Serikali mnaibiwa kwa watu hawa wakishirikiana na maafisa Utumishi( wale waliodanganya wako masomoni na wale wa likizo bila malipo)

Serikali mnaibiwa kwa watu hawa wakishirikiana na maafisa Utumishi( wale waliodanganya wako masomoni na wale wa likizo bila malipo)

Kwani kukamata mwizi ni kosa kisheria?
hamna kitu hapo huyo kakosa mgao ni sawa na hivi vyama ccm na chadema siku ccm akitolewa madarakani Dola akishika chadema na wao watakua wanaiba na kuua watu kama ccm wanavyofanya hamna hii ni kawaida ya muafrica kujilimbikizia mali
 
Sasa hivi kuna mchezo unachezwa na wahusika na maafisa utumishi...wahusika wanawapitia gawio maafisa utumishi au mpaka wakuu wa vituo vyao vya kazi...na wao kupotelea kwenye inshu zingine za kibinafsi...Hivyo kupelekea kupokea mishahara wasiyo stahili.....fanyeni uchunguzi wa haraka kuanzia ngazi za huko juu Utumishi mkuu hao pia ndio chanzo cha hizi dili...Msipoangalia mtazalisha tena watumishi Hewa
hayo ndio marupurupu ya kusoma, mishahara yenyewe serikalini midogo sana wanapata hao jamaa, waache walee familia, afterall in watanzania wenzetu hao. waacha wale.
 
Weee!!
Sasa hivi kuna mchezo unachezwa na wahusika na maafisa utumishi...wahusika wanawapitia gawio maafisa utumishi au mpaka wakuu wa vituo vyao vya kazi...na wao kupotelea kwenye inshu zingine za kibinafsi...Hivyo kupelekea kupokea mishahara wasiyo stahili.....fanyeni uchunguzi wa haraka kuanzia ngazi za huko juu Utumishi mkuu hao pia ndio chanzo cha hizi dili...Msipoangalia mtazalisha tena watumishi Hewa
Mbuzi kawaida yake achinjwe tupate supu.
Umbea ++
Watu wanapiga Billions kwenye deals zao huko juu, watu wanauza hadi rasilimali za 🇿🇦, na hamsemi.
Vi issue vidogo ndo mnafatilia.
 
Sasa hivi kuna mchezo unachezwa na wahusika na maafisa utumishi...wahusika wanawapitia gawio maafisa utumishi au mpaka wakuu wa vituo vyao vya kazi...na wao kupotelea kwenye inshu zingine za kibinafsi...Hivyo kupelekea kupokea mishahara wasiyo stahili.....fanyeni uchunguzi wa haraka kuanzia ngazi za huko juu Utumishi mkuu hao pia ndio chanzo cha hizi dili...Msipoangalia mtazalisha tena watumishi Hewa
UMASKINI NI MBAYA SANA..UMASKINI UNAKUFANYA AUTOMATICALLY UNAKUWA MCHAWI.
 
Weee!!

Mbuzi kawaida yake achinjwe tupate supu.
Umbea ++
Watu wanapiga Billions kwenye deals zao huko juu, watu wanauza hadi rasilimali za 🇿🇦, na hamsemi.
Vi issue vidogo ndo mnafatilia.
Jinga hilo! rasilimali zinauzwa hovyo halijaleta hata uzi mmoja hapa jukwaani.
 
Sasa hivi kuna mchezo unachezwa na wahusika na maafisa utumishi...wahusika wanawapitia gawio maafisa utumishi au mpaka wakuu wa vituo vyao vya kazi...na wao kupotelea kwenye inshu zingine za kibinafsi...Hivyo kupelekea kupokea mishahara wasiyo stahili.....fanyeni uchunguzi wa haraka kuanzia ngazi za huko juu Utumishi mkuu hao pia ndio chanzo cha hizi dili...Msipoangalia mtazalisha tena watumishi Hewa
Mimi ninachojuaa

Kila kazi ina utaratibu wake mtumishi kutoka kwenye kituo cha kazi hawezi bila kuomba ruhusa.
Naa nikupe taarifa mbali na likizo za mtumishi wa serikali amepewa siku kumi za dharura kwa mujibu washeria.

Hivyo na sema hoja yako ni dhaifuu ,
Bila ushaidii hoja yako haina mashiko
Kuna hisia za kimaskini zimekutawalaa sanaa.
Nadhani wewe ni moja wapo ya watu waliosoma kwa shidaa ndio maana mawazo yako yapo kimasikini tuu

Kutuhumu watuu ,iko siku utapelekwa.mahakamani ukadhibitishe haya unayosemaa ndio ujue madhara ya kuropokaa.

Hujufunzi hata kwa Mwijaku domo zege na Masoud Kipanya kwenye kesi inayoendelea
 
Back
Top Bottom