Serikali mshugulikieni kabendera akione Cha moto Ili iwe fundisho Kwa watu wanaotafuta kiki

Serikali mshugulikieni kabendera akione Cha moto Ili iwe fundisho Kwa watu wanaotafuta kiki

Yeye kabendela ametoa ushahidi upi? Na wewe unskubaliana nae kwa ushahidi upi?
Sikubaliani naye wala simkatalii kwa sababu sijui lolote! Ila 70% naenda naye sako kwa bako kwa sababu ni kweli Ben saa nane simuoni mitaani
 
Huyu jamaa naona baada ya dili lake la voda kufeli Sasa amekanyaga moto yaana watoto wa mjini tunasema kaingia kwenye kumi na nane anataka kujipatia hela Kwa kutunga stori za uongo sababu anajua watanzania wengi Wana low IQ naomba serikali yetu imtie nguvuni na abanwe kisawasawa Kwa kuzusha uongo wake na hicho kitabu kifungiwe
Ninyi ndio mnaoitwa stupid. Ungekuwa na akili, ungeueleza ukweli unaoujua. Na kama una uhakika kuwa amesema uongo ungewashauri waathirika kufungua kesi dhidi ya Kabendera ili athibitishe tuhuma, lakini siyo kuropoka kama ulivyofanya.
Mpaka sasa kwa sababu hakuna aliyepinga kwa vielelezo, na hakuma aliyeenda mahakamani kuomba uthibitisho, Kabendera ataendelea kuonekana kuwa ni mkweli.
 
Ukweli Gani kuandika hata Mimi naweza kuamka asubuhi nikaandika hivi unaakili timamu kweli alete picha za tukio ndio tutaamini ila sio maandishi
Unaposema tutaamini, wewe na nani? Kwanini usizungumzie nafsi yako bila kuwajumuisha wengine ambao huwajui, au sema wewe na familia yako
 
Huyu jamaa naona baada ya dili lake la voda kufeli Sasa amekanyaga moto yaana watoto wa mjini tunasema kaingia kwenye kumi na nane anataka kujipatia hela Kwa kutunga stori za uongo sababu anajua watanzania wengi Wana low IQ naomba serikali yetu imtie nguvuni na abanwe kisawasawa Kwa kuzusha uongo wake na hicho kitabu kifungiwe
No hakuna haja ya kumshuhhulikia. Mungu ata deal naye!
 
Nilijua shetani alivyokufa mambo yameisha kumbe aliacha vibaraka wake 😥🥹
 
Sikubaliani naye wala simkatalii kwa sababu sijui lolote! Ila 70% naenda naye sako kwa bako kwa sababu ni kweli Ben saa nane simuoni mitaani
Na hutamuona ,na hakuna unachoweza kufanya kumrudisha
 
Huyu jamaa naona baada ya dili lake la voda kufeli Sasa amekanyaga moto yaana watoto wa mjini tunasema kaingia kwenye kumi na nane anataka kujipatia hela Kwa kutunga stori za uongo sababu anajua watanzania wengi Wana low IQ naomba serikali yetu imtie nguvuni na abanwe kisawasawa Kwa kuzusha uongo wake na hicho kitabu kifungiwe
Low IQ inakuhusu utafungiaje kitabu kinachotolewa na Amazon ( that is if unajua Amazon ni nini)
 
Huyu jamaa naona baada ya dili lake la voda kufeli Sasa amekanyaga moto yaana watoto wa mjini tunasema kaingia kwenye kumi na nane anataka kujipatia hela Kwa kutunga stori za uongo sababu anajua watanzania wengi Wana low IQ naomba serikali yetu imtie nguvuni na abanwe kisawasawa Kwa kuzusha uongo wake na hicho kitabu kifungiwe
Nimechagua kusimama na the late. Dr. John Pombe Joseph Magufuli.

Kuongoza nchi, ni kazi kubwa sana, sijawahi kuongoza nchi wala kuwa kiongozi mawandamizi, lakini nafahamu kuongoza over 50+ cloud ni kazi inayohitaji, DAMU, JASHO NA MACHOZI.

Serikali kuu (hasa ofisi kuu ya taifa, ofisi namba moja ya taifa) ni taasisi, siyo mtu mmoja. Urais siyo mtu mmoja ni taasisi kubwa ambayo ina kila kitu.

Serikali ya nchi yoyote inaweza kuuwa, kushikilia watu kwa siri, hakuna sehemu katika katiba hivi vitu vimeandikwa. Niamini mimi kuwa hivi vitu vipo na vinafanyika kila nchi, hata ile nchi inayotumia mtawala wa kidini (pope) hivi vitu hufanyika.

Angalieni series ya Tylor inaitwa THE OVAL (Ameongelea white house ya Marekani), baadhi ya matukio ya mauaji yamefanyika in the name of the oval (white hoise ya marekani), wakati ambao hata mkuu wa oval(Rais) hafahamu.

Nenda ukaangalie series ya kikorea inafundisha kuhusu uongozi na namna ya kudeal watu wanaoweza kuangusha serikali inaitwa SHINE OR GO CRAZY.

Machepele, kwa sasa nipo
Nzela, Geita Tanzania.
 
Back
Top Bottom