Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Daah inasikitisha sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daah inasikitisha sana
Ambayo wala haiyafanyi, usishangae wajihangaika na ya mbwa! Mauzauza oyeee![emoji848]Ila serikali ina mambo mengi yakufanya...
CCM haitokaa itoke madarakani kwa akili kama hizi. Video inajieleza we unataka uandikiwe. Shame.Hatuna bundle la kuchezea andika kwa Maneno kafanyaje??
Utakuta hiyo nayo ni taasisi ya serikali; ina Mkurugenzi ambaye anatembelea vieite. Hii mifumo ya kikoloni ya kucopy na kupesti haiwezi kutuacha salamaHii ni dhambi kubwa sana kumkatili mnyama kama vile.
TSPCA imekufa siku hizi?
Mbaya zaidi watu wa pembeni yake walikuwa wanafurahia pia kile kitendo kwa vicheko vyaoNimeumia sana kutokana na kitendo cha kinyanyasaji kilichofanywa na huyo kijana
Unavyoiona ni Mb ngapi mkuu ili nisijaribu kuifungua.Hatuna bundle la kuchezea andika kwa Maneno kafanyaje??
Umeguswa wapi au t*ko?Mshnz sana huyo,nimeguswa sana aise
Ova