Serikali na wimbi la vifo vinavyotokana na kushindwa kupumua

"TO MAKE A GOOD BALANCE IN THE WORLD 3 BILLIONS PEOPLES ARE NOT NEEDED"-nwo secrets
 
Sorry, did I invite you? Stop being selfish dude!.
acha upuuzi na blah blah hujui lolote selfish mkubwa
hapa nilipo nipo Msibani na sio msiba mmoja halafu unaleta siasa za Corona
you are Dude utafuata wewe kwa kufa na hili gonjwa
iambie serikali yako mtaondoka wote mnaoficha maradhihakuna cha kwensa India SA wala China
 
Kwlei wewe umekuwa zaidi ya pumbavu!. Angalia kama CoVid itakuacha, basi utaokota makopo. Pumbavu sana hata hujielewi. Achana na mimi sina muda na watu wasiojitambua.
 
My friend, I have a handful evidence of those died from this shit while deeply dosed with those herbals. Just to remind you, this shit is still contraversial to medical experts! I rather suggest to combine local as well as external efforts.
Who is opposing you here? You need to understand the context in the agenda before casting stones awkwardly. If you were sensible enough to get into the concept, you could know my warnings under preamble. Bringing up solutions and not unproductive arguments. Toa solutions siyo ku attacck watu wakati hujaelewa wanaongelea nini. Sema nini kifnyike ili tuwe kama nani aliyefanya hivyo na kukomesha tatizo.
 
Nakurejesheaa mauti unayoinena juu ya kichwa chako mwenyewe. Stop attacking people ignorantly. Nani kafanya sat iasa. Did you understand my concern? Idiot!.
 
Sio kushupaza shingo, tamaa ya fedha bila kujali uzalendo wanao uimba kinafiki, maana watarii si huingiza fedha za kigeni,Bora watu wafe ila fedha iingie.
 
Kwani wanalazimishwa kujazana kwenye mwendokasi? Watumie akili, ukiona basi limejaa usipande utakuwa unajilinda! Mambo mengine ni kutumia common sense tu.
Wewe vipi Nani kakuambia Kuna korona mpaka watu wa keep social distance?!
 
UVCCM katika ubora wako
 
Kosa lako kubwa katika huu uzi ni kuingiza siasa.
Halafu hutaki ujibiwe kisiasa kama ulivyo lipolitizi.
Umakini katika suala la corona unahitajika sana na hili lilitakiwa lihamasishwe na viongozi hasa kiongozi mkuu kwa njia ya mfano.
Nisiseme mengi ila kama tulianza katika njia ya kimakosa na sasa tunatafuta namna ya kupona katika hili janga, basi tufahamu na kukiri kuwa kukosea sii kosa kama kurudia kosa.
Kwa pamoja tuungane katika hii vita kwa sababu inawezekana kuitokomeza au kupunguza kwa kiwango cha kuridhisha.
 
UVCCM katika ubora wako
Pumbavu stay away from me. You are not my level please mind your business. Utakufa na maupumbavu yako ya kisiasa. Unadhani watu wote ni majuha wanaishia kuwaza uccm na ujinga mwingine? Pumbavu sana.
 
My friend, I have a handful evidence of those died from this shit while deeply dosed with those herbals. Just to remind you, this shit is still contraversial to medical experts! I rather suggest to combine local as well as external efforts.
Ume tugongea slange duh! Si mchezo
 
Unapashwa kuelewa mwaka jana siyo leo. Usiunganishe matukio kutka kujastify makosa ya kimtazamo yako yaliyopita. Kama ulikuwa kinyume na sera za nchi juu ya hili kwa mwaka jana ulifeli. Sasa hivi tunaongelea wimbi la pili. Duniani kuna wimbi la pili la corona ndicho kilichopo sasa.

Unapozungumzia ufahamu kwamba dunia na TZ tunaongelea wimbi la pili. kuanzia hapa. nini kifanyike. Awamau ya kwanza tulishinda, hiyo haipingiki na haina lawama zaidi ya watu walioshindwa wanataka kuedit aibu zao.

 
Kwlei wewe umekuwa zaidi ya pumbavu!. Angalia kama CoVid itakuacha, basi utaokota makopo. Pumbavu sana hata hujielewi. Achana na mimi sina muda na watu wasiojitambua.
Mkuu, kila mtu hajitambui?
 
How do you keep social distance if public service centers are not regulated accordingly? Angalia vile watu wanajazwa kwenye mwendokasi hadi wengine wanakosa pa kuweka miguu.
Aisee kweli Mwendokasi ndio balaa tupu
 
Mkuu, kila mtu hajitambui?
If Jf has 22, 500 members and 2 therein proves foolishness in a specific area, then jf idiocy rate in that particular areas is 0.0088888% Ceteris Paribus. So far, as far as this topic is concerned your strata constitutes 0.01% of the population. Does it qualify you to represent everybody? No it doesn't sweetheart!.
 
Umeshaambiwa Corona haina dawa.unataka serikali ifanye nini?.
MTU akifa zikeni maisha yanaendelea.
mabwana zako unaowatetea ndo wamekuambia "kolona" haina dawa...kwamba watu woote walioipata wameshakufa?!.
ishi kwa kujitafutia kipato chako mwenyewe, ukiwategemea "hao" utaendelea kuwa mtumwa wa kiuchumi & kimawazo mpaka kufa!!!.
 
nilikuwa kwenye mitandao tangu 2010.
Na nilikuwa natukana sana watu kule Facebook.
Ila Kwa sasa sina USHAMBA HUO
mabwana zako unaowatetea ndo wamekuambia "kolona" haina dawa...kwamba watu woote walioipata wameshakufa?!.
ishi kwa kujitafutia kipato chako mwenyewe, ukiwategemea "hao" utaendelea kuwa mtumwa wa kiuchumi & kimawazo mpaka kufa!!!.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…