Unaonekana hujui chochote kuhusu budget, kama hujui kitu acha wanaojua masuala ya budget watujuze, usituletee maneno ya taarabu hapa.yaani mambo ya maendeleo yapo kwenye utekelezaji wewe ndio unakurupuka kuuliza bageti ? kweli?🤣🤣
kuna watu wako primitive sana inchi tatata 🤣🤣
