idawa
JF-Expert Member
- Jan 20, 2012
- 25,284
- 38,364
Sukari ni kiungo mhimu kabisa kwenye maisha ya Mtanzania, haijalishi matajiri au maskini lazima atumie sukari.
Binadamu woote bila kujali mzima ama mgonjwa lazima atatumia sukari.
Ndio maana sukari ikiadimika nchi inatikisika.
Lakini ajabu tunapunguza kodi kwenye Pombe. Yaani Watanzania waongeze bidii ya kulewa...mnataka kujenga Taifa la aina gani.?
Malawi,Zambia,Kenya na Uganda sukari haizidi 2000 hao ndio majirani zetu..sasa magendo yataisha vipi?
Ndio maana biashara ya magendo ni ngumu kuisha sababu ya ukiritimba kama huu.
Punguza kodi ya Sukari, ongeza kodi ya Pombe.
Sababu hata walevi lazima watumie sukari kama sio wao Basi familia zao lazima zitumie.
Binadamu woote bila kujali mzima ama mgonjwa lazima atatumia sukari.
Ndio maana sukari ikiadimika nchi inatikisika.
Lakini ajabu tunapunguza kodi kwenye Pombe. Yaani Watanzania waongeze bidii ya kulewa...mnataka kujenga Taifa la aina gani.?
Malawi,Zambia,Kenya na Uganda sukari haizidi 2000 hao ndio majirani zetu..sasa magendo yataisha vipi?
Ndio maana biashara ya magendo ni ngumu kuisha sababu ya ukiritimba kama huu.
Punguza kodi ya Sukari, ongeza kodi ya Pombe.
Sababu hata walevi lazima watumie sukari kama sio wao Basi familia zao lazima zitumie.