Serikali: Miji ya Arusha, Dar, Zanzibar na Dodoma kuipaisha Tanzania kuwa Kitovu Cha Utalii wa Mikutano Duniani.Ukumbi wa 2 kwa Ukubwa Afrika kujengwa

Serikali: Miji ya Arusha, Dar, Zanzibar na Dodoma kuipaisha Tanzania kuwa Kitovu Cha Utalii wa Mikutano Duniani.Ukumbi wa 2 kwa Ukubwa Afrika kujengwa

Achana na majiji ya kenya nenda miji ya kawaida tu kama eldoret na kisii alafu uje ulinganishe na majiji yetu.
Hapo umenena mkuu 😀😀 mi nlipita ka mji kanaitwa kericho kana flyover na bypass kabisa dah sisi huku maneno ndio mengi kama hiyo barabara ya kutoka mjini hadi usagara wako kwenye mpango wa kuitanua tangu 2004😀😀 sisi maneno ndio tunajua na kutiana moyo tu
 
Hapo umenena mkuu 😀😀 mi nlipita ka mji kanaitwa kericho kana flyover na bypass kabisa dah sisi huku maneno ndio mengi kama hiyo barabara ya kutoka mjini hadi usagara wako kwenye mpango wa kuitanua tangu 2004😀😀 sisi maneno ndio tunajua na kutiana moyo tu
Hiyo barabara ndio lango kuu la kuingilia Mwanza lakini ipo kama ulimi wa mbwa, ni makorongo, lami aieleweki kama ngozi ya mbwa koko, gari mbili haziwezi kupishana

Kwa Tanzania ukitaka kuona flyover nenda Dar peke yake huku kwingine acha tumalizane na kujenga zahanati na madarasa

Leo hii wadanganyika wanataka kulinganisha Tanzania na Kenya huwa naona kama vichekesho.
 
Serikali Imesema Inapanga Kuifanya Tanzania Kitovu Cha Utalii wa Mikutano Duniani ambapo Miji ya Arusha,Dar, Zanzibar na Dodoma itajengwa kumbi za Kisasa Ili kutimiza Azam hiyo.

Aidha Inatarajia kujenga ukumbi mkubwa wa Mikutano ya Kimataifa ambao utakuwa wa pili Kwa Ukubwa hapa Africa jijini Arusha Kwa jina la Mount Kilimanjaro International Exhibition Centre kuanzia mwaka huu.

View: https://twitter.com/TZEmbassyCN/status/1698724924758831191?t=sIGcW5K9wGNa8GtcLOqehw&s=19

My Take
Wapi Mwanza na Mbeya mbona Zinatengwa Kwa Kila kitu? Hakuna Hoteli Wala Viwanja vya michezo. Why Kila kitu ni Dar,Arusha,Dom na Zanzibar tuu?

--
International conference Tourism is becoming more potent in boosting Tanzania's global appeal, with the government, through the Foreign Affairs Ministry, stating that strategies are in the pipeline to make Arusha, Dar es Salaam, Dodoma, and Zanzibar leading conference destinations in Africa.

Addressing journalists at the State House in Dar es Salaam, the Permanent Secretary in the Ministry of Foreign Affairs and East African Cooperation, Ambassador Samwel Shelukindo, said that President Samia Suluhu Hassan has decided to make Tanzania Africa's top choice in hosting international conferences.

He says so far this year, Tanzania has hosted/will host two big global conferences: Africa Heads of State Human Capital Summit back in July and the Africa Food Systems Forum to be hosted on September 5.

Shelukindo said that these conferences come with a host of benefits to the country, including foreign exchange, boosting tourism, increasing money supply, and also providing good exposure for Tanzania.

As a result, he says the government plans on expanding the Arusha International Conference Centre (AICC) and also plans on building more international conference centres in Dar es Salaam and Zanzibar. Tanzania will also build the second-biggest conference centre in Africa.

Source: The Citizen

CHATO ndio kwaheri?

Salaam toka Kizimkazi.
 
Serikali Imesema Inapanga Kuifanya Tanzania Kitovu Cha Utalii wa Mikutano Duniani ambapo Miji ya Arusha,Dar, Zanzibar na Dodoma itajengwa kumbi za Kisasa Ili kutimiza Azam hiyo.

Aidha Inatarajia kujenga ukumbi mkubwa wa Mikutano ya Kimataifa ambao utakuwa wa pili Kwa Ukubwa hapa Africa jijini Arusha Kwa jina la Mount Kilimanjaro International Exhibition Centre kuanzia mwaka huu.

View: https://twitter.com/TZEmbassyCN/status/1698724924758831191?t=sIGcW5K9wGNa8GtcLOqehw&s=19

My Take
Wapi Mwanza na Mbeya mbona Zinatengwa Kwa Kila kitu? Hakuna Hoteli Wala Viwanja vya michezo. Why Kila kitu ni Dar,Arusha,Dom na Zanzibar tuu?

--
International conference Tourism is becoming more potent in boosting Tanzania's global appeal, with the government, through the Foreign Affairs Ministry, stating that strategies are in the pipeline to make Arusha, Dar es Salaam, Dodoma, and Zanzibar leading conference destinations in Africa.

Addressing journalists at the State House in Dar es Salaam, the Permanent Secretary in the Ministry of Foreign Affairs and East African Cooperation, Ambassador Samwel Shelukindo, said that President Samia Suluhu Hassan has decided to make Tanzania Africa's top choice in hosting international conferences.

He says so far this year, Tanzania has hosted/will host two big global conferences: Africa Heads of State Human Capital Summit back in July and the Africa Food Systems Forum to be hosted on September 5.

Shelukindo said that these conferences come with a host of benefits to the country, including foreign exchange, boosting tourism, increasing money supply, and also providing good exposure for Tanzania.

As a result, he says the government plans on expanding the Arusha International Conference Centre (AICC) and also plans on building more international conference centres in Dar es Salaam and Zanzibar. Tanzania will also build the second-biggest conference centre in Africa.

Source: The Citizen

Ila Watu wa Serikali mkome kudanganya ,hizi sio zama za Nyerere.

Ukumbi huo Mpya wa Arusha wenye capacity ya watu 3,500 unaweza usiwepo hata top ten achilia mbali uongo wa kusema utakuwa wa pili Afrika.

Bukifaso wanajenga Ukumbi mkubwa wenye uwezo wa kuchukua watu 5,000 Kwa pamoja Mjini Ougadougou.
 
Hapo umenena mkuu 😀😀 mi nlipita ka mji kanaitwa kericho kana flyover na bypass kabisa dah sisi huku maneno ndio mengi kama hiyo barabara ya kutoka mjini hadi usagara wako kwenye mpango wa kuitanua tangu 2004😀😀 sisi maneno ndio tunajua na kutiana moyo tu
Tanzania tuna Viongozi wapuuzi sana,sijui Kwa nini Huwa hawataki ku design vitu standards na classic.

Imagine wanajenga 4 lanes highway Mbeya ila Cha ajabu kwenye main intersection zote kama Uyole,Mafiati,Meta au hata CBD Mpya ya Mwanjelwa hakuna hata interchange au Flyover Moja badala yake ni ma keep left ya kisengerema Kila siku.

Hawa watu wanajua Miji inakuwa lakini pia wanajua kwamba miundombinu haijengwi tuu Kwa Ajili ya kuwezesha usafirishaji bali ni pamoja na kutoa taswira Mpya ya Jiji Kwa kuipendezesha but yanaishia kujenga local roads ,yanakera sana.

Kuna interchange au Flyover simple kabisa lakini holaaa.Kiukweli Tanzania inakera sana kana kwamba Majitu Huwa hayasafiri.Angalia Entebe,Kampala,Jinja na Sasa Mji Mpya wa mafuta kule Uganda Kuna miundombinu mikali achilia mbali Kenya.
 
Serikali inaiogopa sana Mwanza wanajua wakibust miradi mingi mikubwa ya kimkakati hata hicho ki dar chao kitakuwa underdog Kwa Mwanza we fikiria mbali na kutopewa sapoti ya kutosha lakini bado haishuki ilipo je ikipewa itakuaje? Kuna wakati inafikia hata kuomba kila kanda ijitegemee kimapato Ili tuoneshane umwamba zaidi
Acha fix Mzee 😁😁😁😁😁
 
Serikali Imesema Inapanga Kuifanya Tanzania Kitovu Cha Utalii wa Mikutano Duniani ambapo Miji ya Arusha,Dar, Zanzibar na Dodoma itajengwa kumbi za Kisasa Ili kutimiza Azam hiyo.

Aidha Inatarajia kujenga ukumbi mkubwa wa Mikutano ya Kimataifa ambao utakuwa wa pili Kwa Ukubwa hapa Africa jijini Arusha Kwa jina la Mount Kilimanjaro International Exhibition Centre kuanzia mwaka huu.

View: https://twitter.com/TZEmbassyCN/status/1698724924758831191?t=sIGcW5K9wGNa8GtcLOqehw&s=19

My Take
Wapi Mwanza na Mbeya mbona Zinatengwa Kwa Kila kitu? Hakuna Hoteli Wala Viwanja vya michezo. Why Kila kitu ni Dar,Arusha,Dom na Zanzibar tuu?

--
International conference Tourism is becoming more potent in boosting Tanzania's global appeal, with the government, through the Foreign Affairs Ministry, stating that strategies are in the pipeline to make Arusha, Dar es Salaam, Dodoma, and Zanzibar leading conference destinations in Africa.

Addressing journalists at the State House in Dar es Salaam, the Permanent Secretary in the Ministry of Foreign Affairs and East African Cooperation, Ambassador Samwel Shelukindo, said that President Samia Suluhu Hassan has decided to make Tanzania Africa's top choice in hosting international conferences.

He says so far this year, Tanzania has hosted/will host two big global conferences: Africa Heads of State Human Capital Summit back in July and the Africa Food Systems Forum to be hosted on September 5.

Shelukindo said that these conferences come with a host of benefits to the country, including foreign exchange, boosting tourism, increasing money supply, and also providing good exposure for Tanzania.

As a result, he says the government plans on expanding the Arusha International Conference Centre (AICC) and also plans on building more international conference centres in Dar es Salaam and Zanzibar. Tanzania will also build the second-biggest conference centre in Africa.

Source: The Citizen

Serikali ya hovyo haifikirii kufufua kiwanda cha Tanganyika Packers, kingeleta ajira za kudumu, kiwanda cha nguo Urafiki, Kilimanjaro, Sungura, Mutex, Morotex, Mutex na vinginevyo ambavyo vingeleta ajira za kudumu badala ya umachinga, tutaendelea kuvaa mitumba mpaka lini?
 
Arusha hii hii ambayo haina stendi watu wa mwanza mnatucheka kila siku kwamba nyie mmependelewa mnazo mbili leo mnasema tena arusha inapendelewa ama kweli kuimba kupokezana😂😂
Arusha inaenda kuanza Ujenzi wa Stand sio mda ,acha janja janja.
 
Serikali ya hovyo haifikirii kufufua kiwanda cha Tanganyika Packers, kingeleta ajira za kudumu, kiwanda cha nguo Urafiki, Kilimanjaro, Sungura, Mutex, Morotex, Mutex na vinginevyo ambavyo vingeleta ajira za kudumu badala ya umachinga, tutaendelea kuvaa mitumba mpaka lini?
Toa ujinga wako,kiwanda hakifufuliwi na Serikali au na mtu yeyote Bali uwekezaji unaanza Upya.

Viwanda vya teknolojia ya Mwalimu inavifufuaje? Una spea? Kila kitu Kiko outdated unaleta ujinga wa kufufua?
 
Tanzania tuna Viongozi wapuuzi sana,sijui Kwa nini Huwa hawataki ku design vitu standards na classic.

Imagine wanajenga 4 lanes highway Mbeya ila Cha ajabu kwenye main intersection zote kama Uyole,Mafiati,Meta au hata CBD Mpya ya Mwanjelwa hakuna hata interchange au Flyover Moja badala yake ni ma keep left ya kisengerema Kila siku.

Hawa watu wanajua Miji inakuwa lakini pia wanajua kwamba miundombinu haijengwi tuu Kwa Ajili ya kuwezesha usafirishaji bali ni pamoja na kutoa taswira Mpya ya Jiji Kwa kuipendezesha but yanaishia kujenga local roads ,yanakera sana.

Kuna interchange au Flyover simple kabisa lakini holaaa.Kiukweli Tanzania inakera sana kana kwamba Majitu Huwa hayasafiri.Angalia Entebe,Kampala,Jinja na Sasa Mji Mpya wa mafuta kule Uganda Kuna miundombinu mikali achilia mbali Kenya.
Kwa Mbeya barabara za juu zinahitaji kuchimba mlima tu na unakuwa umepunguza gharama.
 
Serikali Imesema Inapanga Kuifanya Tanzania Kitovu Cha Utalii wa Mikutano Duniani ambapo Miji ya Arusha,Dar, Zanzibar na Dodoma itajengwa kumbi za Kisasa Ili kutimiza Azam hiyo.

Aidha Inatarajia kujenga ukumbi mkubwa wa Mikutano ya Kimataifa ambao utakuwa wa pili Kwa Ukubwa hapa Africa jijini Arusha Kwa jina la Mount Kilimanjaro International Exhibition Centre kuanzia mwaka huu.

View: https://twitter.com/TZEmbassyCN/status/1698724924758831191?t=sIGcW5K9wGNa8GtcLOqehw&s=19

My Take
Wapi Mwanza na Mbeya mbona Zinatengwa Kwa Kila kitu? Hakuna Hoteli Wala Viwanja vya michezo. Why Kila kitu ni Dar,Arusha,Dom na Zanzibar tuu?

--
International conference Tourism is becoming more potent in boosting Tanzania's global appeal, with the government, through the Foreign Affairs Ministry, stating that strategies are in the pipeline to make Arusha, Dar es Salaam, Dodoma, and Zanzibar leading conference destinations in Africa.

Addressing journalists at the State House in Dar es Salaam, the Permanent Secretary in the Ministry of Foreign Affairs and East African Cooperation, Ambassador Samwel Shelukindo, said that President Samia Suluhu Hassan has decided to make Tanzania Africa's top choice in hosting international conferences.

He says so far this year, Tanzania has hosted/will host two big global conferences: Africa Heads of State Human Capital Summit back in July and the Africa Food Systems Forum to be hosted on September 5.

Shelukindo said that these conferences come with a host of benefits to the country, including foreign exchange, boosting tourism, increasing money supply, and also providing good exposure for Tanzania.

As a result, he says the government plans on expanding the Arusha International Conference Centre (AICC) and also plans on building more international conference centres in Dar es Salaam and Zanzibar. Tanzania will also build the second-biggest conference centre in Africa.

Source: The Citizen

hilo jambo la msingi sana, Rwanda inapambana sana kupora taji la Arusha kwenye tasnia hiyo, na kama ilishaanza kufanikiwa. tukijenga ukumbi mzuri namna hiyo na wakajua kuna na package ya utalii palepale na kuuona mlima kilimanjaro, tutaipiku Rwanda vizuri sana na Arusha itabaki kuwa international town/city. Mungu imbariki Tanzania.
 
Kwa Mbeya barabara za juu zinahitaji kuchimba mlima tu na unakuwa umepunguza gharama.
Hapo umeongea upuuzi gani? Umesoma nilichoandika? Hiyo section inayojengwa inapita kwenye mlima upi wa kuchimbwa?

Mifano niliyotoa umeelewa? Umewahi Safiri Nje ya Tanzania wewe au unapayuka tuu.

Mijitu kama nyie ndio mnaharibu Miji yetu na hamna hata akili ya kujiongeza.
 
hilo jambo la msingi sana, Rwanda inapambana sana kupora taji la Arusha kwenye tasnia hiyo, na kama ilishaanza kufanikiwa. tukijenga ukumbi mzuri namna hiyo na wakajua kuna na package ya utalii palepale na kuuona mlima kilimanjaro, tutaipiku Rwanda vizuri sana na Arusha itabaki kuwa international town/city. Mungu imbariki Tanzania.
Rwanda Wanajenga Ukumbi wa watu 5,000 vs ukiambi wa watu 3,000 ,still Bado Rwanda atakuwa Juu.
 
Arusha itakuwa na package nzuri kuliko Rwanda, utalii, Mlima KIlimanjaro, karibu na Nairobi n.k.
Wapi hakuna Utalii? Hadi Sasa Rwanda Iko Juu ya Tanzania ,kuwa karibu na Nairobi kumekusaidia?
 
Toa ujinga wako,kiwanda hakifufuliwi na Serikali au na mtu yeyote Bali uwekezaji unaanza Upya.

Viwanda vya teknolojia ya Mwalimu inavifufuaje? Una spea? Kila kitu Kiko outdated unaleta ujinga wa kufufua?
Kwani umewahi kwenda maeneo hayo ukavikuta hivyo viwanda? Kumkashifu mtu usiyemjua ni udhaifu, JF ni kwa ajili ya hoja si matusi msenge wewe.
 
Back
Top Bottom