muuache kiherehere nyie maboya wa simba hakuna hela yenu inayomlipa Zahera ,nisisi Yanga chama kubwa tunaomlipa na ndiyo tumempa uhuru huo
Pumbavu kweli,kwani Simba ni timu ya taifa,huu ndo umbumbumbu wenyeweHuyu ameamua kusaliti watanzania waliomweka hapa nchini. Tunaweza wasamehe watanzania ambao ni yanga wanaoisaidia AS Vita lakini hatuwezi samehe mkongo anayekula pesa za Watanzania anayewasaidia AS Vita.
Hata ingetokea kocha wa simba akasema aisaidie team ya nchi yake il hali anaishi tanzania anatumia kodi za watanzania angeshughulikiwa tu.
Zahera amevuka mipaka....nadhani aoneshwe mwisho wa mipaka yake ni wapi. Otherwise tukizidi kucheka na nyani tutavuna mabua. Sheria ichukue mkondo wake katika hili.
Jinga tu huna loloteTukimalizana Na VITA tunafuta Kibali Cha Kazi kwa Mamluki yoyote alieshirikiana Na Adui
Huu ni umbumbumbu wa kiwango cha juu sanaTunampokonya working permit mpuuzi huyu
Jinga tu huna lolote
Naona mnahamishia zile mbinu za kizamani za siasa za CCM kwa Wapinzani wake wa ndani ya Chama na Nje.
Sent using Jamii Forums mobile app
Utani umevuka mipakaHuu Ni utani wa Kimpira
Wajinga peke yao ndio huwa wanachukulia serious
kwani Okwi mmeshamlipa au bado anaendeleza mgomo?Mnamlipa kwa hela gani mliyokua nayo, ombaomba nyinyi?
Sent from my iPhone using JamiiForums
Utani umevuka mipaka
Acha aendelee kuwaongoza mbumbumbu wenzakeUpe hadhi ya ukimbizi Basi
We ndiye mpuuzi mwinyi Zahera alikuwepo Congo mlivyopigwa tano? Nendeni kwa Mkapa mkacheze mpira acheni visingizio.Tunampokonya working permit mpuuzi huyu
Kesho asubuhi andamaneni kwa Bashite then atapeleka huo upuuzi wenu kwa Daddy wake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Congo tulitumia Kasongo mkaoga 5 kesho ni Mundende.Ngoja tuwashughulikie wakongo wenzie kwanza yeye atafata
Wewe jamaa ni mbumbumbu ulieshikiwa akili na Haji ManaraHuyu ameamua kusaliti watanzania waliomweka hapa nchini. Tunaweza wasamehe watanzania ambao ni yanga wanaoisaidia AS Vita lakini hatuwezi samehe mkongo anayekula pesa za Watanzania anayewasaidia AS Vita.
Hata ingetokea kocha wa simba akasema aisaidie team ya nchi yake il hali anaishi tanzania anatumia kodi za watanzania angeshughulikiwa tu.
Zahera amevuka mipaka....nadhani aoneshwe mwisho wa mipaka yake ni wapi. Otherwise tukizidi kucheka na nyani tutavuna mabua. Sheria ichukue mkondo wake katika hili.