Serikali na Wizara ya Afya fanyeni haya kudhibiti maambukizi ya UKIMWI nchini

Serikali na Wizara ya Afya fanyeni haya kudhibiti maambukizi ya UKIMWI nchini

... ni watoto wetu; ni taifa la kesho; bila wao kesho hakuna kizazi. Serikali ifanye jitihada za maksudi kuwanusuru hawa mabinti. Hatua mojawapo ni kupiga marufuku kabisa hizo P2 maana zinawatia wazimu; wanaogopa mimba kuliko ukimwi; wanajiona wako salama dhidi ya mimba wakati wanapukutishwa kwa HIV.

Pili, binadamu tuna tabia ya kujisahau sana. Awareness campaigns dhidi ya ukimwi zihimizwe kwenye ngazi zote hadi ngazi za mitaa na vijiji. Bodaboda, bajaji, mabar, kumbi za starehe, n.k. vimeongeza sana risk ya maambukizi so ni muhimu Serikali ije na mbinu mpya pia. Tunaposema "Not to be sold to under 18" hivi kuna mtu anajisumbua kuhakikisha inazingatiwa?
Hayo ya huko mbeleni mtajua nyie wenye mipango ya kuishi milele sie wengine tunaangalia burudani yetu ya sasa. Wacha vitoto vijienjoy jamani kwani wao hawapendi kumiliki iphone
 
Kwahiyo wakitangaza hivyo ndio watu wataacha kunyanduana.Ushauri wa maana ni huo wa mwisho maana kuelimika ndo kila kitu ila ule ushauri kule mwanzo,Umetoa ushauri wakijinga bora ungekaa kimya tu.
Ushauri wangu siyo msaafu kwamba wataacha! Kama maandiko yenyewe hawaheshimu usifikiri ushauri wangu ndiyo mwarobaini, nimeshauri kwa lengo ni kupunguza tatizo ili watu washituke wasijiachie
 
HIV siyo ya kuogopa tena, unameza ARV unadunda 30+
life exp. ya mTz ni miaka 60, umewaka at 25 na ukafika 55 siyo mbaya sana
Yaani kwanza ukifanikiwa kufika 40 tuu...ah wee ulishatoboa hapo wewe ni kula mbususu utakavyo maana hamna tena la kuogopa
 
Hi thread inafanya nini jukwaa la siasa?! Pelekeni like kwenye jukwaa la ngono
Haya mambo ni ya kisera! Namna ya kutokemeza ngono zembe inahitaji Sera rafiki kwa wizara
 
Niliwasikia kamati ya bunge ya mambo ya ukimwi ikishauri kwamba Dawa za kuzuia Mimba (P2) Ziuzwe pamoja na condom kama kifurushi!

Lakini utafiti wangu unaonyesha kwamba wanaotumia P2 hununua hizo dawa baada ya kufanya ngono, SIYO KABLA YA NGONO!

Yaani namaanisha ukiona amekuja pharmacy kununua P2 ujue tayali kashapigwa huko!

Hivyo ukimpakifurushi cha P2 na condom ni sawasawa na kazi bure labda akaipulize kama puto!

Nashauri Ili kupunguza maambukizi ya ukimwi serikali fanyeni yafuatayo

1. Tangazeni na onyesheni mmekamata shehena/kontena ya dawa feki za P2, ikiwezekana Piteni madukani kuonesha mzigo tayali upo sokoni, kisha onyesheni madhara ya hizo dawa feki za P2 iwe ni pamoja na kifafa au festura n.k tafteni hata wagonjwa wa kutengeneza waonekane kuwa chanzo ni P2 wahojiwe na media na waseme walikunywa P2

2. Kamateni wale wote wanaofanya biashara ya kunenepesha au kutoa tiba ya kujazia makalio (shepu), sajari kamateni kwa kisu kilekile kama ilivyo madawa ya kulevya kwasababu Hizo SHEPU Zinadanganya na KUCHACHANGIA SANA UMALAYA hasa wa ngono zembe

3.Toeni elimu ya uzazi wa mpango na matumizi sahihi ya kondomu Mara kwa Mara!

Nawahakikishia Watu watarudi kuvaa Condom bila shurti
Hivi kama watu wanafanya ngono salama (wanatumia) kondomu hizo P2 wasichana wanaenda kununua za Nini?
 
Watu waliogopa corona zaidi kuliko ukimwi na kila siku inasisitizwa corona tu
 
Ukitaka kuondoa jambo katika jamii angalia source yake

Source ya Ukimwi ni zinaa tu hakuna chengine kwaio watu wamrudie Mungu wao waache Zinaa huo ndo ukweli mchungu

kwani iyo Mipira ilikuepo tangu lini tujiulize je imesaidia au ndo jamii inazidi kuangamia?
Jibu kila mtu analo

xxxxAcha zinaa epuka ukimwi xxxxxx
 
Tafteni hata wagonjwa wa kutengeneza waonekane kuwa chanzo ni P2 wahojiwe na media na waseme walikunywa P2
Wee jamaa una potential kubwa sana ya kuja kua mganga wa kienyeji kwa akili hizi mi naona kipaji unacho unakichezea tuu.. 🤣
 
Kuna wale watoto waliozaliwa na UKIMWI sasa wamekuwa vijana wakubwa, hivyo kazi ipo.
 
Back
Top Bottom