Serikali nzima ya Dubai imehamia Tanzania

Serikali nzima ya Dubai imehamia Tanzania

Hivo vitambaa vyao ni maigizo tu. Combat ndio zao. Ndio hawa hapa, wakiendelea na shughuli zao.
main-qimg-42abd4f2f09868b5ed8814fac82ac1cc-c
148406_518617668148279_32254790_n.jpg
6986604_orig.jpg
Urithi wetu sisi waafrika, kwishney!
Ina maana wamewaiwa hawa wanyama?
 
Kwa hiyo Arabs waki vua vitambaa wana badilika na kua wazungu!! Kweli wewe pimbi mzee
Unadhani hunting trip ndio huwa wanaenda kupanda miche kule porini? Nimekuonesha mfano tu, ili upate tafsiri kwa kiswahili, kama hujaelewa shauri yako.
 
Tuwamalize wanyama wa pori kwa minajili ya mihela.
Yep! Mbona wao wanamaliza mafuta aridhini kwa ajili ya mihela? By the way, wanayama wanazaliana (renewable recourse) ila mafuta hayazaliani (non renewable resource)
 
Yep! Mbona wao wanamaliza mafuta aridhini kwa ajili ya mihela? By the way, wanayama wanazaliana (renewable recourse) ila mafuta hayazaliani (non renewable resource)
Mafuta huwa haikwishi babaa usidanganywe na Watu.
 
Yep! Mbona wao wanamaliza mafuta aridhini kwa ajili ya mihela? By the way, wanayama wanazaliana (renewable recourse) ila mafuta hayazaliani (non renewable resource)
Ni wapi huko ambako wanyama wameongezeka porini? Wanyama wanapungua bana tena kwa kasi sana!
 
Ha haa! Ipo siku yataisha huko aridhini. Sijui tutafanyaje. Nadhani tutarudi kwenye steam engines!
Nina uhakika watakuwa wamepata namna nyingine. kama haitapatikana basi itabidi Watu kutembea ama kutumia wanyama kwa usafiri.
 
Back
Top Bottom