Serikali / Simba mkimalizana na AS Vita Shughulikeni na Zahera

Sioni tatizo la Zahera kama mwanasport ninaejitambua... Mpira ukiwashinda tafuteni kazi nyingine.
Huyo Zahera atacheza?
Namba ngapi?
Benchi la ufundi atakuwepo?
Mbona tarh 16 Tulimpiga akiwepo...
Tunaenda kushinda kama SIMBA na Tunaweza kufungwa vilevile.
ACHENI UOGA
 
Mtoa mada ni MBUMBUMBU, POPOMA, ZWAZWA, KIAZI, BWEGE, LOFA, SHUDU.... Huwezi tuletea ujinga wa kiwango hiki.. Post kama hizi zilifaa kule kwa mashoga zako INSTA.. Hapa leta fact tujadili tujue ipi pumba ipi mchele..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hatuna ugomvi na kusalimiana ila Zahara amefanya ziada ...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hatuna ugomvi na kusalimiana ila Zahara amefanya ziada ...

Sent using Jamii Forums mobile app
View attachment 1046776View attachment 1046776View attachment 1046776 Hivi una uhakika Zahera amefanya hayo anayodaiwa kufanya ama umeziamini porojo za Haji Manara?
 
Ilikuwa smokescreen. Na nyie vyura mkaingia kichwa kichwa. Mkapeleka umbeya ohh vyumba vinapuliziwa dawa. Vita waliingia mchecheto wakagoma kuingia vyumbani.
Ikarahisisha kazi. Kwani walikuwa wapo defensive kwenye kila kitu. Kwani walidanganywa wanahujumiwa.
Wajinga wakaacha mechi yao huko Iringa wakatilia mkazo mechi ya Dar ambayo haiwahusu kwa lolote.
Matokeo kila mtu anayajua.Ukipanda mbigiri huwezi kuvuna mahindi.
 
Tuweke ushabiki pembeni, kiproffessional Zahera kakosea, uwezi ukaacha majukumu ya teama yako ukaenda kwenye jukumu lingine hata kama ni la kitaifa, ni muajiriwa wa Yanga hivyo alitakiwa awe na teama yake pale Iringa, labda kama anaumwa, huwezi kuona kitu kama hicho kinatokea kwingine duniani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani mkuu mie mwenyewe nmejiuliza sana,Zahera kosa lake n lipi?,Sijui watu wengine hua wanafkria kwa kutumia nn!

Sent from Nokia 7 Plus
Kosa la Zahera ni kuacha team ikiwa kwenye mechi ngumu na muhimu ya team yake, na kwenda kufanya mambo mengine, sio sawa kabisa tuweke ushabiki pembeni tujadiri mpira, mechi za team za taifa na week ijayo na hata wachezaji wengine hawajaripoti kwenye team za taifa, alikuwa na uwezo wa kuondoka baada ya team yake kucheza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa tunamgeukia zuhura mwinyi. Mwinyi Zuhura tunamalizana naye humu humu ndani kwa ndani.
 
Kama alivyo mzazi wako... Mmekali misumali iringa m taifa.

 
Sijaamini a professional coach kuyoa sababu ya kipumbavu namna hiyo.
Klabu yako inacheza inaiacha wewe unaenda salimia eti bosi wako na wachezaji wako wa timu ya taifa na hata bado hamjaenda kambini. Sababu nyingine ya kutokwenda iringa eti atachelewa kurudi hivyo kuchelewa kuwasili congo kwa ajili ya maandalizi, hivi bombardier hazifiki iringa? Wamevuna walichokitaka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…