Serikali sasa kuna ulazima wa soko kuu Bunju au Tegeta na barabara njia mbili

Serikali sasa kuna ulazima wa soko kuu Bunju au Tegeta na barabara njia mbili

mgt software

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2010
Posts
13,778
Reaction score
7,145
Wana JF,

Kilio cha siku nyingi bila mafanikio sasa kinaonekana kuwa kibaya zaidi baada ya watu wengi kuitikia wito wa kujenga nyumba kwenye viwanja vyao vilivyopo Tegeta boko bunju ununuo mbweni na mabwepande, Ni dhahiri shahili kuwa watu ni wengi hitajiko la soko kuu na barabara line mbili haziepukiki.

Kwa sasa msongamano wa magari Tegeta Bunju ni mkubwa kuliko mjini katikati. Unaweza ukatumia lisaa kutoka Bunju kuja Tegeta nyuki wakati huwa ni dakika kumi tu. Itoshe tu kusema Dk. Gwajima kama ujaomba soko kuu na barabara mbiki basi majigambo yako ya maendeleo ilikuwa kanjanja ya kuomba kula pande.
 
Soko la Bunju litaimarishwa na mabasi ya Bagamoyo yataishia hapo.

Ukitaka kuwahi town ukitokea bunju ukifika Chama pita njia ya Ununio pale Mtongani unakunja ile barabara ya Mwamunyange.....chap kwa haraka town!
 
ngoja kwanza tumalizane na wanafunzi wanaokaa chini hawana madarasa kisha tutakuja kwako wewe ulojikwamua na kununua usafiri wa kwenda kwenye majukumu ya ujenzi wa taifa

nasikia watu/madereva wa ukanda huo wanakimbiza magari ka wako kwenye mashindano -- eti bunju to posta dakika 50 hadi dakika 70
 
Soko la bunju litaimarishwa na mabasi ya Bagamoyo yataishia hapo.

Ukitaka kuwahi town ukitokea bunju ukifika Chama pita njia ya Ununio pale Mtongani unakunja ile barabara ya Mwamunyange.....chap kwa haraka town!
Sawa msemaji wa jiji dsm

Ova
 
waongeze njia ya baarini tuu koko beach mpaka ununio ndo solution moja wapo hapo kwa wale wanaoenda maeneo ya town
 
Hivi mfufua misukule kafanya nini mpaka sasa jimboni kwake.?

Mwenzake huko bara katimiza ahadi yake ya kupeleka dustbins tatu katika zahanati ya kijiji.
 
Kwa kweli hili jambo ni muhimu sana kufanyiwa kazi kwa haraka!

Double road zitaanzia pale Njia panda ya Wazo kibaoni hadi Mapinga mpakani mwa mkoa wa Dar na Pwani.

So far ni pafupi !
 
Bila laini mbili za barabara ni bomu litalolipuka soon. Mtu unatumia lisaa Tegeta hadi bunju?
 
Soko la Bunju litaimarishwa na mabasi ya Bagamoyo yataishia hapo.

Ukitaka kuwahi town ukitokea bunju ukifika Chama pita njia ya Ununio pale Mtongani unakunja ile barabara ya Mwamunyange.....chap kwa haraka town!
Siku hizi napita huko ...hata kurudi nakula boda kupitia kunduchi nachomokea APC centre then narudi njia kuu! Imagine
 
Soko la Bunju litaimarishwa na mabasi ya Bagamoyo yataishia hapo.

Ukitaka kuwahi town ukitokea bunju ukifika Chama pita njia ya Ununio pale Mtongani unakunja ile barabara ya Mwamunyange.....chap kwa haraka town!
Pal,e kunduchi Kuna Ttope la volcano magari yatazama
 
Wana JF,

Kilio cha siku nyingi bila mafanikio sasa kinaonekana kuwa kibaya zaidi baada ya watu wengi kuitikia wito wa kujenga nyumba kwenye viwanja vyao vilivyopo Tegeta boko bunju ununuo mbweni na mabwepande, Ni dhahiri shahili kuwa watu ni wengi hitajiko la soko kuu na barabara line mbili haziepukiki.

Kwa sasa msongamano wa magari Tegeta Bunju ni mkubwa kuliko mjini katikati. Unaweza ukatumia lisaa kutoka Bunju kuja Tegeta nyuki wakati huwa ni dakika kumi tu. Itoshe tu kusema Dk. Gwajima kama ujaomba soko kuu na barabara mbiki basi majigambo yako ya maendeleo ilikuwa kanjanja ya kuomba kula pande.
Gwajima kachaguliwa, kaingia madarakani kwa kasheshe 2 au 3, kwa sasa kimya kama maji ya mtungi!
Kumbe heri tungebakia na Madam Mdee...
Tunajuta...
 
Back
Top Bottom