Elimu za kata Tena, hujui hata huyo daktari anayekutibu au kuitibu Familia yako kasomea shule za kata?
Huwezi kuelewa kila kitu kubali kukosolewa kiongozi
Mungu ni mshindi
Wewe unataka tufanye nini ili tusife kipumbavu?
Nakuunga mkono. Watalii kedekede,nenda Arusha na Moshi utajionea, hili hatulioni kama ni tatizo. Tulionywa mapema tuzuie maingiliano tukashupaza shingo kuwa ni kaugonjwa,hopeless. Tumeondoa Mawaziri waliosimamia vyema tukajaza Bandugu ili kuendeleza ushirikina wa Kisuk.. wa kujifukiza! Ajabu sana. Kuna mtu sasa hivi ukiangalia uso wake umeiva kama chocolate shauri ya kujifukiza. Kwa wasiojua kujifukiza kila siku unauwa seli za ngozi ya mapafu kwa moto ambazo zilikuwa muhimu kupambana na lung infections !Una point nzuri ila ni dhaifu, ulimwengu mzima wanapigania hicho hicho, Tanzania tunakipi cha kujivunia? Tabby watu wanakufa acheni ujinga tutakufa kipumbavu! Umeongea assumptions kibao
Uko sahihi, wakati mwingine ushamba nao ni ugonjwa mkubwa zaidi! Covid 19 ilianzia Asia (China) na siyo Ulaya. Issue ya Mzungu kukuuwa inaingiaje hapo?Mkuu wangeitaji kutuua wala wasingesubiri Corona... Chanjo zote tunazotumia hadi sasa zinatoka kwao. Madawa yote yanatoka kwao..
Tuachane na hii mentality ya kimaskini na ki laymen kwanza, akili hii ya kijinga ni ugonjwa mkubwa kuliko Covid19 yenyewe.
Vaeni BARAKOA
Nawa mikono mara kwa mara
Keep social distance [Epukeni vikundi na vijiwe]
Fuateni ushauri wa wanasayansi na sio wanasiasa!!
How do you keep social distance if public service centers are not regulated accordingly? Angalia vile watu wanajazwa kwenye mwendokasi hadi wengine wanakosa pa kuweka miguu.
Sidhani kama wewe una maarifa na taarifa zaidi ya wataalamu na madaktari wote waliogundua matatizo nyuma ya hili tatizo. Hii ndiyo sababu hata namna ya kutekeleza azma ovu, haiwahitaji kutumia aklii nying kwa sababu wanajua makao makuu ya ujjinga yako Africa.Uko sahihi, wakati mwingine ushamba nao ni ugonjwa mkubwa zaidi! Covid 19 ilianzia Asia (China) na siyo Ulaya. Issue ya Mzungu kukuuwa inaingiaje hapo?
Sijui kama unaelewa unachokisema. Mtu hana uwezo wa kukodi taxi. Kila gari lnajaza vile vile, asipande ahamie stand au asiende kukidhi mahitaji yake?Kwani wanalazimishwa kujazana kwenye mwendokasi? Watumie akili, ukiona basi limejaa usipande utakuwa unajilinda! Mambo mengine ni kutumia common sense tu.
Ninachotaka wafanye nimekiandika, unauliza nini tena? Huwezi kusoma, usiandike.Umeshaambiwa Corona haina dawa.unataka serikali ifanye nini?.
MTU akifa zikeni maisha yanaendelea.
Mkuu, ni afadhali kukaa kimya kama hujui jambo na kusikiliza wenzako, ila unapotharau au kuleta visingizio vya kutangaza hadharani kutoamini wengine,basi toa jawabu! It is a shame kama msomi wa modern science kuamini ushirikina hadharani kuwa ndiyo njia sahihi ya utatuzi wa issue nyeti kama corona. Tulianza vizuri mwaka jana kwa kufanya epidemiological screening ya covid kwa baadhi ya vituo,angalau kujua trend, japo hatuna dawa. Just of a sudden tukasitisha bila genuine reason,ttukatangaza tuko free from covid,tukaondoa marufuku kadhaa,tukaingiza watalii na kila yeyote. Leo hii tunaekekea kusiko tunaanza kulumbana na kuhamia kwenye ushirikina! Huo ndo usomi unaotueleza? Hao Wazungu unaowataja,nakubaliana na baadhi ya sera zao kuwa potofu,lakini siyo hili la Covid 19/21. Ushamba utatuangamiza! Na hili la kutaka unayemteua awe anakusikiliza wewe tuu ndiyo baya zaidi!!Sidhani kama wewe una maarifa na taarifa zaidi ya wataalamu na madaktari wote waliogundua matatizo nyuma ya hili tatizo. Hii ndiyo sababu hata namna ya kutekeleza azma ovu, haiwahitaji kutumia aklii nying kwa sababu wanajua makao makuu ya ujjinga yako Africa.
1). Unajua nchi gani cohort iliyochanjwa dawa baada ya chanjo wote walikutwa hawana tena uwezo wa kuzaa?
2). Unajua ni wapi kule watu wake wamechanjwa na baada ya chanjo wame test HIV +ve ?
3). Unajua wakati wanafanya maabara test ya mites asilimia ngapi ya hao walikuwa wanakufa?
4). Unajua ni watu wangapi wanakufa baada ya kupewa hiyo michakato?
5). Unajua mara ngapi mtu mmoja mkubwa sana mwenye ubia kaacka utengenezaji wa chanjo hizo japo si medical doctor, amekuwa akisema habari za ku depopulate Africa?
Hata picha ngumu kuilewa ndugu zangu?
Mimi mwenyewe ni sh ahidi, nilisomaa makala moja nikiwa uholanzi walikaa viako wanajadili utupaji wa taka zenye sumu, na mwisho wa makubaliano yao yalikuwa wasitupiane taka wao kwa wao bali wapeleke kwenye nchi maskini kama Tanzania.
6. Unajua historia ya kutoweka wa Red Indies wwenyeji wa bara la Marekani?
ta
7. Kama huna habari, ni afadhari unyamaze kuliko kuongea mambo usiyoyajua. Au unataka wachukee ndege za vita waje wakuue, ama wakuwekee sumu ya panya kwenye mikate? Mbona unayonyesha kiwango cha chini sana ch auelelewa kilicho chini ya wasomi wa kimataifa unaowaita washamba?
Boy!.
Dont talk without evidences. Muda huo sina.Mkuu, ni afadhali kukaa kimya kama hujui jambo na kusikiliza wenzako, ila unapotharau au kuleta visingizio vya kutangaza hadharani kutoamini wengine,basi toa jawabu! It is a shame kama msomi wa modern science kuamini ushirikina hadharani kuwa ndiyo njia sahihi ya utatuzi wa issue nyeti kama corona. Tulianza vizuri mwaka jana kwa kufanya epidemiological screening ya covid kwa baadhi ya vituo,angalau kujua trend, japo hatuna dawa. Just of a sudden tukasitisha bila genuine reason,ttukatangaza tuko free from covid,tukaondoa marufuku kadhaa,tukaingiza watalii na kila yeyote. Leo hii tunaekekea kusiko tunaanza kulumbana na kuhamia kwenye ushirikina! Huo ndo usomi unaotueleza? Hao Wazungu unaowataja,nakubaliana na baadhi ya sera zao kuwa potofu,lakini siyo hili la Covid 19/21. Ushamba utatuangamiza! Na hili la kutaka unayemteua awe anakusikiliza wewe tuu ndiyo baya zaidi!!
Ninachotaka wafanye nimekiandika, unauliza nini tena? Huwezi kusoma, usiandike.
My friend, I have a handful evidence of those died from this shit while deeply dosed with those herbals. Just to remind you, this shit is still contraversial to medical experts! I rather suggest to combine local as well as external efforts.Ni sahihi kabisa. Siku zote Mungu ni mshindi. Kuna watu wasiojitambua ambao hawawezi ku comprehend issues na kuishia kupiga kelele bila mikakati. We need to deploy strategies for our rescue. Ikiwa taifa linaweza kuona namna hili janga linakuwa kubwa, na remedies zipo, inapashwa kuhakikisha hizo remedies zinatumika na watu wote badal ya kuliacha kisiasa siasa . We have remained with no time for complaining, insulting people or even seeking attentions rather than taking immediate right actions which is to produce and distribute the medicines that we have discovered.
I am seeing few fools here who are just making noisy trying to force our leaders into imported medical remedies regardless evidenced controversial underlying agenda behind the so called solutions.
From such brains, now I can understand why the Government is ignoring many suggestions in wholesale form.