Serikali Sasa Ituambie kwa Uwazi: Nani Anagharamia Uhamishaji wa Raia toka Ngorongoro Kwenda Msorero, Kuwajengea na Posho Walipwayo? Bunge linajua?

Serikali Sasa Ituambie kwa Uwazi: Nani Anagharamia Uhamishaji wa Raia toka Ngorongoro Kwenda Msorero, Kuwajengea na Posho Walipwayo? Bunge linajua?

Chakaza

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2007
Posts
40,455
Reaction score
73,145
Nisahihishwe, lakini nimejaribu kuisoma Budget ya serikali lakini sijaona mahali ambapo mabilioni yamepitishwa kuhamisha Wamaasai toka Ngorongoro kwenda Msomero Handeni wao na mifugo yao, kujengewa nyumba, ujenzi wa shule na zahanati kijijini hapo na miundo mbinu mingine.

Wasiwasi wangu isijekuwa tunapokea pesa toka nje kwa siri kugharamia operesheni hii kwa agenda za siri.

Ni wakati sasa kufahamu yaliyo sirini kwenye hii operesheni.
 
Nisahihishwe, lakini nimejaribu kuisoma Budget ya serikali lakini sijaona mahali ambapo mabilioni yamepitishwa kuhamisha Wamaasai toka Ngorongoro kwenda Msomero Handeni wao na mifugo yao, kujengewa nyumba, ujenzi wa shule na zahanati kijijini hapo na miundo mbinu mingine.

Wasiwasi wangu isijekuwa tunapokea pesa toka nje kwa siri kugharamia operesheni hii kwa agenda za siri.

Ni wakati sasa kufahamu yaliyo sirini kwenye hii operesheni.
Pesa ya muarabu ndugu...
 
Mimi najua wanaenda msomera kumbe wamebadirisha ni msomero?
 
Nisahihishwe, lakini nimejaribu kuisoma Budget ya serikali lakini sijaona mahali ambapo mabilioni yamepitishwa kuhamisha Wamaasai toka Ngorongoro kwenda Msomero Handeni wao na mifugo yao, kujengewa nyumba, ujenzi wa shule na zahanati kijijini hapo na miundo mbinu mingine.

Wasiwasi wangu isijekuwa tunapokea pesa toka nje kwa siri kugharamia operesheni hii kwa agenda za siri.

Ni wakati sasa kufahamu yaliyo sirini kwenye hii operesheni.
Mjomba ni Mama
 
Nisahihishwe, lakini nimejaribu kuisoma Budget ya serikali lakini sijaona mahali ambapo mabilioni yamepitishwa kuhamisha Wamaasai toka Ngorongoro kwenda Msomero Handeni wao na mifugo yao, kujengewa nyumba, ujenzi wa shule na zahanati kijijini hapo na miundo mbinu mingine.

Wasiwasi wangu isijekuwa tunapokea pesa toka nje kwa siri kugharamia operesheni hii kwa agenda za siri.

Ni wakati sasa kufahamu yaliyo sirini kwenye hii operesheni.
Jambo la kushangaza hata wabunge hawastuki, inakuwaje fedha nyingi kiasi hicho inatumika bila idhini yake!

Fedha hizo ni HARAMU!
 
Nisahihishwe, lakini nimejaribu kuisoma Budget ya serikali lakini sijaona mahali ambapo mabilioni yamepitishwa kuhamisha Wamaasai toka Ngorongoro kwenda Msomero Handeni wao na mifugo yao, kujengewa nyumba, ujenzi wa shule na zahanati kijijini hapo na miundo mbinu mingine.

Wasiwasi wangu isijekuwa tunapokea pesa toka nje kwa siri kugharamia operesheni hii kwa agenda za siri.

Ni wakati sasa kufahamu yaliyo sirini kwenye hii operesheni.
ulifuatilia bunge kweli wewe?🐒

ulichokisoma ni nini hasa kwa mfano...
na jambo hili linasimamiwa na wizara zipi kwa mfano 🐒
 
Nisahihishwe, lakini nimejaribu kuisoma Budget ya serikali lakini sijaona mahali ambapo mabilioni yamepitishwa kuhamisha Wamaasai toka Ngorongoro kwenda Msomero Handeni wao na mifugo yao, kujengewa nyumba, ujenzi wa shule na zahanati kijijini hapo na miundo mbinu mingine.

Wasiwasi wangu isijekuwa tunapokea pesa toka nje kwa siri kugharamia operesheni hii kwa agenda za siri.

Ni wakati sasa kufahamu yaliyo sirini kwenye hii operesheni.
ulifuatilia bunge kweli wewe?🐒

ulichokisoma ni nini hasa kwa mfano...
na jambo hili linasimamiwa na wizara zipi kwa mfano 🐒
 
Nisahihishwe, lakini nimejaribu kuisoma Budget ya serikali lakini sijaona mahali ambapo mabilioni yamepitishwa kuhamisha Wamaasai toka Ngorongoro kwenda Msomero Handeni wao na mifugo yao, kujengewa nyumba, ujenzi wa shule na zahanati kijijini hapo na miundo mbinu mingine.

Wasiwasi wangu isijekuwa tunapokea pesa toka nje kwa siri kugharamia operesheni hii kwa agenda za siri.

Ni wakati sasa kufahamu yaliyo sirini kwenye hii operesheni.
ulifuatilia bunge kweli wewe?🐒

ulichokisoma ni nini hasa kwa mfano...
na jambo hili linasimamiwa na wizara zipi kwa mfano 🐒
 
Nisahihishwe, lakini nimejaribu kuisoma Budget ya serikali lakini sijaona mahali ambapo mabilioni yamepitishwa kuhamisha Wamaasai toka Ngorongoro kwenda Msomero Handeni wao na mifugo yao, kujengewa nyumba, ujenzi wa shule na zahanati kijijini hapo na miundo mbinu mingine.

Wasiwasi wangu isijekuwa tunapokea pesa toka nje kwa siri kugharamia operesheni hii kwa agenda za siri.

Ni wakati sasa kufahamu yaliyo sirini kwenye hii operesheni.
Unaposikia rais wa nchi anawatangazia wananchi wake kwamba yeye ni 'Chura Kiziwi', na kwamba hataki kusikia makelele toka kwao tena usifikiri kuwa mambo yamesimama, hayafanyiki..
Sasa yanafanyika gizani, na wananchi hawatakiwi kujuwa chochote!

Wale wahindi wa Adani walipo pewa bandari, kuungana na DP World uliwahi kusikia popote habari za mchakato wa kuwaweka hapo?

Mama 'Chura Kiziwi' hataki tena kelele.

Sijui sasa ni mambo mangapi yaliyo fanyika huko gizani. Hata hao wabunge wa bandia na wao ni giza tupu, hakuna wanalo lijua.

Hii ni nchi ya watu walio huru kuamua mambo yao, au ni zizi la mtu analo wafugia watu hawa?

Hilo Baraza la Mawaziri lenyewe limekuwa lkama wacheza mpira wa kukodiwa. Kila anapojisikia kubadili wachezaji anabadili. Wote hawana la kusema. Huko kwenye vikao vya baraza hilo sasa si kujadili tena, ni kuambiwa tu na kupitisha. Akina Kabuti na mwenzie Lukubi waliwekwa benchi kuwatia adabu. Sasa wamenyooka kama rula. Huo ni mtindo anao utumia Bi 'Chura Kiziwi' kuwaweka watu wake kwenye mstari.

Kama waTanzania hawayaoni haya na kuwa na hofu kubwa na huyu mwanamke na kumruhusu aendelee kwenye nafasi hiyo kwa miaka mitano; tena ya kisingizio kapewa kura yeye mwenyewe, hata kama ni kura za kuiba, naamini hatufiki huko kwa miaka mitano salama, na kama kimuujiza tukifika nchi itakuwa imeharibiwa vibaya sana hii. Waarabu watakuwa wanawatia vidole watu mahala pasipofaa. Hizi pesa walizo nazo zitanunua utu wa kila mmoja wetu; hasa hao walioko huko CCM.
 
Maswala ya namna hii ndiyo yanayo pashwa wananchi waelezwe wayajue vizuri kabla ya hizi chaguzi zinazo fuata.

CHADEMA hii ni ajenda muhimu sana ya kuwaeleza wananchi. Wakati huu watanunuliwa kwa hizi pesa za wajomba.
Hili wasithubutu kabisa kuliruhusu litokee.
 
Back
Top Bottom