Serikali na TAKUKURU imulikeni NBC Premier League, Pesa za GSM kwa Marefa ili Kuibeba Yanga SC zinaharibu Soka letu

Serikali na TAKUKURU imulikeni NBC Premier League, Pesa za GSM kwa Marefa ili Kuibeba Yanga SC zinaharibu Soka letu

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
Nashukuru leo nilibahatika Kukaa Ukumbi Mmoja waliokuwa baadhi ya Wakufunzi wa Waamuzi nchini, Kiongozi Mmoja wa TFF na Mchezaji wa zamani wa Yanga SC Magomeni Mapipa ambapo Wote kwa pamoja walionekana Kuchukizwa na Penati ya Kiuonevu dhidi ya Namungo FC na ya Kuipendelea ( Kuibeba ) Yanga SC iliyotolewa na Mwamuzi ( Referee ) Zuzu na Katili kuwahi kutokea nchini Tanzania ikielekea Kusheherekea miaka yake 60 ya Uhuru.

Wala huhitaji Akili Kubwa sana kuweza kujua ya kwamba Mwamuzi ( Referee ) wa leo kama walivyo wengine wanaochezesha Ligi Kuu ya NBC wapo katika 'payroll' ya Kampuni ya GSM ambayo pia ndiyo Wadhamini Wakuu wa Klabu ya Yanga.

Serikali ya Tanzania ( kupitia Wizara husika ya Sanaa, Utamaduni na Michezo ) pamoja na TAKUKURU endeleeni tu Kukalia Kimya huu Upuuzi na Uhuni unaofanywa na hawa GSM katika Ligi Kuu ya NBC ila ipo Siku isiyo na Jina kwa Uchezeshaji huu wa Kimaagizo na Upendeleo kuna Waamuzi ( Referees ) Viungo vyao vya Mwili vitakuwa vimeshatenganishwa na wamekuwa Historia hapa duniani.

Popote pale tu laana impate Mwamuzi.
 
tatizo mashabiki wa KOLO FC...........hamna akili...mmesahau mmewahi kuhitaji refa kuletwa kutoka nje ya nchi kuchezesha mechi😀😀😀
 
tatizo mashabiki wa KOLO FC...........hamna akili...mmesahau mmewahi kuhitaji refa kuletwa kutoka nje ya nchi kuchezesha mechi😀😀😀
Kakaaa tuweke ujinga pembeni sie yanga na Simba tunabebwa na masamuzi yakijinga.mie mwananchi pia Ile haikuwa tuta.ndio Mana kimataifa tunapata tabu Sana kwa ujinga wa usimba na uyanga.
 
Nashukuru leo nilibahatika Kukaa Ukumbi Mmoja waliokuwa baadhi ya Wakufunzi wa Waamuzi nchini, Kiongozi Mmoja wa TFF na Mchezaji wa zamani wa Yanga SC Magomeni Mapipa ambapo Wote kwa pamoja walionekana Kuchukizwa na Penati ya Kiuonevu dhidi ya Namungo FC na ya Kuipendelea ( Kuibeba ) Yanga SC iliyotolewa na Mwamuzi ( Referee ) Zuzu na Katili kuwahi kutokea nchini Tanzania ikielekea Kusheherekea miaka yake 60 ya Uhuru.

Wala huhitaji Akili Kubwa sana kuweza kujua ya kwamba Mwamuzi ( Referee ) wa leo kama walivyo wengine wanaochezesha Ligi Kuu ya NBC wapo katika 'payroll' ya Kampuni ya GSM ambayo pia ndiyo Wadhamini Wakuu wa Klabu ya Yanga.

Serikali ya Tanzania ( kupitia Wizara husika ya Sanaa, Utamaduni na Michezo ) pamoja na TAKUKURU endeleeni tu Kukalia Kimya huu Upuuzi na Uhuni unaofanywa na hawa GSM katika Ligi Kuu ya NBC ila ipo Siku isiyo na Jina kwa Uchezeshaji huu wa Kimaagizo na Upendeleo kuna Waamuzi ( Referees ) Viungo vyao vya Mwili vitakuwa vimeshatenganishwa na wamekuwa Historia hapa duniani.

Popote pale tu laana impate Mwamuzi.
GENTAMYCINE bwana....
 
Nashukuru leo nilibahatika Kukaa Ukumbi Mmoja waliokuwa baadhi ya Wakufunzi wa Waamuzi nchini, Kiongozi Mmoja wa TFF na Mchezaji wa zamani wa Yanga SC Magomeni Mapipa ambapo Wote kwa pamoja walionekana Kuchukizwa na Penati ya Kiuonevu dhidi ya Namungo FC na ya Kuipendelea ( Kuibeba ) Yanga SC iliyotolewa na Mwamuzi ( Referee ) Zuzu na Katili kuwahi kutokea nchini Tanzania ikielekea Kusheherekea miaka yake 60 ya Uhuru.

Wala huhitaji Akili Kubwa sana kuweza kujua ya kwamba Mwamuzi ( Referee ) wa leo kama walivyo wengine wanaochezesha Ligi Kuu ya NBC wapo katika 'payroll' ya Kampuni ya GSM ambayo pia ndiyo Wadhamini Wakuu wa Klabu ya Yanga.

Serikali ya Tanzania ( kupitia Wizara husika ya Sanaa, Utamaduni na Michezo ) pamoja na TAKUKURU endeleeni tu Kukalia Kimya huu Upuuzi na Uhuni unaofanywa na hawa GSM katika Ligi Kuu ya NBC ila ipo Siku isiyo na Jina kwa Uchezeshaji huu wa Kimaagizo na Upendeleo kuna Waamuzi ( Referees ) Viungo vyao vya Mwili vitakuwa vimeshatenganishwa na wamekuwa Historia hapa duniani.

Popote pale tu laana impate Mwamuzi.
Mpaka siku refa atoke uwanjani kiwiliwili tupu bila kichwa ndiyo TFF watatia akili

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Nashukuru leo nilibahatika Kukaa Ukumbi Mmoja waliokuwa baadhi ya Wakufunzi wa Waamuzi nchini, Kiongozi Mmoja wa TFF na Mchezaji wa zamani wa Yanga SC Magomeni Mapipa ambapo Wote kwa pamoja walionekana Kuchukizwa na Penati ya Kiuonevu dhidi ya Namungo FC na ya Kuipendelea ( Kuibeba ) Yanga SC iliyotolewa na Mwamuzi ( Referee ) Zuzu na Katili kuwahi kutokea nchini Tanzania ikielekea Kusheherekea miaka yake 60 ya Uhuru.

Wala huhitaji Akili Kubwa sana kuweza kujua ya kwamba Mwamuzi ( Referee ) wa leo kama walivyo wengine wanaochezesha Ligi Kuu ya NBC wapo katika 'payroll' ya Kampuni ya GSM ambayo pia ndiyo Wadhamini Wakuu wa Klabu ya Yanga.

Serikali ya Tanzania ( kupitia Wizara husika ya Sanaa, Utamaduni na Michezo ) pamoja na TAKUKURU endeleeni tu Kukalia Kimya huu Upuuzi na Uhuni unaofanywa na hawa GSM katika Ligi Kuu ya NBC ila ipo Siku isiyo na Jina kwa Uchezeshaji huu wa Kimaagizo na Upendeleo kuna Waamuzi ( Referees ) Viungo vyao vya Mwili vitakuwa vimeshatenganishwa na wamekuwa Historia hapa duniani.

Popote pale tu laana impate Mwamuzi.
Kwaiyo leo ndo umepata uchungu wa kukemea marefa baada ya penalty ya yanga sio? Zile anazopataga simba zote uwa ni halali au muda huo unakuwaga kipofu kwa muda, Kama ambavyo mnafaidika na marefa basi na yanga leo kafaidika ivyo ivyo, Aiwezekani matukio ya simba kufaidika na marefa mnakaa kimya mnakenua alafu akifaidika yanga mnakuja juu kama moto wa kifuu, kwa sasa tutaendelea kuishi kwa mfumo huo mpaka watu wanafiki kama wewe mtakapopata akili, 100% simba ndio wamefaidika na maamuzi ya ovyo ya marefa alafu leo mnajitokeza eti mnajifanya kuwa washauri wazuri wa kuliinua soka letu siku nyingine uwa mmelala mnafurahia ushindi!!!
 
Nashangaa wanaosema eti wanaosema Simba inabebwa. Lakini ukweli Yanga ndio inayobebwa tena live bila chenga.

Mechi dhidi ya Ruvu mlipewa penati ambayo mpira alishika Mayele, na bado mkapewa kadi nyekundu ya uongo.

Nambie mechi ambayo Simba imepata penati au kadi nyekundu ya uongo huu msimu. Zote ni kadi na penati halali kama uliangalia mpira huwezi kubisha.
 
Nashukuru leo nilibahatika Kukaa Ukumbi Mmoja waliokuwa baadhi ya Wakufunzi wa Waamuzi nchini, Kiongozi Mmoja wa TFF na Mchezaji wa zamani wa Yanga SC Magomeni Mapipa ambapo Wote kwa pamoja walionekana Kuchukizwa na Penati ya Kiuonevu dhidi ya Namungo FC na ya Kuipendelea ( Kuibeba ) Yanga SC iliyotolewa na Mwamuzi ( Referee ) Zuzu na Katili kuwahi kutokea nchini Tanzania ikielekea Kusheherekea miaka yake 60 ya Uhuru.

Wala huhitaji Akili Kubwa sana kuweza kujua ya kwamba Mwamuzi ( Referee ) wa leo kama walivyo wengine wanaochezesha Ligi Kuu ya NBC wapo katika 'payroll' ya Kampuni ya GSM ambayo pia ndiyo Wadhamini Wakuu wa Klabu ya Yanga.

Serikali ya Tanzania ( kupitia Wizara husika ya Sanaa, Utamaduni na Michezo ) pamoja na TAKUKURU endeleeni tu Kukalia Kimya huu Upuuzi na Uhuni unaofanywa na hawa GSM katika Ligi Kuu ya NBC ila ipo Siku isiyo na Jina kwa Uchezeshaji huu wa Kimaagizo na Upendeleo kuna Waamuzi ( Referees ) Viungo vyao vya Mwili vitakuwa vimeshatenganishwa na wamekuwa Historia hapa duniani.

Popote pale tu laana impate Mwamuzi.

Huyu refarii wa jana akipewa mechi tano za Yanga asipojenga nyumba ufukweni basi asahau abadan 😀
 
Nashukuru leo nilibahatika Kukaa Ukumbi Mmoja waliokuwa baadhi ya Wakufunzi wa Waamuzi nchini, Kiongozi Mmoja wa TFF na Mchezaji wa zamani wa Yanga SC Magomeni Mapipa ambapo Wote kwa pamoja walionekana Kuchukizwa na Penati ya Kiuonevu dhidi ya Namungo FC na ya Kuipendelea ( Kuibeba ) Yanga SC iliyotolewa na Mwamuzi ( Referee ) Zuzu na Katili kuwahi kutokea nchini Tanzania ikielekea Kusheherekea miaka yake 60 ya Uhuru.

Wala huhitaji Akili Kubwa sana kuweza kujua ya kwamba Mwamuzi ( Referee ) wa leo kama walivyo wengine wanaochezesha Ligi Kuu ya NBC wapo katika 'payroll' ya Kampuni ya GSM ambayo pia ndiyo Wadhamini Wakuu wa Klabu ya Yanga.

Serikali ya Tanzania ( kupitia Wizara husika ya Sanaa, Utamaduni na Michezo ) pamoja na TAKUKURU endeleeni tu Kukalia Kimya huu Upuuzi na Uhuni unaofanywa na hawa GSM katika Ligi Kuu ya NBC ila ipo Siku isiyo na Jina kwa Uchezeshaji huu wa Kimaagizo na Upendeleo kuna Waamuzi ( Referees ) Viungo vyao vya Mwili vitakuwa vimeshatenganishwa na wamekuwa Historia hapa duniani.

Popote pale tu laana impate Mwamuzi.
Kwaio Yanga Ndio Timu Pekee Inayobebwa Ligi Kuu?
 
Hata hiyo Penart ingekuwa halali. Jinsi ilivyopigwa huku kukiwa na rundo la wachezaji wengine waliomzidi mpigaji penart, ndio utagundua upuuzi wa Refa.
 
Nashukuru leo nilibahatika Kukaa Ukumbi Mmoja waliokuwa baadhi ya Wakufunzi wa Waamuzi nchini, Kiongozi Mmoja wa TFF na Mchezaji wa zamani wa Yanga SC Magomeni Mapipa ambapo Wote kwa pamoja walionekana Kuchukizwa na Penati ya Kiuonevu dhidi ya Namungo FC na ya Kuipendelea ( Kuibeba ) Yanga SC iliyotolewa na Mwamuzi ( Referee ) Zuzu na Katili kuwahi kutokea nchini Tanzania ikielekea Kusheherekea miaka yake 60 ya Uhuru.

Wala huhitaji Akili Kubwa sana kuweza kujua ya kwamba Mwamuzi ( Referee ) wa leo kama walivyo wengine wanaochezesha Ligi Kuu ya NBC wapo katika 'payroll' ya Kampuni ya GSM ambayo pia ndiyo Wadhamini Wakuu wa Klabu ya Yanga.

Serikali ya Tanzania ( kupitia Wizara husika ya Sanaa, Utamaduni na Michezo ) pamoja na TAKUKURU endeleeni tu Kukalia Kimya huu Upuuzi na Uhuni unaofanywa na hawa GSM katika Ligi Kuu ya NBC ila ipo Siku isiyo na Jina kwa Uchezeshaji huu wa Kimaagizo na Upendeleo kuna Waamuzi ( Referees ) Viungo vyao vya Mwili vitakuwa vimeshatenganishwa na wamekuwa Historia hapa duniani.

Popote pale tu laana impate Mwamuzi.
simba inawaumeni nomgo wamekubar point moja kibahati poleni mtabaki kuwa nyuma yetu mda wote
 
Sasa popoma rudisha simu ulipoazima na uendelee kuchunga ng'ombe za baba yako
 
Umesahau,alimalizia kuwa wako uneducated.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Manara nae akathibitisha kuwa vijana wa yanga hawana elimu tangia nchi inapata uhuru
Screenshot_20211114-180410_Instagram.jpg
 
Back
Top Bottom