Peramiho yetu
JF-Expert Member
- May 25, 2018
- 5,303
- 14,983
NDC inafaida Gani?Mkuu, hizo Taasisi karibia zote ulizozitaja zina umuhimu wake kwa Taifa.
EPZA, TEMDO ,CAMARTEC, TANTRADE, TIC, BRELA ,NDC, FCC, TBS, WMA na FCT .
Binafsi kila Taasisi nilizozitaja Hapo juu naelewa dhumuni la kuanzishwa kwake,kazi zake na manufaa yake kwa ujumla.
Kama ulipitia chuoni na ukasoma kozi za biashara Huwezi kumalizia degree bila kuzichambua baadhi ya hizo Taasisi.
Taasisi ndani ya wizara ni viungo muhimu mno, ambavyo hukamilisha wizara husika. Lengo la kuwa na Taasisi ni mgawanyo wa majukumu ili kupunguza wigo mkubwa wa kimamlaka.
1.NdioUmewahi kuiona ikipanga miji au matumizi Bora ya Ardhi popote?
Kwa nini kuna migogoro ya mipaka na mizozo ya wakulima na wafugaji?
Kwa nini miji yetu imejaa uswazi kiasi kwba hadi zoezi la anuani za makazi linakuwa kama kichekesho?
The National Development Corporation ilianzishwa na serikali kwa ajili ya kuchochea,kuendeleza na kukuza maendeleo ya kiuchumi ya Taifa kwa sectors zote.NDC inafaida Gani?
Je huwa unaliona likichochea? Kuna baadhi ya taasisi ni mzigo Kwa serikaliThe National Development Corporation ilianzishwa na serikali kwa ajili ya kuchochea,kuendeleza na kukuza maendeleo ya kiuchumi ya Taifa kwa sectors zote.
Ebu njoo na mfumo wako watu waujadili...
Ila mimi ni muumini wa ugatuzi...
Tatizo kubwa lilopo taasisi/idara nyingi za serikali zinafanya competition badala ya coorpetition.
Na sekta binafsi ndo zinaogopwa hazipewi ushirikiano kabisa!
Tuanzie hapo... Ila wingi wa taasisi/idara si hoja kubwa!
TAN TRADE hupromote biashara za ndani na huandaa maonesho ya kibiashara reference ni maonesho ya sabasaba ni Kati ya kazi chache inazofanya.
BRELA ni Business Registration And Licensing Agency..Ni msajili wa makampuni na mtoaji wa leseni.
TIC Hii ni Investment Centre Mkuu, hawa hudeal na shughuli zote za uwekezaji ndani ya Tanzania.
How comes useme wanafanya kazi zinazofanana?
Lengo kuu ni kuleta ufanisi. Ukisema viwe ni vitengo ndani ya wizara mambo yataenda slow sana.
Muhimu ni kuzipa Uhuru wa kufanya kazi kwa kujitegemea ili ufanisi upatikane kutokana na umuhimu wa vitengo vyenyewe.
Kumbuka ishu za uwekezaji na uanzishwaji wa makampuni ni kitu muhimu kwa ukuaji wa uchumi. Hivyo longo longo hazitakiwi .
Alafu mnalalamika serikali haijiri, mnataka serikali iajili ili ikawaweke wafanyakazi sebule ya ikulu?
Naomba kujua kazi za NDCMkuu, hizo Taasisi karibia zote ulizozitaja zina umuhimu wake kwa Taifa.
EPZA, TEMDO ,CAMARTEC, TANTRADE, TIC, BRELA ,NDC, FCC, TBS, WMA na FCT .
Binafsi kila Taasisi nilizozitaja Hapo juu naelewa dhumuni la kuanzishwa kwake,kazi zake na manufaa yake kwa ujumla.
Kama ulipitia chuoni na ukasoma kozi za biashara Huwezi kumalizia degree bila kuzichambua baadhi ya hizo Taasisi.
Taasisi ndani ya wizara ni viungo muhimu mno, ambavyo hukamilisha wizara husika. Lengo la kuwa na Taasisi ni mgawanyo wa majukumu ili kupunguza wigo mkubwa wa kimamlaka.
Mimi nataka kujua Je, kazi zinazofanywa na TBS, TMDA, OSHA haziwezi kufanywa na Halmashauri?TAN TRADE inatakiwa ivunjwe, ku promote biashara wanaweza kufanya wizara wizara au wakatoa tenda itakapohitajika kufanya hivyo. Maonyesho ya biashara ya 77 ni kituko kikubwa, watu wanauza viberiti, vitana, cover za simu, sufuria, bidhaa za mchina za kila aina. Maonyesho ya biashara yanatakiwa yawe kwa ajili bidhaa mpya hasa za za teknolojia zinazoingia sokoni na zinazozalishwa na kampuni za ndani ya nchi.
Hata BRELA nayo inatakiwa ivunjwe, biashara zisajiliwe Halmashauri, serikali kuu ikachukue taarifa huko na TRA kama inazitaka.
Waanze kuunganisha TIC na NEEC. Pia kuna kitu kinaitwa TNBC sijui kiko chini ya Wizara ipi. Yaani utendaji ni ovlvetrlaps tuNawasalimu kwa jina la JMT..na Kazi iendelee..
Ifike wakati serikali ichukue maamuzi magumu na yenye tija kwa Taifa kwa kupunguza utitiri wa Taasisi zake zilizo chini ya Wizara mbalimbali..
Ukiacha kwamba hazina tija kwa Nchi bali ni mzigo mkubwa sana wa walipakodi wa Tanzania kwani zinaongeza gharama za utawala zisizo na msingi na kuleta urasimu,gharama na usumbufu kwa wananchi.
Serikali chukueni hatua ya kuziunganisha na kufuta zile zisizo na tija.
Just imagine Wizara moja ya Viwanda na Uwekezaji ina Taasisi zaidi ya16 zilizo chini yake.Sasa piga hesabu kuna zaidi ya Wizara ngapi hapa Tanzania.
Hamuoni kuwa na lundo la Taasisi kunaongeza urasimu,usumbufu na gharama zisizo za msingi kwa wawekezaji na wananchi?
Kwa kuwa mh.Rais wewe ni Msikivu na Ili kuleta ufanisi ,basi shughulikia na hili maana imekuwa ni kichaka cha upigaji wakati ufanisi ni zero👇
View attachment 2230589
TBS na TMDA hizo ni prime huwezi kuunganisha au kufuta. Ni international requirement and standards. Hizo nyingine ni Ulaji ti. Kama SIDO hivi inafanya nini? Ifutwe kabisa maana lengo la kuanzisha kwake halikutlfikiwa toka 1973. Yaani miaka 49 ya😰SIDO imeishia kuwa taasisi ya mafunzo ya ujasiriamali na mikopo. Zile karakana zilizojengwa kanda mbalimbali ni nyumba za panya na wamekodisha. Ukienda Ile ya Lindi utaumia Sana.Mimi nataka kujua Je, kazi zinazofanywa na TBS, TMDA, OSHA haziwezi kufanywa na Halmashauri?
Tatizo kuna overlaps za majukumu mpaka wanavimbiana au kununiana. Hivyo zinazoingiliana ziunganishwe kama TIC na NEEC na TNBC then unakuwa na Moja inayobeba idara key. Hapo pia uta serve mambo mengi mno. Ningepewa hiyo miundo Yao ningeifumua Sana.Wizara inaundwa na kupitia hizi Taasisi.
UTI wa mgongo wa wizara ni hizi Taasisi, zisipokuwepo hakuna wizara.
Kazi kubwa ya wizara ni kuzisimamia hizi Taasisi.
KeMkuu, hizo Taasisi karibia zote ulizozitaja zina umuhimu wake kwa Taifa.
EPZA, TEMDO ,CAMARTEC, TANTRADE, TIC, BRELA ,NDC, FCC, TBS, WMA na FCT .
Binafsi kila Taasisi nilizozitaja Hapo juu naelewa dhumuni la kuanzishwa kwake,kazi zake na manufaa yake kwa ujumla.
Kama ulipitia chuoni na ukasoma kozi za biashara Huwezi kumalizia degree bila kuzichambua baadhi ya hizo Taasisi.
Taasisi ndani ya wizara ni viungo muhimu mno, ambavyo hukamilisha wizara husika. Lengo la kuwa na Taasisi ni mgawanyo wa majukumu ili kupunguza wigo mkubwa wa kimamlaka.
Sumatra,latra!Tanapa,ngorongoro cons,Mkuu, hizo Taasisi karibia zote ulizozitaja zina umuhimu wake kwa Taifa.
EPZA, TEMDO ,CAMARTEC, TANTRADE, TIC, BRELA ,NDC, FCC, TBS, WMA na FCT .
Binafsi kila Taasisi nilizozitaja Hapo juu naelewa dhumuni la kuanzishwa kwake,kazi zake na manufaa yake kwa ujumla.
Kama ulipitia chuoni na ukasoma kozi za biashara Huwezi kumalizia degree bila kuzichambua baadhi ya hizo Taasisi.
Taasisi ndani ya wizara ni viungo muhimu mno, ambavyo hukamilisha wizara husika. Lengo la kuwa na Taasisi ni mgawanyo wa majukumu ili kupunguza wigo mkubwa wa kimamlaka.
Bora hata hizi maana Wizara husika imeshindwa hata kuthibiti kunguru sasa panyaroad watawezekanika? Maajabu ya Karne.Mm naomba waanzishe bodi hiz maana usumbufu tunaopata mtaan n shida
Bodi ya paka
Bodi ya kunguru
Bodi ya mbwa
Bodi ya panyaroad
Nimeandika haya sababu kila kilichotajwa hapo juu kinausumbufu wake
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
... halafu nchi inaagiza ngano, sukari, na mafuta ya kula billions of money! Kuna bodi ya sukari by the way. Kazi yao kutoa vibali vya kuagiza sukari.Bodi ya Mazao mchanganyiko na upuuzi mwingine kama huo.