania yapanda hadi namba 5 Africa kutoka namba 15
Nyota ya Rais Samia inazidi kuiwakia Tanzania. Tanzania imechaguliwa kuwa Nchi ya 5 katika Bara la Africa Kwa Utalii wa Mikutano,Makongamano na Maonesho Kwa mwaka 2022 ikitoka kuwa namba 15 awamu ya 6 (2015-2020).Tanzania imetanguliwa na Nchi za Kenya,Morroco,Rwanda na South Africa. List...www.jamiiforums.com
Hapo umeongea upuuzi gani? Umesoma nilichoandika? Hiyo section inayojengwa inapita kwenye mlima upi wa kuchimbwa?Kwa Mbeya barabara za juu zinahitaji kuchimba mlima tu na unakuwa umepunguza gharama.
Rwanda Wanajenga Ukumbi wa watu 5,000 vs ukiambi wa watu 3,000 ,still Bado Rwanda atakuwa Juu.hilo jambo la msingi sana, Rwanda inapambana sana kupora taji la Arusha kwenye tasnia hiyo, na kama ilishaanza kufanikiwa. tukijenga ukumbi mzuri namna hiyo na wakajua kuna na package ya utalii palepale na kuuona mlima kilimanjaro, tutaipiku Rwanda vizuri sana na Arusha itabaki kuwa international town/city. Mungu imbariki Tanzania.
Hata Mimi simpi na ukitaka kujua hizo asilimia ulizoandika ni kinyume chakeKwa tathmini iliyofanya paka sasa ana 85% ya kura zote hivyo kura yako ipo kwenye 15%
Arusha itakuwa na package nzuri kuliko Rwanda, utalii, Mlima KIlimanjaro, karibu na Nairobi n.k.Rwanda Wanajenga Ukumbi wa watu 5,000 vs ukiambi wa watu 3,000 ,still Bado Rwanda atakuwa Juu.
Wapi hakuna Utalii? Hadi Sasa Rwanda Iko Juu ya Tanzania ,kuwa karibu na Nairobi kumekusaidia?Arusha itakuwa na package nzuri kuliko Rwanda, utalii, Mlima KIlimanjaro, karibu na Nairobi n.k.
Kwani umewahi kwenda maeneo hayo ukavikuta hivyo viwanda? Kumkashifu mtu usiyemjua ni udhaifu, JF ni kwa ajili ya hoja si matusi msenge wewe.Toa ujinga wako,kiwanda hakifufuliwi na Serikali au na mtu yeyote Bali uwekezaji unaanza Upya.
Viwanda vya teknolojia ya Mwalimu inavifufuaje? Una spea? Kila kitu Kiko outdated unaleta ujinga wa kufufua?
Unfortunately ndio Rais hadi 2030 Sasa sijui utafanyaje π€£π€£Hata Mimi simpi na ukitaka kujua hizo asilimia ulizoandika ni kinyume chake