Serikali mshugulikieni kabendera akione Cha moto Ili iwe fundisho Kwa watu wanaotafuta kiki

Serikali mshugulikieni kabendera akione Cha moto Ili iwe fundisho Kwa watu wanaotafuta kiki

Huyu jamaa naona baada ya dili lake la voda kufeli Sasa amekanyaga moto yaana watoto wa mjini tunasema kaingia kwenye kumi na nane anataka kujipatia hela Kwa kutunga stori za uongo sababu anajua watanzania wengi Wana low IQ naomba serikali yetu imtie nguvuni na abanwe kisawasawa Kwa kuzusha uongo wake na hicho kitabu kifungiwe
Wewe ni MPUMBAVU ambaye unadhani aliyoyaandika Erick Kabendera ni ya UWONGO.

Magufuli alikufa kwa madhambi aliyowatendea Watanzania
 
Wewe ni MPUMBAVU ambaye unadhani aliyoyaandika Erick Kabendera ni ya UWONGO.

Magufuli alikufa kwa madhambi aliyowatendea Watanzania
We mjinga mwambieni huyo boya alete picha za tukio sio maandishi hata chizi anaweza kuandika sisi sio wajinga wa kututungia uongo Ili auze kitabu kitadoda halafu we ni mbumbumbu cheti feki lazima umchukie jeshi kama madhambi yenyewe ni kuwafuchua nyie mbumbumbu wenye vyeti feki basi acha afe nazo sababu ni shujaa
 
Huyu jamaa naona baada ya dili lake la voda kufeli Sasa amekanyaga moto yaana watoto wa mjini tunasema kaingia kwenye kumi na nane anataka kujipatia hela Kwa kutunga stori za uongo sababu anajua watanzania wengi Wana low IQ naomba serikali yetu imtie nguvuni na abanwe kisawasawa Kwa kuzusha uongo wake na hicho kitabu kifungiwe
Mwanangu una haha kinoma na kitabu cha kabendera, amepiga kwenye mshono ama sio?
 
We mjinga mwambieni huyo boya alete picha za tukio sio maandishi hata chizi anaweza kuandika sisi sio wajinga wa kututungia uongo Ili auze kitabu kitadoda
Wewe ni MPUMBAVU tayari kama unaamini kuwa picha tu ndiyo ushahidi pekee wa kumtia mtu hatiani.

Kama ni hivyo basi Mahakama zisingeweza kuamua kesi yeyote. Mahakamani ni maelezo tu hutolewa na mashahidi
 
Ukweli Gani kuandika hata Mimi naweza kuamka asubuhi nikaandika hivi unaakili timamu kweli alete picha za tukio ndio tutaamini ila sio maandishi
Ukweli ni kwamba bene sanane alipotea baada ya kuwa anahoji PHD ya Magubeli . Na watu wengi walio kuwa wanampiga magufuli walipotea. Na hakuna aliye chuguza wala hakuna aliye kamatwa wala hakuna aliye patikana. Sasa raisi anakwepaji kuhusika hapo.
 
Ndo madhara ya serikali isiyowajibika. Serikali ilikuwa na wajibu wa kuchunguza halafu ikatuletea report alipo saanane.
Sasa kwa kuwa serikali imekaa kimya! Mimi naenda na kabendera.
Ndio nyie aliowalenga kabendera Ili apige pesa maisha ni akili mingo dhidi ya wajinga wajinga ndio waliwao kanunue kitabu kimetoka kipo amazon
 
Wewe ni wakizamani hujaelimika kila mtu ana uhuru wa kutoa mawazo yake.

Unataka nchi iongozwe na hisia sio sheria..
Hufai kuwa hata balozi wa nyumba 10
We akili huna hayo ni mawazo Kwa unavyoona
 
Huyo Hana haha ya kupelekwa mahakamani ni wa kushugulikiwa tu Ili iwe funzo Kwa viherehere
Kumbe alichoandika kinaweza kuwa cha kweli. Kama vyombo vya haki na sheria vipo, kwa nini mnataka ashughulikiwe bila kufuata utaratibu wa kisheria? Au sheria na haki mnazo ninyi tu walamba asali?
 
Kumbe alichoandika kinaweza kuwa cha kweli. Kama vyombo vya haki na sheria vipo, kwa nini mnataka ashughulikiwe bila kufuata utaratibu wa kisheria? Au sheria na haki mnazo ninyi tu walamba asali?
Huyo mjinga mmoja tu anaetafuta kiki ataipata
 
Back
Top Bottom