Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa amemkamata Mbwa mguu wake wa kushoto akaanza kumzungusha kama vile mashabiki wa Mpira uwanjani wanavyozungusha fulana zao/mashati yao wakiwa vifua wazi kisha akamwacha Mbwa aende zake.Hatuna bundle la kuchezea andika kwa Maneno kafanyaje??
Inatosha Kiongozi.Haujalazimishwa. Unaenda stendi huna nauli 😟
Duu hatari Sana nadhani mtoa Mada huyo mke angemuoa tuJamaa amemkamata Mbwa mguu wake wa kushoto akaanza kumzungusha kama vile mashabiki wa Mpira uwanjani wanavyozungusha fulana zao/mashati yao wakiwa vifua wazi kisha akamwacha Mbwa aende zake.
Sasa sijui jamaa alitaka Mbwa apate kizunguzungu!
Hii ni dhambi kubwa sana kumkatili mnyama kama vile.Jamaa amemkamata Mbwa mguu wake wa kushoto akaanza kumzungusha kama vile mashabiki wa Mpira uwanjani wanavyozungusha fulana zao/mashati yao wakiwa vifua wazi kisha akamwacha Mbwa aende zake.
Sasa sijui jamaa alitaka Mbwa apate kizunguzungu!
Kwa nchi gani sasa? au unazungumzia USA?
Huku Tz hatuna taasisi za kutetea haki za wanyama ?Jamaa amemkamata Mbwa mguu wake wa kushoto akaanza kumzungusha kama vile mashabiki wa Mpira uwanjani wanavyozungusha fulana zao/mashati yao wakiwa vifua wazi kisha akamwacha Mbwa aende zake.
Sasa sijui jamaa alitaka Mbwa apate kizunguzungu!
Hapa Tanzania watu huwa wanang'olewa macho na kutupwa kwenye misitu itakua huyo mbwaJamaa amemkamata Mbwa mguu wake wa kushoto akaanza kumzungusha kama vile mashabiki wa Mpira uwanjani wanavyozungusha fulana zao/mashati yao wakiwa vifua wazi kisha akamwacha Mbwa aende zake.
Sasa sijui jamaa alitaka Mbwa apate kizunguzungu!
Zamani ilikuwepo TSPCA (Tanzania Society for the Prevention of Cruelty to Animals) - hii ilikuwepo tangu enzi ya ukoloni lakini sasa nimeona wanajishughulisha na fire fighting and rescue. Habari ya wanyama hakuna limebaki jina tu.Huku Tz hatuna taasisi za kutetea haki za wanyama ?
Watu wanataarisha vitoweo vyao jamaa anaongelea mateso.Mnyama amelalamika kwako?