chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 8,680
- 18,035
Zamani kabla mitandao ya kijamii maoni ya wananchi yalikuwa hayana tofauti na kilio cha samaki kwenye maji.
kwa yale mnayokumbuka
hata ukitoa maoni yako kuhusu lolote basi kufanyiwa kazi asilimia ndogo sana.
serikali kubali kupokea maoni kupitia mitandao ya kijamii sehemu zote na sio kuzuia.
wananchi ndio wanajua mapungufu yenu na taasisi zenu.
ndio maana kila kukicha maoni yao wanaweka kupitia mitandao ya kijamii.
Asante #Jamiiforums kuwa sehemu ya mchango mkubwa watu kuleta maoni
kwa yale mnayokumbuka
hata ukitoa maoni yako kuhusu lolote basi kufanyiwa kazi asilimia ndogo sana.
serikali kubali kupokea maoni kupitia mitandao ya kijamii sehemu zote na sio kuzuia.
wananchi ndio wanajua mapungufu yenu na taasisi zenu.
ndio maana kila kukicha maoni yao wanaweka kupitia mitandao ya kijamii.
Asante #Jamiiforums kuwa sehemu ya mchango mkubwa watu kuleta maoni