Shooter Again
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 5,603
- 9,263
Waanze na huyu mjingaSio kwamba ishughulikie tatizo la UMEME kwenye SGR zetu mkuu?
Sahihi kabisaMuda ndo utamshughulikia hata Lisu alijiona mjanja sana kutumika na vibaraka kumchafua JPM lakini laana inamtafuna na Sasa anashughulikiwa yeye tena baadhi ya wale waliomtuma sijajua na mabeberu wakimtumpa itakuaje
Anatafuta kikiSidhani kama anaweza kumkuta lisu Kwa Kiki za kuchafua watu lakini Kiko wapi?
Huyo Hana haha ya kupelekwa mahakamani ni wa kushugulikiwa tu Ili iwe funzo Kwa viherehereKwanini wamshughulikie
Kama kuna sheria kavunja si mahakama zipo?
Mbona kama umepaniki! Au ni mtoto wa mzee nini? Ila naye mzee wako alizidi ukatili ndo maana hatumtetei sanaHuyu jamaa naona baada ya dili lake la voda kufeli Sasa amekanyaga moto yaana watoto wa mjini tunasema kaingia kwenye kumi na nane anataka kujipatia hela Kwa kutunga stori za uongo sababu anajua watanzania wengi Wana low IQ naomba serikali yetu imtie nguvuni na abanwe kisawasawa Kwa kuzusha uongo wake na hicho kitabu kifungiwe
Sijapaniki naongea uhalisia huyo kabendera anatafuta kikiMbona kama umepaniki! Au ni mtoto wa mzee nini? Ila naye mzee wako alizidi ukatili ndo maana hatumtetei sana
Ukweli huwa haufichiki bali unacheleweshwa. Kumshugulikia msema kweeli haiwezi kusaidia. Kkukata mzizi wa fitina ni kuleta wachuguzi wa kimataifa wachugugize alipoteaje. Na wote walio potea wachunguzwe walipotezwa na nani? Vitabu kama in name of the president vitachapishwa vingi tu ni suala la mda tu.Huyu jamaa naona baada ya dili lake la voda kufeli Sasa amekanyaga moto yaana watoto wa mjini tunasema kaingia kwenye kumi na nane anataka kujipatia hela Kwa kutunga stori za uongo sababu anajua watanzania wengi Wana low IQ naomba serikali yetu imtie nguvuni na abanwe kisawasawa Kwa kuzusha uongo wake na hicho kitabu kifungiwe
Watu hawatakiwi kuendeshwa na hisia ndio maana kuna mahakama na wanasheria..Huyo Hana haha ya kupelekwa mahakamani ni WA kushugulikiwa tu
Lissu anashughulikiwa na nani? Mtu yupo relevant mpaka anakigawa chama unasema anashughulikiwa! ?Muda ndo utamshughulikia hata Lisu alijiona mjanja sana kutumika na vibaraka kumchafua JPM lakini laana inamtafuna na Sasa anashughulikiwa yeye tena baadhi ya wale waliomtuma sijajua na mabeberu wakimtumpa itakuaje
Ukweli Gani kuandika hata Mimi naweza kuamka asubuhi nikaandika hivi unaakili timamu kweli alete picha za tukio ndio tutaamini ila sio maandishiUkweli huwa haufichiki bali unacheleweshwa. Kumshugulikia msema kweeli haiwezi kusaidia. Kkukata mzizi wa fitina ni kuleta wachuguzi wa kimataifa wachugugize alipoteaje. Na wote walio potea wachunguzwe walipotezwa na nani? Vitabu kama in name of the president vitachapishwa vingi tu ni suala la mda tu.
Kwa hiyo wewe unajua Ben saanane alikufaje kufaje!? tupe ushahidi basi!Sijapaniki naongea uhalisia huyo kabendera anatafuta kiki
Tanzania Kwa wajinga kama hao hamnaga sheriaWatu hawatakiwi kuendeshwa na hisia ndio maana kuna mahakama na wanasheria..
Nchi inafaa iongozwe na sheria sio hisia
Wewe umejuaje kama kafa leta uthibitishoKwa hiyo wewe unajua Ben saanane alikufaje kufaje!? tupe ushahidi basi!