Kiraka
JF-Expert Member
- Feb 1, 2010
- 4,285
- 4,074
Sasa huku mzee si tuko usingizini sana?Serikali zote duniani ni mifumo ya wizi.
Na wananchi wakisinzia ndo wizi unaongezeka mara dufu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa huku mzee si tuko usingizini sana?Serikali zote duniani ni mifumo ya wizi.
Na wananchi wakisinzia ndo wizi unaongezeka mara dufu.
Lengo kuu ni kuleta ufanisi. Ukisema viwe ni vitengo ndani ya wizara mambo yataenda slow sana.Kwa hiyo hayo majukumu hayawezi fanywa chini ya Taasisi moja ambayo ina vitengo tofauti? Kuna ulazima gani wa kuwa na ofisi kwa kila Taasisi?
Ndio maana tunasema ni majukumu yanayofanana na yako kwenye wizara moja.
Sawa kabisa.Ndio tunawaamsha hivi..
Kuna Wizara kama ya Ardhi pamoja na umuhimu wa Ardhi huwezi Kuta mamlaka au Wakala wa upangaji na upimaji Ardhi
Acha utoto, kupunguza mautitiri hakupunguzi majukumu bali una merge na uko merge bado wafanyakazi watahitajika..Alafu mnalalamika serikali haijiri, mnataka serikali iajili ili ikawaweke wafanyakazi sebule ya ikulu?
Tatizo huna ufahamu sahihi wa ufanyaji kazi wa hizo Taasisi, Lengo la kuanzishwa kwake na faida ya iwepo wake.Hakuna sababu ya kuwa na lundo la Taasisi za upigaji ilhali zinafanya Kazi zinazofanana..
Acha utoto, kupunguza mautitiri hakupunguzi majukumu bali una merge na uko merge bado wafanyakazi watahitajika..
Mwisho sio kazi ya Serikali kuajiri
Ukiona zao lolote Tanzania limeundiwa bodi basi lazima hilo zao baada ya muda life au lidorore au lilete shida kwa wakulima maana Serikali inakuwa na tamaa kubwa ya kutaka kuwanyonya wakulima kupitia hiyo bodi.Weeeee hhh waguse hukohuko, huku kwetu watuache tujenge nchi.
Hizi bodi ndio zifutwe
Bodi ya maziwa
Bodi ya nyama
Bodi ya korosho
Bodi ya pamba
Bodi ya kahawa
Bodi ya filamu
Bodi ya bahati nasibu
Bodi ya misitu n.k
Mfano:Ebu njoo na mfumo wako watu waujadili...
Ila mimi ni muumini wa ugatuzi...
Tatizo kubwa lilopo taasisi/idara nyingi za serikali zinafanya competition badala ya coorpetition.
Na sekta binafsi ndo zinaogopwa hazipewi ushirikiano kabisa!
Tuanzie hapo... Ila wingi wa taasisi/idara si hoja kubwa!
Wizara feki hiyo ndiyo maana viwanda haviwezi kuendelea Tanzania kwa sababu kunguni ni wengi.Nawasalimu kwa jina la JMT..na Kazi iendelee..
Ifike wakati serikali ichukue maamuzi magumu na yenye tija kwa Taifa kwa kupunguza utitiri wa Taasisi zake zilizo chini ya Wizara mbalimbali..
Ukiacha kwamba hazina tija kwa Nchi bali ni mzigo mkubwa sana wa walipakodi wa Tanzania kwani zinaongeza gharama za utawala zisizo na msingi na kuleta urasimu,gharama na usumbufu kwa wananchi.
Serikali chukueni hatua ya kuziunganisha na kufuta zile zisizo na tija.
Just imagine Wizara moja ya Viwanda na Uwekezaji ina Taasisi zaidi ya16 zilizo chini yake.Sasa piga hesabu kuna zaidi ya Wizara ngapi hapa Tanzania.
Hamuoni kuwa na lundo la Taasisi kunaongeza urasimu,usumbufu na gharama zisizo za msingi kwa wawekezaji na wananchi?
Kwa kuwa mh.Rais wewe ni Msikivu na Ili kuleta ufanisi ,basi shughulikia na hili maana imekuwa ni kichaka cha upigaji wakati ufanisi ni zero👇
View attachment 2230589
Wewe ni product ya BRN ee?Mfano:
Kwanini Kuna TBS, OSHA, TMDA na wakati huo huo Mambo yote haya Kuna Watumishi ndani ya Halmashauri wanaofanya kazi hizo hizo ??
Hizo taasisi zina competition sana utafikiri ni za serikali za nchi tofauti.Mfano:
Kwanini Kuna TBS, OSHA, TMDA na wakati huo huo Mambo yote haya Kuna Watumishi ndani ya Halmashauri wanaofanya kazi hizo hizo ??
Serikali ni mfumo wa kuwanyonya wananchi.Ukiona zao lolote Tanzania limeundiwa bodi basi lazima hilo zao baada ya muda life au lidorore au lilete shida kwa wakulima maana Serikali inakuwa na tamaa kubwa ya kutaka kuwanyonya wakulima kupitia hiyo bodi.
Mazao yote yenye bodi ni yale Serikali inaona ni rahisi kuuzika nje na hivyo ili ijipatie hela bila jasho inayaundia bodi
Jiulize kwa nini serikali haiundi bodi ya Mahindi au bodi ya Mtama?
Una akili timamu?Wewe ni product ya BRN ee?
Usingizi wa kutisha. Ndo maana viongozi wanaonekana ndo wenye hatma ya nchiSasa huku mzee si tuko usingizini sana?
Unaijua National Land Use Planning Commission(NLUPC)??Ndio tunawaamsha hivi..
Kuna Wizara kama ya Ardhi pamoja na umuhimu wa Ardhi huwezi Kuta mamlaka au Wakala wa upangaji na upimaji Ardhi
Na bodi ya ngisi na pweza mbona haipo?Ukiona zao lolote Tanzania limeundiwa bodi basi lazima hilo zao baada ya muda life au lidorore au lilete shida kwa wakulima maana Serikali inakuwa na tamaa kubwa ya kutaka kuwanyonya wakulima kupitia hiyo bodi.
Mazao yote yenye bodi ni yale Serikali inaona ni rahisi kuuzika nje na hivyo ili ijipatie hela bila jasho inayaundia bodi
Jiulize kwa nini serikali haiundi bodi ya Mahindi au bodi ya Mtama?
Umewahi kuiona ikipanga miji au matumizi Bora ya Ardhi popote?Unaijua National Land Use Planning Commission(NLUPC)??
Tume ya Taifa ya Mipango ya Matumizi Bora ya Ardhi
Serikali haijaona upenyo wa tozo. Ikiona tu upenyo itaweka bodi au itaanzisha kitu wanaita stakabadhi ghalani. Hauwezi uza mazao yako bila kibali cha hao jamaa wa mamlaka ya maghala na stakabadhi ghalani Shida tupuNa bodi ya ngisi na pweza mbona haipo?